Jenerali Mabeyo, unayasikia yasemwayo na makomandoo wetu mahakamani kwenye kesi ya Mbowe?

Jenerali Mabeyo, unayasikia yasemwayo na makomandoo wetu mahakamani kwenye kesi ya Mbowe?

Mtani wangu na mkuu wangu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo, nakusalimu na kukutakia kazi njema. Nakuuliza tu kizalendo: unayasikia au kuyasoma maneno yasemwayo na makomandoo wetu walio washtakiwa na mashahidi kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake? Hakika, makomandoo hawa (ingawa kwasasa wote hawako tena jeshini/kazini) wanazungumza vya kushangaza na kuogofya.

Kuanzia Kusekwa/Adamoo, Ling'wenya hadi Mhina wa jana wamezungumzia kukamatwa kiholela; kuteswa; kutwezwa; kudhulumiwa na madhila mengine. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watulinde. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watupiganie. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watutetee. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili waendeleze uzalendo na utii wao kwa nchi yetu. Kwanini wamepitishwa kwenye njia waisemayo?

Makomandoo wetu wamelalamika; wamelia; lakini hawana la kufanya hadi mwisho wa kesi. Wenzao wa 92 KJ na kwingineko wanajifunza nini? Wanapata ujumbe gani? Wanawaza nini? Wanawataja wenzao wengine kukamatwa na kuteswa pia. Wako wapi wale waliotajwa? Kazini? Hai? Ndugu yangu Mabeyo, utumishi wako umetukuka. Sina shaka nawe wala na jeshi unaloliongoza. Makomandoo hawa, kwa mujibu wao, waliathirika vitani. Wapewe haki zao. Wakumbukwe. Watendewe yaliyo mema.

Unaandika lakini mtani wangu Jenerali Mabeyo? Nitakuja pia nyumbani na ofisini kusisitiza hili

Wasiojulikana sasa wamejulikana?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
Tukiwa hatuna matumizi na wewe tunakutupa, hatuangalii gharama tulizotumia kukujenga
 
Mtani wangu na mkuu wangu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo, nakusalimu na kukutakia kazi njema. Nakuuliza tu kizalendo: unayasikia au kuyasoma maneno yasemwayo na makomandoo wetu walio washtakiwa na mashahidi kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake? Hakika, makomandoo hawa (ingawa kwasasa wote hawako tena jeshini/kazini) wanazungumza vya kushangaza na kuogofya.

Kuanzia Kusekwa/Adamoo, Ling'wenya hadi Mhina wa jana wamezungumzia kukamatwa kiholela; kuteswa; kutwezwa; kudhulumiwa na madhila mengine. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watulinde. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watupiganie. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watutetee. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili waendeleze uzalendo na utii wao kwa nchi yetu. Kwanini wamepitishwa kwenye njia waisemayo?

Makomandoo wetu wamelalamika; wamelia; lakini hawana la kufanya hadi mwisho wa kesi. Wenzao wa 92 KJ na kwingineko wanajifunza nini? Wanapata ujumbe gani? Wanawaza nini? Wanawataja wenzao wengine kukamatwa na kuteswa pia. Wako wapi wale waliotajwa? Kazini? Hai? Ndugu yangu Mabeyo, utumishi wako umetukuka. Sina shaka nawe wala na jeshi unaloliongoza. Makomandoo hawa, kwa mujibu wao, waliathirika vitani. Wapewe haki zao. Wakumbukwe. Watendewe yaliyo mema.

Unaandika lakini mtani wangu Jenerali Mabeyo? Nitakuja pia nyumbani na ofisini kusisitiza hili

Wasiojulikana sasa wamejulikana?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)

Sasa kama jeshi linaitisha press kulalamikia matapeli unategemea nini? Kwa sasa jeshi linawajibika kwa ccm zaidi kuliko nchi. Kunafanyika chaguzi za aibu ndani ya nchi, jeshi liko kimya na kuona sawa ili mradi ccm wanatangazwa washindi. Ukakamavu wa jeshi unaonekana zaidi wanapotishia raia wasio na silaha wala mafunzo ya kikakamavu. Tuombe tu vita isitokee maana itakuwa aibu. Nilijiuliza Kagame alijiamini nini kumtishia JK wakati ule, kumbe anajua siri ya urembo. Isije ikawa udhaifu uliopo kwenye taasisi nyingine za umma, upo na jeshini pia.
 
Hii kesi imetujulisha mengi sana,kumbe jeshini ukipata matatizo na lako halipo unapigwa chini bila msaada.
Niliwaahi andika humu, ila shida ni kutafutana.


Mimi Kaka yangu ( mtoto wa mama mkubwa)

Wakiwa pale kambi ya ukomandoo Morogoro...

Posho zao wakawa hawapewi, wakaamua kuja Dar makao makuu JWTZ kulalamikia.


maajabu, wakapewa Kesi za Uhaini, uhujum, uasi, uporaji wa Mali za Raia.


Walikua vijana 60 wa Mafunzo ya ukomando

30 wakasamehewa ...30 Wakafungwa jela mwaka 2015 akiwemo Kaka yangu huyo.


Waziri Mkuu anajua, Mwinyi anajua, Mwanasheria Mkuu wa wakat huo anajua,Mkuu wa Majeshi alopita anajua ..maana suala lao lilijitokeza 2013 .


WAKAFUKUZWA KAZI BILA KUPEWA BARUA YA KUACHISHWA KAZI, BILA KUPEWA MAFAO YAO, IKUMBUKE TOKA HUO MWAKA 2013 MPAKA 2015 ,MISHAHARA YAO ILISIMAMISHWA.


Walikua kuachiwa mwaka 2017 kwa msamaha

mpaka naongea hii Leo, Hawa vijana wamejitahidi kutafuta haki zao sanaaa ,wametumia wanasheria wapiiii..suala lao linaminywa chini chini.






KWA sasa wamebaki vijana 29. ..baada ya mmoja maisha kumchanganya, akaungana kwenye ujambazi,... Alipigwa risasi.
 
Ukiona jeshi linafurahia na kumshukuru Rais kwa teuzi za kiraia jua hakuna jeshi kiufupi raia sisi tupambane wenyewe kwa sasa CCM imekamata idara zote kwani hata hao wakubwa jeshin hupanda vyeo kwa ukada na bila shaka kadi wanazo.
Semeni nyie mnaoweza kusema. Tangazo la juzi la Msemaji wa Jeshi lilionesha mapungufu makubwa sana. Tulitaraji kama jeshi letu pendwa wangekuja na majina ya matapeli waliokuwa na nia ovu ya kulichonganisha jeshi letu na wananchi.

Jeshi hili lenye heshima kubwa nchini na nje ya nchi lina mbinu nyingi za kiintelijensia na kimedani zingewatia hatiani hao matapeli wanodanganya umma ahadi za ajira
 
Mtani wangu na mkuu wangu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo, nakusalimu na kukutakia kazi njema. Nakuuliza tu kizalendo: unayasikia au kuyasoma maneno yasemwayo na makomandoo wetu walio washtakiwa na mashahidi kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake? Hakika, makomandoo hawa (ingawa kwasasa wote hawako tena jeshini/kazini) wanazungumza vya kushangaza na kuogofya.

Kuanzia Kusekwa/Adamoo, Ling'wenya hadi Mhina wa jana wamezungumzia kukamatwa kiholela; kuteswa; kutwezwa; kudhulumiwa na madhila mengine. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watulinde. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watupiganie. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watutetee. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili waendeleze uzalendo na utii wao kwa nchi yetu. Kwanini wamepitishwa kwenye njia waisemayo?

Makomandoo wetu wamelalamika; wamelia; lakini hawana la kufanya hadi mwisho wa kesi. Wenzao wa 92 KJ na kwingineko wanajifunza nini? Wanapata ujumbe gani? Wanawaza nini? Wanawataja wenzao wengine kukamatwa na kuteswa pia. Wako wapi wale waliotajwa? Kazini? Hai? Ndugu yangu Mabeyo, utumishi wako umetukuka. Sina shaka nawe wala na jeshi unaloliongoza. Makomandoo hawa, kwa mujibu wao, waliathirika vitani. Wapewe haki zao. Wakumbukwe. Watendewe yaliyo mema.

Unaandika lakini mtani wangu Jenerali Mabeyo? Nitakuja pia nyumbani na ofisini kusisitiza hili

Wasiojulikana sasa wamejulikana?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
Hizi mada zinaletwa kishabiki mno bila kujua shina lake,hawa wanajeshi walishafutwa ajira,wangekua kazini kuna utaratibu wa ukamatwaji waje,hawa ni raia wenzetu,kingine mfano umemkamata jambazi unataka akuonyeshe silaha kaficha wapi,utambembeleza akuambie alikoificha au utatumia nguvu ili kupata information unazotaka?,hii system ya kutumia nguvu iko duniani kote ndio maana hata CIA wana black cell huko ndio shuguli ya kuextract information hufanyika,usitegemee kupata information kwa mtu trained kirahisirahisi
 
tunahoji namna ya kufukuzwa kwao, je misingi ya utumishi wa JWTZ ulifuatwa, shahidi anasema hata barua ya kuachishwa kazi hajapewa, stahiki hata mia hajapewa - mtu ambaye kalitumikia taifa hadi kimataifa - hii si haki kabisa na cha zaidi si ajabu hata huo ugonjwa wa akili ulitokana na mafunzo yao pamoja na utekelezaji wa majukumu yao.

Sababu wakati wanaanza jeshi kawaida walipimwa afya, kama wangekuwa na ugonjwa huo wasingepokelewa na jeshi. JWTZ huwa halipokei wagonjwa.
Jeshi haliajiri watu wanaandikisha tu hizo haki za mwajiriwa hazifanyi kazi jeshini
 
komando kama komando
giphy.gif
 
Ccm ni ile ile ,Ccm ni kla kitu kwenye hii Nchi ata uyo unaeongea nae na kutaka msaada weke ni Ccm na anaingia ktk baazi ya Vikao vya Ccm sizan km utapata msaada ,

Msaada mkubwa Ni wananchi nazan Chadema mnetumia nguvu nying kuongea na kuwashawishi wananchi tena ana kwa ana sio hii ya mitandaoni ingewasaidia sana na mngepata msaada mkubwa sana

Mtaani wananchi walio weng hawajui na hawafuatilii kesi ya mbowe nazan mngerudi mtaani muongee na wananchi na muwaeleze wangeweza kuwasaidia ila Wazungu, JWTZ na NGO’s haziwez wasaidia kwa lolote
 
Ipo siku utatamani kumeza haya maneno.
Kama walisitiriwa vyeti feki majeshini,Vivyo hivyo hata waliougua au kufukuzwa jeshini ingetafutwa njia mbadala yakuwahifadhi kuliko hii sintofahamu.
 
Wengine hawajulikani walipo kama Komandoo Moses.
Hii nchi imeoza kabisa,intelijensia inaruhusu vipi komandoo kuongea mambo mazito ya nchi hadharani?
Komandoo Anapata PTSD(post trauma syndrome desease),harafu anadhulumiwa haki zake anafukuzwa kazi kikatili,hapo Kuna watu weishayamezea mate mafao yake.
Wanajeshi kama Hawa ndio huwa wanakuwa recruited na foreign intelijence service,wanauza Siri zote za nchi!!wanazozijua.
 
Niliona sehemu huko Marekani highly trained soldiers kama hawahitajiki jeshini kwasababu yoyote hupangiwa majukumu kwenye majeshi mengine. Bora hao wangepelekwa ku train FFU kuliko kuwatelekeza bila kujua wanachofanya at that early age.
Sasa mtu mgonjwa wa akili utampa kazi gani?
 
So hata wale ambao wapo kazini wajifunze kwa wanayoyapitia wenzao? Kwamba wakitoka kazini hawana thamani tena? Wakapambane na haki zao wakitoka kazini? 😊 Majibu ya kip, uzi sana hayo
Kwani ni kila askari wa jwtz anaestaafu au kufukuzwa kazi anatendewa hayo waliyotendewa hao ex commandos?
Hao wamejiingiza kwenye vitendo viovu ndiyo maana yamewakuta hayo yaliyowakuta.
 
Kwani ni kila askari wa jwtz anaestaafu au kufukuzwa kazi anatendewa hayo waliyotendewa hao ex commandos?
Hao wamejiingiza kwenye vitendo viovu ndiyo maana yamewakuta hayo yaliyowakuta.
Vitendo vipi. Vitaje hapa na uweke uthibitisho wako.
 
Haongelei Sasa , anaongelea jinsi walivyotoka. Kwamba walitoka kwa magonjwa ya kisaikolojia lakini jeshi halikiwajali. Yani makomandoo walitelekezwa na jeshi kiss ugonjwa unaotokana na Vita
Hao jamaa sio ugonjwa tu umewaondoa huko,walikua na misala kibao,jeshi lina namna ya kudili na watu wagonjwa ambao hawako fit kuendelea na jeshi.mfano ba mdogo wangu mimi alikua mwanajeshi na bahati nzuri alikua huko kwenye mission congo,alivyorudi akapata ugonjwa flani uliomlazimu kuacha kazi,jwtz wamemtibu na mpaka leo anaendelea kutibiwa free pale lugalo ingawa sio mwanajeshi tena.
 
Back
Top Bottom