Jenerali Manara, wanayanga wanasubiri wito na amri yako kuhusu Morrison kufungiwa

Jenerali Manara, wanayanga wanasubiri wito na amri yako kuhusu Morrison kufungiwa

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Huu uonevu hadi lini jamani? wanayanga wanahoji huko mtandaoni haswa facebook... wanadai mechi ya ihefu iliahirishwa kimkakati ili Bm 3 aikose simba

Kwani ratiba ya international games haikujulikana kabla? wanahoji mbona Inonga hadi leo hajafungiwa?

Jenerali manara,wana yanga ni watiifu sana kwako,umewasaidia kusafisha virusi hapo klabuni viitwavyo Nugaz na Bumbuli na daima wanakushukuru kwa hilo

Uliwaambia bin kazumari jemedari said na ally kamwe ni maadui wa yanga nao wameitikia wito ,angalia morale ya wanayanga wakati wanampa kichapo yule shabiki wa coastal union aliyekuwa analoga nje ya uwanja pale arusha ila kwa bahati mbaya akapoteza maisha mt meru hospital

Yote hayo yanatokana na uhamasishaji wako wa kuwafanya wanayanga kuipagania team yao na kukataa ikosolewe au isemwe vibaya, maneno yako yanakubalika sana jangwani

Laiti kama ile amri uliyoitoaga ukiwa simba kwamba washabiki wa yanga ni marufuku kuingia games za kimataifa za simba ungeitolea ukiwa yanga utekelezaji wake ungekuwa mkubwa tungeshuhudia maiti za wanasimba pale temeke hospital

SEMA BASI NENO KUHUSU HII ADHABU YA BM 3 WATIIFU WAKO WANAISUBIRIA KWA HAMU SANA GENERAL BUGATTI
 
Takadini sema neno moja tu nyumbu wa pori la Utopolo waingie barabarani hadi kieleweke
1663786708136.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Huu uonevu hadi lini jamani? wanayanga wanahoji huko mtandaoni haswa facebook... wanadai mechi ya ihefu iliahirishwa kimkakati ili Bm 3 aikose simba

Kwani ratiba ya international games haikujulikana kabla? wanahoji mbona Inonga hadi leo hajafungiwa?

Jenerali manara,wana yanga ni watiifu sana kwako,umewasaidia kusafisha virusi hapo klabuni viitwavyo Nugaz na Bumbuli na daima wanakushukuru kwa hilo

Uliwaambia bin kazumari jemedari said na ally kamwe ni maadui wa yanga nao wameitikia wito ,angalia morale ya wanayanga wakati wanampa kichapo yule shabiki wa coastal union aliyekuwa analoga nje ya uwanja pale arusha ila kwa bahati mbaya akapoteza maisha mt meru hospital

Yote hayo yanatokana na uhamasishaji wako wa kuwafanya wanayanga kuipagania team yao na kukataa ikosolewe au isemwe vibaya, maneno yako yanakubalika sana jangwani

Laiti kama ile amri uliyoitoaga ukiwa simba kwamba washabiki wa yanga ni marufuku kuingia games za kimataifa za simba ungeitolea ukiwa yanga utekelezaji wake ungekuwa mkubwa tungeshuhudia maiti za wanasimba pale temeke hospital

SEMA BASI NENO KUHUSU HII ADHABU YA BM 3 WATIIFU WAKO WANAISUBIRIA KWA HAMU SANA GENERAL BUGATTI
Na Tuisila Kisinda naye mtamfungia? Yanga ina hazina ya wachezaji. Hata akikosa Morrison, bado kuna akina Moloko, Denis Nkane, Tuisila Kisinda, na wengineo wengi.

Hivyo mkubali tu kipigo kiko palepale hiyo tarehe 23!
 
Na Tuisila Kisinda naye mtamfungia? Yanga ina hazina ya wachezaji. Hata akikosa Morrison, bado kuna akina Moloko, Denis Nkane, na wengineo wengi.

Hivyo mkubali tu kipigo kiko palepale hiyo tarehe 23!
hu uonevu hadi lini? wanayanga wanauliza huu uonevu hadi lini? makolo lazima yapigwe tarehe 23 lakini mbona maamuzi ni ya upande mmoja tu? HUU UONEVU HADI LINI? JENERALI BUGATTI TOA NENO WATU WAINGIE MTAANI
 
hu uonevu hadi lini? wanayanga wanauliza huu uonevu hadi lini? makolo lazima yapigwe tarehe 23 lakini mbona maamuzi ni ya upande mmoja tu? HUU UONEVU HADI LINI? JENERALI BUGATTI TOA NENO WATU WAINGIE MTAANI
Adhabu yenu iko palepale! Hata muwafungie wachezaji 10! Bado tarehe 23 Oktoba, lazima mtatafutana tu uchawi.
 
Huu uonevu hadi lini jamani? wanayanga wanahoji huko mtandaoni haswa facebook... wanadai mechi ya ihefu iliahirishwa kimkakati ili Bm 3 aikose simba

Kwani ratiba ya international games haikujulikana kabla? wanahoji mbona Inonga hadi leo hajafungiwa?

Jenerali manara,wana yanga ni watiifu sana kwako,umewasaidia kusafisha virusi hapo klabuni viitwavyo Nugaz na Bumbuli na daima wanakushukuru kwa hilo

Uliwaambia bin kazumari jemedari said na ally kamwe ni maadui wa yanga nao wameitikia wito ,angalia morale ya wanayanga wakati wanampa kichapo yule shabiki wa coastal union aliyekuwa analoga nje ya uwanja pale arusha ila kwa bahati mbaya akapoteza maisha mt meru hospital

Yote hayo yanatokana na uhamasishaji wako wa kuwafanya wanayanga kuipagania team yao na kukataa ikosolewe au isemwe vibaya, maneno yako yanakubalika sana jangwani

Laiti kama ile amri uliyoitoaga ukiwa simba kwamba washabiki wa yanga ni marufuku kuingia games za kimataifa za simba ungeitolea ukiwa yanga utekelezaji wake ungekuwa mkubwa tungeshuhudia maiti za wanasimba pale temeke hospital

SEMA BASI NENO KUHUSU HII ADHABU YA BM 3 WATIIFU WAKO WANAISUBIRIA KWA HAMU SANA GENERAL BUGATTI
Yaani sijui wengine mnapokwenda chooni mchana akili na mavi mnarudi nayo!!!
 
Mashabiki wa yanga si vilaza tu waliongalia fainali arusha wanalijua hilo walichokuwa wanafanya kwa mashabiki wa coastal ni unyama ila takadini alikaa kimya kama hakijatokea kitu vile .
 
Uongozi wa yanga sometime unakera sana,tunaonewa yenyewe yamekaa kimya tu
 
Huu uonevu hadi lini jamani? wanayanga wanahoji huko mtandaoni haswa facebook... wanadai mechi ya ihefu iliahirishwa kimkakati ili Bm 3 aikose simba

Kwani ratiba ya international games haikujulikana kabla? wanahoji mbona Inonga hadi leo hajafungiwa?

Jenerali manara,wana yanga ni watiifu sana kwako,umewasaidia kusafisha virusi hapo klabuni viitwavyo Nugaz na Bumbuli na daima wanakushukuru kwa hilo

Uliwaambia bin kazumari jemedari said na ally kamwe ni maadui wa yanga nao wameitikia wito ,angalia morale ya wanayanga wakati wanampa kichapo yule shabiki wa coastal union aliyekuwa analoga nje ya uwanja pale arusha ila kwa bahati mbaya akapoteza maisha mt meru hospital

Yote hayo yanatokana na uhamasishaji wako wa kuwafanya wanayanga kuipagania team yao na kukataa ikosolewe au isemwe vibaya, maneno yako yanakubalika sana jangwani

Laiti kama ile amri uliyoitoaga ukiwa simba kwamba washabiki wa yanga ni marufuku kuingia games za kimataifa za simba ungeitolea ukiwa yanga utekelezaji wake ungekuwa mkubwa tungeshuhudia maiti za wanasimba pale temeke hospital

SEMA BASI NENO KUHUSU HII ADHABU YA BM 3 WATIIFU WAKO WANAISUBIRIA KWA HAMU SANA GENERAL BUGATTI
Sisi kama yanga tutaenda CAS hatukubali uonevu
 
Mashabiki wa yanga si vilaza tu waliongalia fainali arusha wanalijua hilo walichokuwa wanafanya kwa mashabiki wa coastal ni unyama ila takadini alikaa kimya kama hakijatokea kitu vile .
Na inasemekana waliua.
Yule jamaa aliyepigwa pale nje inasemekana alifia hospitali.
TFF imewaacha tu,lakini yote haya yanasababishwa na manara a.k.a lete mdhungu pori.
Hapa manyumbu yanasubiri maelekezo kutoka kwa mdhungu pori ili yalete vurugu.

Nadhani kuna umuhimu wa kuanza kusaka hawa magaidi mmoja mmoja na kumalizana nao kimya kimya.Maana soka haliwezi kuwa vita kama wanavyotaka kufanya
 
Back
Top Bottom