Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu musaba hana ngufu za kiume muraaView attachment 2391720
Naomba mtu mmoja aniambie kwanini huyo kijana anaitwa muhozi kainerugaba bada ya kuitwa muhozi yoweri kaguta museveni
Hii imepangwa kiufundi wakishirikiana na Baba yake, kwa maneno mengine ni namna ya kuwa fanyia induction Ugandans na na wengineo kwa jambo linalokuja hivi karibuni..Kitendo cha mtoto wa Museveni kubisha wazi kuwa siyo baba yake wala mtu yeyote ana mamlaka ya kumwambia nini afanye/asifanye... ni ishara kuwa sasa kijana anaanza kumtoa mchezoni dingi mdogo mdogo. Museveni anaonekana hana mamlaka hata kwa mwanaye.
Itakuwa utashi tuView attachment 2391720
Naomba mtu mmoja aniambie kwanini huyo kijana anaitwa muhozi kainerugaba bada ya kuitwa muhozi yoweri kaguta museveni
Inaweza kua ni jina la kikabilaView attachment 2391720
Naomba mtu mmoja aniambie kwanini huyo kijana anaitwa muhozi kainerugaba bada ya kuitwa muhozi yoweri kaguta museveni
Hakuna mbaya! kijana anafaa yule,tena tumepanga awe Raisi wa kwanza wa nchi ya shirikisho ya Africa Mashariki mpya! mimi nitakuwa Waziri mkuu,Akifanya hivyo hayo mapinduzi yatakuwa planned na baba yake mwenyewe.