FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Hicho "kitu kizito kilichompiga utosini" kiko wapi?Huku ndiko kupigwa kitu kizito sana utosini:
View attachment 3120009
Habari ziwafikie wote wenye kuleta fyoko fyoko:
"Chezea wengine siyo beberu!"
Wacha kujijaza na kujaza wengine ujinga.