Hicho "kitu kizito kilichompiga utosini" kiko wapi?Huku ndiko kupigwa kitu kizito sana utosini:
View attachment 3120009
Habari ziwafikie wote wenye kuleta fyoko fyoko:
"Chezea wengine siyo beberu!"
Sasa wewe bibi una chuki na Marekani utaiweza?Hicho "kitu kizito kilichompiga utosini" kiko wapi?
Wacha kujijaza na kujaza wengine ujinga.
Sasa wewe bibi una chuki na Marekani utaiweza?
Hicho "kitu kizito kilichompiga utosini" kiko wapi?Sasa wewe bibi una chuki na Marekani utaiweza?
Muhoozi ni mwendawazimu alafu nadhani ndiye CDF wa UgandaHuku ndiko kupigwa kitu kizito sana utosini:
View attachment 3120009
Habari ziwafikie wote wenye kuleta fyoko fyoko:
"Chezea wengine siyo beberu!"
Mpenzi unatumia maneno makali! 🤣🤣🤣Hicho "kitu kizito kilichompiga utosini" kiko wapi?
Wacha kujijaza na kujaza wengine ujinga.
Ja wewe ushajazwa ujinga? Hujuwi kusoma? Au jikondoo?
= kubali.Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya mabeberu kataa kubari hata nyie waafrica ni mifugo yao.
Wengine tuRiishia chekechea!= kubali.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Nadhani umenukuu vibaya.Huku ndiko kupigwa kitu kizito sana utosini:
View attachment 3120009
Habari ziwafikie wote wenye kuleta fyoko fyoko:
"Chezea wengine siyo beberu!"
Upo sahihi.Hicho "kitu kizito kilichompiga utosini" kiko wapi?
Wacha kujijaza na kujaza wengine ujinga.
Wakati Gen Halevi amesotea ushindi uwanjani huyo Muhoozi ameupatia mezani. So it's a different ball game.Herz Halevi is a Lt. Gen. while Muhoozi is a full, four star general! Halevi must salute Muhoozi. Here we go!
Wapumbavu hao kama umeisoma vizuri na kuelewa walichoandika huezi shangilia ,,Huku ndiko kupigwa kitu kizito sana utosini:
View attachment 3120009
Habari ziwafikie wote wenye kuleta fyoko fyoko:
"Chezea wengine siyo beberu!"
Msimamo wa masikini ni utovu wa nidhamu.
Itakua anaham ya vita we mwacheay may silaha walizonazo wanataka kuzitest km nzima au laaahHuyu jamaa ana shule ya kutosha kweli! Mbona anaropoka tu! Kuna siku aliitishia tena Kenya.
Tusameheane, L na R kwangu mtihani mgumu sana.= kubali.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hakuna mtihani, kujiendekeza tu.Tusameheane, L na R kwangu mtihani mgumu sana.