TANZIA Jenerali Tumainiel Kiwelu afariki Dunia, kuzikwa Mbezi Loius Dar

TANZIA Jenerali Tumainiel Kiwelu afariki Dunia, kuzikwa Mbezi Loius Dar

Ukwaju

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
13,383
Reaction score
11,197
Jenerali Tumainiel Kiwelu amefariki tarehe 18 Mei 2021 na atazikwa shambani kwake Mbezi Luis Dar es salaam tarehe 22 May 2021

Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe.

Pia soma
- Historia ya Jenerali Tumainiel Kiwelu

1621531206149.png

1621531435512.png
 
Huyu Tumainieli kiwelu ndie aliyekua mkuu wa mkoa waa iringa aliyemuua Mwamwindi?
Hujui hata historia ya nchi yako, Mwamwindi alihukumiwa kunyongwa mpaka kufa baada ya kumuua aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Iringa Dr Kreluu mwaka 1972.

Marehemu Jenerali Kiwelu atakumbukwa kwa kuongoza operesheni kali ya vikosi vya jeshi LA wananchi na kuyafurusha majeshi ya uvamizi ya nduli IDD Amin kwenye Ardhi ya Tanzania mwaka 1978.

RIP shujaa wa ukweli.
 
Jamaa katika ukuu wa mkoa hakupenda longolongo za watumishi wa umma! Kagera wanamkumbuka.
 
Back
Top Bottom