mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Usichanye kleruu na kiweluHuyu Tumainieli kiwelu ndie aliyekua mkuu wa mkoa waa iringa aliyemuua Mwamwindi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usichanye kleruu na kiweluHuyu Tumainieli kiwelu ndie aliyekua mkuu wa mkoa waa iringa aliyemuua Mwamwindi?
Ila si hakunyongwaga vile eh?Hapana
Mamwindi ndiye alimuua RC Kleruu.
Mamwindi alihukumiwa na mahakama kunyongwa hadi kufa!
Duuu. Nadhani unajaribu kutaka kuuliza juu ya aliyekua mkuu wa mkoa wa Iringa, Dr Wilbard Kleruu aliyeuwawa na Mwamwindi. Huyu General Tumainiel Kiwelu (Rtd) hana uhusiano na hiyo habari ya Mwamwindi. Pia Mwamwindi alifariki kwa kunyongwa kutokana na hiyo kesi ya kumuua mkuu wa mkoa Dr Kleruu.Huyu Tumainieli kiwelu ndie aliyekua mkuu wa mkoa waa iringa aliyemuua Mwamwindi?
AlinyongwaIla si hakunyongwaga vile eh?
Poleni sana wanafamilia, JWTZ na Watanzania kumpoteza Gen. Kiwelu.Jenerali Tumainiel Kiwelu amefariki tarehe 18 Mei 2021 na atazikwa shambani kwake Mbezi Luis Dar es salaam tarehe 22 May 2021
Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe.
Historia ya Jenerali Tumainiel Kiwelu
Leo nimeona mahojiano yenye ya mwandishi Livingstone Ruhere na Jenerali Tumaniel Kiwelu kwenye gazeti la Raia Mwema la jana ambae anaweza kuileta hapa naomba afanye hivyo kwa faida ya wana JF na kizazi cha sasa. Mimi nimekuwa nikimsikia huyu mtu akisifika kwa uzalendo na uchapakazi. Alipokuwa...www.jamiiforums.com
View attachment 1792046
View attachment 1792059
Aaaha!Hapana
Mamwindi ndiye alimuua RC Kleruu.
Mamwindi alihukumiwa na mahakama kunyongwa hadi kufa!
Kama wameifaidi ni kwa kazi kubwa na heshima nyingi waliyoiletea nchi.Ana shamba dunia hapo mbez Luis japo sijui kama ndo yalikuwa makao yake.
Waneifaidi sana tz, let him Rest Easy.
La 3 C