GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna nyingine ya Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete na aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ( Poti wangu kabisa kutoka Mkoani Mara ) Jenerali George Mwita Waitara ila kwa leo naomba nisitiririke wala kuserereka nayo Kwanza.Sasa naelewa kwa nini alikuja kuondolewa jeshini wakaona heri wampe vyeo vya kisiasa ili ajifunze nidhamu ya kiraia pia.
Rais ni Jemedari Mkuu unapaswa kumtii hata alipokuwa anadai mishahara alipaswa kutumia busara kama sio nidhamu ya juu ya kijeshi sio kumtishia Rais.
Hii kwa watu waliowahi kupitia majeshi watakubaliana kwamba ilibidi kumtoa pale maana siku nyingine atakuwa na madai mengine atakosa nidhamu kwa kiongozi then ikageuka ugaini, tena ana bahati Mwinyi alikuwa mtu poa Yani angekuwa Nyerere angemtandika kesi ya uhaini . Rais hatishiwi hata kama unahisi unaweza kufanya hayo.
Naelewa ndio maana walimpandisha vyeo baada ya kustaafu kigoma alikokuwa Major General then mpaka full four star General amebaki na sarakikya nae alipigwa Pini sababu hizi hizi.
Huwezi kuwa kiongozi halafu unaendeshwa na askari wa chini kiasi unamkosea heshima mkuu wa nchi.
By the way alikuwa shupavu sana rip to the best General who never became a general 🤷