Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Makamanda wetu wakuu wengi tulioachiwa na Nyerere wameshatangulia mbele ya haki. Mungu aliza pema peponi rohgo ya Kamanda.Jenerali Tumainiel Kiwelu amefariki tarehe 18 Mei 2021 na atazikwa shambani kwake Mbezi Luis Dar es salaam tarehe 22 May 2021
Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe.
Pia soma
- Historia ya Jenerali Tumainiel Kiwelu
On a side note, nimeshangaa kuona JWTX bado inatumia Telex, Telegram na Fax kwa mawasiliano!!