Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
- Thread starter
- #121
Kwanini anazikwa Dar na wakati kwao ni Moshi?
Kijijini kwake Mamba Kokirie ni eneo dogo sana naona aliamua azikwe karibu na Miradi na mashamba yake kwani alishika maeneo makubwa na kuwekeza eneo kubwa kuliko hicho kijiji alichozaliwa, nasikia huko Bukoba na Morogoro ni maeneo makubwa, sasa akilinganisha na kupelekwa huko Kijijini mazishi hapangetoshaHuyu mzee kwanini wanamzika Dar? kwa nini asipelekwe kwao Moshi? Maana serikali inaweza kugharimia.
Anyway, maybe ni wish yake azikwe Dar. But I find it strange.
Nafsi yake ipumzike alipoandaliwa na mola wake.
naona jibu zuri analo YEHODAYA
Wachaga wengi Siku hizi wanaziikwa kwenye maeneo yao Dar wanaitika wito Wa Waziri Wa Ardhi Lukuvi anasema ardhi Moshi kumejaa makaburi tu hata kufanya maendeleo kunakuwa kugumu kila sehemu makaburi tu na hawataki yahamishwe
Manispaa ya Moshi haiendelei wala kupanuka sababu hiyo kila ukigusa Ardhi unakutana na makaburi na wenyewe hawataki yahame
Kimji cha Moshi kimejibana utafikiri ujiji kwa Zitto Kabwe