TANZIA Jenerali Tumainiel Kiwelu afariki Dunia, kuzikwa Mbezi Loius Dar

TANZIA Jenerali Tumainiel Kiwelu afariki Dunia, kuzikwa Mbezi Loius Dar

Viongozi wanaoandika vita kuhusu Maisha Yao kuwa wanaacha kuyaandika mambo muhimu ambayo hayakuwapendeza ; haya ya marehemu general kiwelu yalitakiwa yawemo kwenye kitabu cha Alhaj Mwinyi!! Ndio maana Watu wengi wanaamini kuwa maelezo ya kweli ya wisteria ya viongozi haiandikwi na was wenyewe bali huandikwa na Watu baki ambao hawatakuwa na ushawishi wa kutoandika nabo ambayo yasingempendeza muhusika!!
Je hii inawza kuwa sababu kwanini Mwalimu Nyerere alikataa kuandika kitabu juu ya maisha yake? Je unadahani katika kitabu chase Kikwete atakuwa muwazi na kuhusika kwake kwenye ufisadi uliotokea under his watch?

I hope ataeleza yote ili pia tujue mambo yanavyotakiwa kwenda. Ina maana sisi hatuna waandishi wa historia yetu? Mbona kuna ombwe kubwa eneo hilo? Sio kila kitu ni classified. Ila kuandika, kunasaidia generations kadhaa kujifunza mengi ambayo yanatokea, na pengine ndio yamekuwa shaping tools za uwepo wa Taifa letu
 
I hope ataeleza yote ili pia tujue mambo yanavyotakiwa kwenda. Ina maana sisi hatuna waandishi wa historia yetu? Mbona kuna ombwe kubwa eneo hilo? Sio kila kitu ni classified. Ila kuandika, kunasaidia generations kadhaa kujifunza mengi ambayo yanatokea, na pengine ndio yamekuwa shaping tools za uwepo wa Taifa letu

I hope he will have the courage to be truthful about the EPA and RICHMOND scandals, although I doubt it very much!
 
Rest In Peace Sir.

Thank you for your service hasa kule kwetu Kagera.
 
Malima alikuwa mtata sana. Haaaahaaaa

Aliondolewa front line wakati wa vita ya Kagera sababu ya utukutu wake huo huo. Alikataa kumwambia Marehemu Sokoine, akiwa waziri wa ulinzi, mipango na namna ya kuvuka na kujenga Daraja lililovunjwa la Kagera. Yeye ndio aliongoza campaign ya kumtoa Nduli Amini ndani ya Tanzania. Kikosi cha kwanza kuvuka ili kujenga daraja la kagera kilikuwa cha makomandoo kadhaa wakiongozwa na "Kabunda", chini yake General Kiwelu. RIP Mwanajeshi.
Hivi huyu General, ndiye yule wakati wa vita alikuwa anavuta mtemba (kiko)?
 
Tangu shujaa asepe naona hata taarifa zinatolewa na jeshi zinakua zimekamilika/ziko kisomi.

Tunaona mabadiliko kila sehemu.
Ingekuwa Enzi za Shujaa kwenye hiyo taarifa lazima angetajwa, pia nisingeshangaa kuona Neno Hapa Kazi tu kwenye hiyo taarifa
 
Wakati huo tukiongelea TPDF General walioiiva kikazi...
Unaanza na General Musuguri, then General Mwita Kiaro , anafuata General Twalipo,
bila kumsahau General "Black Mamba" John Butler Walden, na Genaral Kiwelu ndani
Hawa walipanda through the ranks sio kupatiwa uchele na Raisi mshikaji wako.........
 
Aliondoa watu kibabe ili kuruhusu mgodi wa kahama ujengwe. Ni kwanini aliondolewa frontline akapewa General Musuguli enzi zile za vita ya Kagera?
Huyu bwana kwa haiba yake, hakufaa kuwa balozi. Bora alibaki hapa kwetu tu.

..Ukumbuke alitolewa ngome / makao makuu akiwa chief of staff na kupelekwa mstari wa mbele kuandaa majeshi na kuongoza operation chakaza.

..baada ya Tz kupata ushindi ktk operation chakaza ndipo Kiwelu aliporudi ngome na kuendelea na majukumu yake ya u-chief of staff.

..wakati Kiwelu akiongoza operation chakaza martin mwakalindile ndiye aliyekaimu nafasi ya chief of staff. Baadae Mwakalindile alitumikia kama mkuu wa mafunzo / chief instructor wakati wa vita vya kagera.

NB.

..yuko mchangiaji mmoja hapa JF alikuwa akibisha kwamba Gen.Kiwelu ndiye aliyeongoza mapigano ya kumtoa Nduli ktk ardhi ya Tz. Nimefarijika kwamba Jwtz wametoa taarifa ambayo haitatoa nafasi kwa wapotoshaji wa historia ya vita vya Kagera.
 
Huyu Jen ndio mtoto wake yule aliyegombea umiss tz anaitwa Kuwelu? pisi moja matata sana
 
Huyu Jen ndio mtoto wake yule aliyegombea umiss tz anaitwa Kuwelu? pisi moja matata sana
Hapana hao Mabinti wasingethubutu, kuna mmoja yupo CRDB maadili yake ni mema mpaka ameolewa na Banker mwenzake, kwa kweli sijasikia ni Kiwelu ni ukoo mkubwa, pia kumbuka kuna Kiwelo (Iringa) na hiyo Kuwelu uliyoitaja
 
Wakati huo tukiongelea TPDF General walioiiva kikazi...
Unaanza na General Musuguri, then General Mwita Kiaro , anafuata General Twalipo,
bila kumsahau General "Black Mamba" John Butler Walden, na Genaral Kiwelu ndani
Hawa walipanda through the ranks sio kupatiwa uchele na Raisi mshikaji wako.........
Umezungumzia CDF ukawasahau wengine km Mkuu wa Majeshi wa 6 Robert Mboma huyu kapiganisha vita na kaingia mstari wa mbele akiwa Pilot na kachakaza ndege za Idd amini akitokea Ngerengere
Kwa vile tunamzika Mzee wetu Gen Tumainiel Kiwelu nitatafuta muda nikumegee kipigo cha Kagera au akipatikana Echolima
Jambo jingine, Generali Mboma wakati huo alikuwa Pilot na ndiye aliyeongoza kipigo kilichoziacha ndege yingi za amini kwenye uwanja wa Entebe taabani. Kama mnakumbuka ndege yetu iliyotunguliwa na majeshi yetu wenyewe kwa bahati mbaya,Rubani wa kijeshi aliyetunguliwa kwa makosa na JWTZ alikuwa ni Capt. Alexander Kaleya Mshana. Basi hawa akina mbona waliondoka Ngerere bila kutoa taarifa kwa makamanda wa vikosi vya nchi kavu (Hili lilifanyika makusudi) na wakaruka hadi Uganda. This wa the most precise target JWTZ did. hadi Amin akalalamika kwamba JWTZ ina mamluki wa kukodiwa. Kwa sababu ndege za amini zilikuwa zinajianda kuja kushambulia TZ, lakini ghafla, wakajikuta Ndege zetu zinaruka chini sana usawa wa ziwa hivyo kusababisha taharuki kubwa sana, na kwa kuwa ziliruka chini sana na kwa mwendo wa SUPERSONIC yaani mwendo unaozidi sauti zilisababisha hofu kubwa na majengo mengi ya vioo vilivunjika-vunjika na wetu wengi walitibiwa kwa Presha,wakati huo Benki kuu ya Uganda nayo ikapigwa.
Battelfield tactics zilipangwa na Col. Lupogo.

Makamnada walioongoza vita walikuwa ni Brig. Marwa, Brig. Mayunga, Brig. Kiwelu, na Brigadier Walden. Hawa ndio waliongia msituni na wapiganaji. Makamanda hawa alipata vyeo vyao hivyo kutokana na umahiri wao wa katika uongozi wa kijeshi, na wote walihudhuria mafunzo ya uongozi wa kijeshi ndani na nje ya nchi
................. itaendelea nimeinukuu mahali ................................
 
Back
Top Bottom