Tangu shujaa asepe naona hata taarifa zinatolewa na jeshi zinakua zimekamilika/ziko kisomi.
Tunaona mabadiliko kila sehemu.
HapanaHuyu Tumainieli kiwelu ndie aliyekua mkuu wa mkoa waa iringa aliyemuua Mwamwindi?
Hapana!Huyu Tumainieli kiwelu ndie aliyekua mkuu wa mkoa waa iringa aliyemuua Mwamwindi?
Hujui hata historia ya nchi yako, Mwamwindi alihukumiwa kunyongwa mpaka kufa baada ya kumuua aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Iringa Dr Kreluu mwaka 1972.Huyu Tumainieli kiwelu ndie aliyekua mkuu wa mkoa waa iringa aliyemuua Mwamwindi?
Hapana mkuu, yule alikuwa ni Kleruu halafu Mwamwindi ndiye aliymuua huyu KleruuHuyu Tumainieli kiwelu ndie aliyekua mkuu wa mkoa waa iringa aliyemuua Mwamwindi?
na atazikwa shambani kwake Mbezi Luis Dar es salaam tarehe 22 May 2021
Mwinyi 20 hukoUmri ulishaenda mkuu..mtu kazaliwa miaka ya 40 huko
Alie uawa na mwamindi mkuu ni dr kleruuHuyu Tumainieli kiwelu ndie aliyekua mkuu wa mkoa waa iringa aliyemuua Mwamwindi?
Duh! Uko darasa la ngapi?Huyu Tumainieli kiwelu ndie aliyekua mkuu wa mkoa waa iringa aliyemuua Mwamwindi?
Umri ulishaenda mkuu..mtu kazaliwa miaka ya 40 huko
Hahaha mbona kinyume chake?Huyu Tumainieli kiwelu ndie aliyekua mkuu wa mkoa waa iringa aliyemuua Mwamwindi?