Jenerali Ulimwengu: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kina zaidi ya wanachama milioni 8, lakini kina mawazo ya kufikiri yasiyozidi matatu

Ulimwengu anapaswa astaafu na apumzike. Yeye alishakuwa kiongozi mkubwa serikalini na hakuna alichofanya na vizazi vya eneo husika kumkumbuka. Ni sawa na Jaji Waryoba..wapiga kelele. Askofu anapenda kick na makofi.
Wewe hapo mtaani umewahi kufanya nini cha maana??
 
Wewe kinakuuma nini? Si uende kwa Gwajima ukamuulize kwanza? Yaani akili zenu finyu kama za mjusi kafiri mnachowaza ni kupangia watu cha kupost humu.
 
Nahitaji watu wenye sifa zifuatazo;

1. Wazalendo
2. Wazalendo
3. Wazalendo
4. Wenye kutafuta suluhisho badala ya kulalamika
5. Walio tayari kuwekeza kwenye long time plans.

NB
Wajumbe watafanyiwa usaili kabla ya kupewa jukumu.

Komenti yako hapa au njoo DM.
 
Hawa wataishia kuwa wanafalsafa tuu
 
Miaka 6 chama kimeshindwa kuwapa nyongeza ya mishahara watumishi wa umma.Je kuna fikra tena hapo?
 
"Tunaupungufu mkubwa katika Taifa letu la watu wenye Fikra na Uthubutu; Wapo wenye Uthubutu lakini hawana Fikra, kuna watu unawaona wana Fikra lakini hawana Uthubutu. Makundi haya yanahitaji daraja kuyaunganisha" - Askofu Bagonza
 
"Chama Cha Mapinduzi (CCM) kina zaidi ya wanachama milioni 8, lakini kina mawazo ya kufikiri yasiyozidi matatu" - Jenerali Ulimwengu
Mwingine huyo hapo๐Ÿ‘‡
 

Attachments

  • VID-20220327-WA0003.mp4
    4.9 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ