Jenerali Ulimwengu: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kina zaidi ya wanachama milioni 8, lakini kina mawazo ya kufikiri yasiyozidi matatu

Jenerali Ulimwengu: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kina zaidi ya wanachama milioni 8, lakini kina mawazo ya kufikiri yasiyozidi matatu

Nani? Ulimwengu! Miaka ya 70 ni sawa, siyo TZ ya leo. Muulizeni alipoingia Kikwete, yeye na mwenzake Tibaijuka waliendesha kipindi cha Ulimwengu on Monday, wakizomea utawala wa Mkapa. Ilikuwaje Tibaijuka akapewa Uwaziri na yeye akaachwa pembeni? Tunamjua kuliko wewe mwenye digrii ya JF, boss!
1. Jenerali hajikombi, hivyo kumpa cheo siyo rahisi
2. Jenerali Ni msomi wa kweli, siyo nyinyi wa Jalalani Kabudi and Co. LTD..wakati wa kweli wa Mzee Punch na Kiingereza maridadi
3. Sina degree ya Tanzania Kama wewe. Kama huna Western Europe or USA awarded degree then you are useless [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ndiyo maana Tz tumefika hapa
 
Hiyo akili umeipimaje? Kilichomtuma kusoma kiingereza badala ya Physics ni nini? Mwanaume mzima!
Kiingereza kigumu ndiyo maana Tz làbda wanaokujua Ni wawili au watatu, wengine wanababia...mpàka ufikirie namba ya kuunda sentence..Soma makala ya Jenerali ya Kiingereza, utapenda
 
Jiwe aliharibu sana hii nchi. Yaani mpaka leo najiuliza Bashite, Mnyeti, Sabaya walidumune kwenye nafasi za uongozi.

Kesho naenda kuona kitovu cha utalii
 
Hiyo akili umeipimaje? Kilichomtuma kusoma kiingereza badala ya Physics ni nini? Mwanaume mzima!
Katika academic world, akili unaipima kwa number of publications in peer reviewed journals and journal ranking...uki publish kwenye Nature, Science and the like, then wewe una akili. Au wasemaje Mchunguzi
 
Ulimwengu anapaswa astaafu na apumzike. Yeye alishakuwa kiongozi mkubwa serikalini na hakuna alichofanya na vizazi vya eneo husika kumkumbuka. Ni sawa na Jaji Waryoba..wapiga kelele. Askofu anapenda kick na makofi.
Astaafu nini ?
 
Wakifika wanachama milioni 10+ kutakuwa na wazo Moja tu safari si ndefu sana
 
Hayo maoni ya Jenerali Ulimwengu ni matunda ya Rais SSH ambaye mara alipoapishwa aliruhusu uhuru wa maoni (freedom of expression/ speech).
Miaka 5 ya Mwendazake Jenerali hakuwahi kupata fursa ya kuongea kitu kama hicho kwa kuwa matokeo yake alikuwa anayajua.

Kwenye nchi ya watu 60 Milioni huwezi kumridhisha kila mtu hususan wale ambao walikuwa wanafaidi awamu iliyotangulia, vyama vya UPINZANI na wale waliokosa fursa kwa namna moja au nyingine.

Binafsi yangu namuona Rais SSH yuko kwenye right perspective kwa namna aliyoweka vipaumbele vyake especially kujenga uchumi. Yeye achape kazi tu wala asihangaike kuridhisha makundi masilahi.

Jenerali yuko overrated na wachache wanaomuona ni genious lakini hana lolote na wala asituletee UJINGA wao wa KIRUNDI hapa.
 
MWANDISHI wa Habari Mkongwe, Jenerali Ulimwengu leo Septemba 21,2021 amezindua Kitabu chake RAI YA JENERALI jijini Mwanza na kuhudhuriwa na Askofu Benson Bagonza.

𝗛𝗔𝗬𝗔 𝗡𝗜 𝗕𝗔𝗔𝗗𝗛𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗡𝗘𝗡𝗢 𝗬𝗔𝗪𝗔𝗟𝗜𝗬𝗢𝗭𝗨𝗡𝗚𝗨𝗠𝗭𝗔 𝗪𝗔𝗞𝗔𝗧𝗜 𝗪𝗔 𝗨𝗭𝗜𝗡𝗗𝗨𝗭𝗜 𝗛𝗨𝗢....

"Chama Cha Mapinduzi (CCM) kina zaidi ya wanachama milioni 8, lakini kina mawazo ya kufikiri yasiyozidi matatu" - Jenerali Ulimwengu

"Hakuna uwezekano wa kizazi chetu kupata maendeleo na kupiga hatua ikiwa kitaendelelea kufundishwa kwa lugha wasioijua na pia wale wanaowafundisha nao hawaijui hiyo lugha"- Jenerali Ulimwengu

"Hakuna swali la kijinga ila majibu ndo ya kijinga"- Jenerali Ulimwengu

𝗔𝘀𝗸𝗼𝗳𝘂 𝗕𝗲𝗻𝘀𝗼𝗻 𝗕𝗮𝗴𝗼𝗻𝘇𝗮

"Mwalimu Nyerere aliwahi kusema marais wazuri waongoze kwa vipindi viwili ili waondoke na uzuri wao, lakini marais wabaya wao wataondolewa na wananchi" - Askofu Bagonza

"Tabia ya watu kusifia viongozi waliopo madarakani kufanywe kama kosa la jinai ili kupunguza watu kujipendekeza kwa viongozi kupata uongozi"- Askofu Bagonza

"Watanzania wanahitaji katiba yenye uwezo wa kuweka na kuwaondoa viongozi madarakani badala ilivyo kwa sasa" - Askofu Bagonza

"Muujiza wa elimu ya Tanzania kiongozi akichaguliwa leo akiwa hajui kitu, akishaingia madarakani kesho yake anakuwa anajua kila kitu"- Askofu Bagonza

"Tunaupungufu mkubwa katika Taifa letu la watu wenye Fikra na Uthubutu; Wapo wenye Uthubutu lakini hawana Fikra, kuna watu unawaona wana Fikra lakini hawana Uthubutu. Makundi haya yanahitaji daraja kuyaunganisha" - Askofu Bagonza

"Aslimia 60 ya wabunge wa CCM waliopo bungeni kwa sasa hawakushinda kura za maoni ndani ya chama chao, hata wanachama wao wanajua na wanaona kabisa hawakuwachagua na hivyo wanaona siyo wa wabunge wao"- Askofu Bagonza

"Bunge la sasa lina utata, kuna mabunge mawili (2), moja lipo mdomoni mwa watu na lingiine lipo mioyoni mwa watu," -Askofu Bagonza

Chanzo; Nipashe Mwanga Wa Jamii #NipasheHabari
Lugha yake imekua kali kidogo eh?
 
Hayo maoni ya Jenerali Ulimwengu ni matunda ya Rais SSH ambaye mara alipoapishwa aliruhusu uhuru wa maoni (freedom of expression/ speech).
Miaka 5 ya Mwendazake Jenerali hakuwahi kupata fursa ya kuongea kitu kama hicho kwa kuwa matokeo yake alikuwa anayajua.

Kwenye nchi ya watu 60 Milioni huwezi kumridhisha kila mtu hususan wale ambao walikuwa wanafaidi awamu iliyotangulia, vyama vya UPINZANI na wale waliokosa fursa kwa namna moja au nyingine.

Binafsi yangu namuona Rais SSH yuko kwenye right perspective kwa namna aliyoweka vipaumbele vyake especially kujenga uchumi. Yeye achape kazi tu wala asihangaike kuridhisha makundi masilahi.

Jenerali yuko overrated na wachache wanaomuona ni genious lakini hana lolote na wala asituletee UJINGA wao wa KIRUNDI hapa.
By this post, You are portraying what Jenerali has mounted today! 8 million but only three ideas
 
Hayo maoni ya Jenerali Ulimwengu ni matunda ya Rais SSH ambaye mara alipoapishwa aliruhusu uhuru wa maoni (freedom of expression/ speech).
Miaka 5 ya Mwendazake Jenerali hakuwahi kupata fursa ya kuongea kitu kama hicho kwa kuwa matokeo yake alikuwa anayajua.

Kwenye nchi ya watu 60 Milioni huwezi kumridhisha kila mtu hususan wale ambao walikuwa wanafaidi awamu iliyotangulia, vyama vya UPINZANI na wale waliokosa fursa kwa namna moja au nyingine.

Binafsi yangu namuona Rais SSH yuko kwenye right perspective kwa namna aliyoweka vipaumbele vyake especially kujenga uchumi. Yeye achape kazi tu wala asihangaike kuridhisha makundi masilahi.

Jenerali yuko overrated na wachache wanaomuona ni genious lakini hana lolote na wala asituletee UJINGA wao wa KIRUNDI hapa.
Burundi Wana akili kuliko nyinyi CCM
 
MWANDISHI wa Habari Mkongwe, Jenerali Ulimwengu leo Septemba 21,2021 amezindua Kitabu chake RAI YA JENERALI jijini Mwanza na kuhudhuriwa na Askofu Benson Bagonza.

𝗛𝗔𝗬𝗔 𝗡𝗜 𝗕𝗔𝗔𝗗𝗛𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗡𝗘𝗡𝗢 𝗬𝗔𝗪𝗔𝗟𝗜𝗬𝗢𝗭𝗨𝗡𝗚𝗨𝗠𝗭𝗔 𝗪𝗔𝗞𝗔𝗧𝗜 𝗪𝗔 𝗨𝗭𝗜𝗡𝗗𝗨𝗭𝗜 𝗛𝗨𝗢....

"Chama Cha Mapinduzi (CCM) kina zaidi ya wanachama milioni 8, lakini kina mawazo ya kufikiri yasiyozidi matatu" - Jenerali Ulimwengu

"Hakuna uwezekano wa kizazi chetu kupata maendeleo na kupiga hatua ikiwa kitaendelelea kufundishwa kwa lugha wasioijua na pia wale wanaowafundisha nao hawaijui hiyo lugha"- Jenerali Ulimwengu

"Hakuna swali la kijinga ila majibu ndo ya kijinga"- Jenerali Ulimwengu

𝗔𝘀𝗸𝗼𝗳𝘂 𝗕𝗲𝗻𝘀𝗼𝗻 𝗕𝗮𝗴𝗼𝗻𝘇𝗮

"Mwalimu Nyerere aliwahi kusema marais wazuri waongoze kwa vipindi viwili ili waondoke na uzuri wao, lakini marais wabaya wao wataondolewa na wananchi" - Askofu Bagonza

"Tabia ya watu kusifia viongozi waliopo madarakani kufanywe kama kosa la jinai ili kupunguza watu kujipendekeza kwa viongozi kupata uongozi"- Askofu Bagonza

"Watanzania wanahitaji katiba yenye uwezo wa kuweka na kuwaondoa viongozi madarakani badala ilivyo kwa sasa" - Askofu Bagonza

"Muujiza wa elimu ya Tanzania kiongozi akichaguliwa leo akiwa hajui kitu, akishaingia madarakani kesho yake anakuwa anajua kila kitu"- Askofu Bagonza

"Tunaupungufu mkubwa katika Taifa letu la watu wenye Fikra na Uthubutu; Wapo wenye Uthubutu lakini hawana Fikra, kuna watu unawaona wana Fikra lakini hawana Uthubutu. Makundi haya yanahitaji daraja kuyaunganisha" - Askofu Bagonza

"Aslimia 60 ya wabunge wa CCM waliopo bungeni kwa sasa hawakushinda kura za maoni ndani ya chama chao, hata wanachama wao wanajua na wanaona kabisa hawakuwachagua na hivyo wanaona siyo wa wabunge wao"- Askofu Bagonza

"Bunge la sasa lina utata, kuna mabunge mawili (2), moja lipo mdomoni mwa watu na lingiine lipo mioyoni mwa watu," -Askofu Bagonza

Chanzo; Nipashe Mwanga Wa Jamii #NipasheHabari
Huyu mzee tumbaku imemuharibu ubongo

USSR
 
Nchi imesimama hakuna mwananchi anaejielewa tena mwenye matumaini na CCM kwamba itatutoa hatua moja kimaendeleo itupeleke hatua nyingine.

CCM wamechokwa na wananchi, na akili zao zimechoka pia ndio maana kila siku wanarudia kuteua watu walewale waliowatupa wenyewe jalalani, hakuna plan B ya kuongoza serikali, ni business as usual.

Wanachobadili ni sura zao tu, tena nyingine sio mpya ni zile zile miaka na miaka, nazo zimechokwa na wananchi, kule bungeni wamejazana wao hawana jipya, hakuna mwenye habari nao.

Wananchi nao wamezidi kuchoka kiuchumi, ni tozo za kila aina toka kila upande, CCM kuongoza wameshashindwa lakini wanaona sifa kuendelea kuiba kura ili wazidi kumkandamiza mtanzania wa kawaida kwa matokeo ya akili zao mgando.
So hujielewi

USSR
 
Back
Top Bottom