Jenerali Ulimwengu: Katiba mpya ni suala tutalojadili bila ukomo, hakuna wa kutuzuia kujadili

na mabeberu [emoji1787][emoji1787], yaani Tanzania sijui siku hizi imekuaje kikiongelewa kitu kinyume na matakwa au matarajio ya serikali/CCM basi unatumika
Hivi vichwa nazi huna Haja ya kusumbuka nazo;
Kiturilo
Idugunde
Mjingamimi
....
....
....
 
Hivi vichwa nazi huna Haja ya kusumbuka nazo;
Kiturilo
Idugunde
Mjingamimi
....
....
....
😂 hivyi sio vichwa ni mifuko ya nyanya mashalo, kuna yule jina lake ni nambanamba, ussr and the like wanatamani hata mama akijamba wamsifie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…