Jenerali Ulimwengu: Katiba mpya ni suala tutalojadili bila ukomo, hakuna wa kutuzuia kujadili

Jenerali Ulimwengu: Katiba mpya ni suala tutalojadili bila ukomo, hakuna wa kutuzuia kujadili

Hana njaa Kama wewe,hahitaji kusomesha watoto au kiwanja Cha kujenga makazi,
Nyie msiyokuwa na mbele Wala nyuma endeleeni kutumika kwa kupewa 7,000 ya kujaza tumbo.
Nje ya mada
 
mbowe hajafungwa Yuko nje serikali tujifunze kitu kamateni na jenerali nawengine tieni ndani kwa ugaidi
 
Tumejadili sana suala la katiba mpya na nadhani tutaendelea kujadili zaidi. Lazima tuendelee kujadili kwa uwazi na ukubwa. Hata tukija kuandika katiba mpya na wananchi wakaipitisha, bado tutaendelea kuijadili. Hakuna mtu wa kuzuia hilo- Jenerali Ulimwengu https://t.co/ePitXJSG8g

View attachment 2036056
Huyu ndiye anatakiwa apewe PhD sasa. Siyo unampa msukuma na sitashangaa Jobo akimsifia na kumpongeza pale mjengoni
 
Back
Top Bottom