Hana njaa Kama wewe,hahitaji kusomesha watoto au kiwanja Cha kujenga makazi,
Nyie msiyokuwa na mbele Wala nyuma endeleeni kutumika kwa kupewa 7,000 ya kujaza tumbo.
Tumejadili sana suala la katiba mpya na nadhani tutaendelea kujadili zaidi. Lazima tuendelee kujadili kwa uwazi na ukubwa. Hata tukija kuandika katiba mpya na wananchi wakaipitisha, bado tutaendelea kuijadili. Hakuna mtu wa kuzuia hilo- Jenerali Ulimwengu https://t.co/ePitXJSG8g