Jenerali Ulimwengu: Kuna Mtanzania alitufanya Mazuzu

Jenerali Ulimwengu: Kuna Mtanzania alitufanya Mazuzu

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Akitoa mada Kwenye Mkutano wa TCD, Generali Ulimwengu alisema, kuna Mtanzania Mmoja alikufa miaka michache iliyopita alitupulizia uzuzu na wote tukawa mazuzu.

Generali apewe ulinzi

Tazama Video
 
Mtazamo wangu:
Shida ipo kwenye katiba na sio mtu. Pale Ikulu hata aende malaika kwa katiba tuliyo nayo, bado atatoka na pembe kama zote.
Na wenye nchi washaliona hilo, wakikubali kubadilisha katiba, ndipo tutakapo toboa.
 
Mtazamo wangu:
Shida ipo kwenye katiba na sio mtu. Pale Ikulu hata aende malaika kwa katiba tuliyo nayo, bado atatoka na pembe kama zote.
Na wenye nchi washaliona hilo, wakikubali kubadilisha katiba, ndipo tutakapo toboa.
Shida ni watu si katiba. katiba si mwarobaini wa matatizo ya Tanzania na Africa kwa ujumla, watu ndiyo tatizo.
Katiba tuliyonayo inamfanya Rais kuwa Demigod lakini bado Rais anaona haimtoshi na anaamua kufanya yaliyo nje yake na hakuna muhimili wa kumzuia ilhali miimili hiyo imepewa nguvu sawa na serikali.

Hata leo tukichukua Katiba Ya Us yote bado Rais wa Tanzania anaweza fanya anavyotaka na hakuna wa kumfanya Chochote.
Trump alikuwa akienda kinyume Mahakama inamwambia"STOP". Je, Tanzania tuna mahakama ya kumzuia Rais?.
 
Shida ni watu si katiba. katiba si mwarobaini wa matatizo ya Tanzania na Africa kwa ujumla, watu ndiyo tatizo.
Katiba tuliyonayo inamfanya Rais kuwa Demigod lakini bado Rais anaona haimtoshi na anaamua kufanya yaliyo nje yake na hakuna muhimili wa kumzuia ilhali miimili hiyo imepewa nguvu sawa na serikali.
Hata leo tukichukua Katiba Ya Us yote bado Rais wa Tanzania anaweza fanya anavyotaka na hakuna wa kumfanya Chochote.
Trump alikuwa akienda kinyume Mahakama inamwambia"STOP". Je, Tanzania tuna mahakama ya kumzuia Rais?.
Katiba yetu hairuhusu Kiti cha Raisi kuingiliwa na mamlaka nyingine yoyote, labda Rais mwenyewe aamue kwa utashi wake na kwa mapenzi yake.
 
Shida ni watu si katiba. katiba si mwarobaini wa matatizo ya Tanzania na Africa kwa ujumla, watu ndiyo tatizo.
Katiba tuliyonayo inamfanya Rais kuwa Demigod lakini bado Rais anaona haimtoshi na anaamua kufanya yaliyo nje yake na hakuna muhimili wa kumzuia ilhali miimili hiyo imepewa nguvu sawa na serikali.
Hata leo tukichukua Katiba Ya Us yote bado Rais wa Tanzania anaweza fanya anavyotaka na hakuna wa kumfanya Chochote.
Trump alikuwa akienda kinyume Mahakama inamwambia"STOP". Je, Tanzania tuna mahakama ya kumzuia Rais?.

kama sio katiba basi naomba nenda pale polisi kawaambie msitumie PGO.ndio utaelewa kuwa kwa nini watu wanataka katiba
 
Kumbe ndo maana mzee Ulimwengu aliwai kuambiwa sio raia,Tanzania atuna raia msomi alafu akawa na vijembe na umbea.
 
Back
Top Bottom