Jenerali Ulimwengu: Mtanzania anamkagua vizuri zaidi mbuzi wa kuchinjwa kesho kuliko anavyomkagua kiongozi atakayemtumikia kwa miaka 5

Jenerali Ulimwengu: Mtanzania anamkagua vizuri zaidi mbuzi wa kuchinjwa kesho kuliko anavyomkagua kiongozi atakayemtumikia kwa miaka 5

Sioni ulinganifu wa mada yake
Ulinganifu wa mada yake kama sijakosea ni kwamba wananchi tunachukua muda mfupi sana kuwachunguza kama watatufaa wale tunaowachagua kuwa wawakilishi wetu kwenye taasisi za maamuzi ukilinganisha na muda mrefu watu wanaotumia kumchunguza mbuzi wanaemnunua pale Vingunguti atakaechinjwa siku ya IDD au PASAKA!!!

As a people we are not serious in scrutinizing the caliber of the people we elect!!
 
Mimi nauita huo kuwa ni weledi wa kitanzania hasa kwa walioaminishwa kuwa ni wanyonge na wanathaminiwa ikiwa wengi wao ni wale wenye uelewa mdogo, wa wastani na hata ule wakati kituambacho kwa uhalisia hakina nafasi kwao zaidi ya kutumiwa na wenye manufaa hao binafsi zaidi na sii ya umma kama wadanganywavyo wadanga nyika.
 
Angejitokeza muelewa mmoja afafanue maana na umuhimu wa kuwepo upinzani bungeni, raia wengi elimu duni japo wapo diploma and wenye degree. Unajua wasomi huwa wanakalili kwa ajili ya kufaulu mitihani na siyo kuelimika.
 
Hahaahahhahahahhaahhahaahahhahahahaahahhahahhahahahhahaahhahahahahahhaahaahah hizi mbuzi zinazoongoza nchi tuwe tunazikagua

IMG_20210923_180327.jpg


IMG_20210914_082906.jpg


IMG_20210910_124755.jpg


IMG_20210917_125106.jpg


IMG_20210914_070921.jpg
 
Kweli...!! Alishawakilisha TYL ndani na nje ya nchi, akawa mbunge, akawa DC ...nk. Vyeo hivi alipewa, hakujipa. Mara paa, Ulimwengu si raia.
Maamuzi ya aina hii yanakera. Yanaingilia faragha za watu, yanatesa familia na kuathiri mahusiano na mambo ya aina kwa aina, yanakera. Ni lazima mwisho utajiuliza, hivi hao wanaofanya maamuzi ya aina hiyo, wakoje vichwaniii! Mimi sishangai
Huyu tangu siku ile kagunduliwa sio raia hajawahi sema kitu kizuri kuhusu ccm na serikali yake. Hata ukimamsha usiku hajajua unamuuliza nini kuhusu ccm atasema 'no'. Anajidai ndio anajua kila kitu 😂😂
 
Anachojaribu kusema Ulimwengu ni kuwa kwa Tanzania mbuzi ana thamani kuliko mwanasiasa.Lakini hiyo ni kwa dunia nzima vyakula vina thamani kuliko wanasiassa ndio maana kila nchi ziko mamlaka kibao za kusimamia ubora wa vyakula na uthibitisho wa ubora Kama TFDA,TBS nk kabla kuingia sokoni lakini hakuna mamlaka ya kusimamia ubora na viwango vya mwanasiasa popote duniani kuwa kabla kugombea kuwe na TBS au TFDA au ISO ya kuthibitisha ubora wake .Ndio maana hata migaidi inaingia kugombea baadaye inafunguliwa kesi

Atuombe samahani watanzania kote duniani ni hivyo
 
Ulinganifu wa mada yake kama sijakosea ni kwamba wananchi tunachukua muda mfupi sana kuwachunguza kama watatufaa wale tunaowachagua kuwa wawakilishi wetu kwenye taasisi za maamuzi ukilinganisha na muda mrefu watu wanaotumia kumchunguza mbuzi wanaemnunua pale Vingunguti atakaechinjwa siku ya IDD au PASAKA!!!

As a people we are not serious in scrutinizing the caliber of the people we elect!!
Wananchi hatupewi nafasi ya kuchagua viongozi wetu. Uchaguzi wa 2020 wabunge wote walipitishwa na Polepole na Bashiru na kupata baraka ya mwendazake. Kilichofuatia wengi walipita bila kupingwa.
 
Anachojaribu kusema Ulimwengu ni kuwa kwa Tanzania mbuzi ana thamani kuliko mwanasiasa.Lakini hiyo ni kwa dunia nzima vyakula vina thamani kuliko wanasiassa ndio maana kila nchi ziko mamlaka kibao za kusimamia ubora wa vyakula na uthibitisho wa ubora Kama TFDA,TBS no lakini hakuna mamlaka ya kusimamia ubora na viwango vya mwanasiasa popote duniani kuwa kabla kugombea kuwe na TBS au TFDA au ISO ya kuthibitisha ubora wake .

Atuombe samahani watanzania kote duniani ni hivyo
Ninaamini una akili za ziada kuliko hizi ulizotumia kuandika hapa.
 
Wananchi hatupewi nafasi ya kuchagua viongozi wetu. Uchaguzi wa 2020 wabunge wote walipitishwa na Polepole na Bashiru na kupata baraka ya mwendazake. Kilichofuatia wengi walipita bila kupingwa.
Weka ushahidi

Kura zilipigwa mbona hamkulalamika kuwa mliibiwa kura kituo fulani? Mbona Kama mliibiwa na ushahidi mnao mbona hamkwenda mahakamani walau hata kushtaki tu mkatulia tuli?

Unachoongea hapa ni.umbeya usio na chembe ya ushahidi
 
Weka ushahidi

Kura zilipigwa mbona hamkulalamika kuwa mliibiwa kura kituo fulani? Mbona Kama mliibiwa na ushahidi mnao mbona hamkwenda mahakamani walau hata kushtaki tu mkatulia tuli?

Unachoongea hapa ni.umbeya usio na chembe ya ushahidi
Tume ikiwa huru baada ya katiba mpya hiki kiburi chako hitakwisha.
 
Back
Top Bottom