YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Akina mbowe na wabunge zaidi ya 40 wa upinzani walifanikiwa kuwa wabunge kwa kupitia tume ipi na katiba ipi? Si hii hii iliyopo?Tume ikiwa huru baada ya katiba mpya hiki kiburi chako hitakwisha.