Jenerali Ulimwengu: Mtanzania anamkagua vizuri zaidi mbuzi wa kuchinjwa kesho kuliko anavyomkagua kiongozi atakayemtumikia kwa miaka 5

Mr DC failure katika ubora wake.
Watu wengine wanapenda sana kupiga porojo wakati kazi halisi ziliwashinda.
 
Ndo maana huwa nawashangaa Sana wananchi wa KONGWA
 
"...kwa dunia nzima vyakula vina thamani kuliko wanasiasa..." Na hapo ndo tulipofika!
Umesahau hayo maTFDA yanawekwa na nani, anayatumiaje, kwa manufaa ya nani ...nk. Alichozungumzia Ulimwengu ni kuwa, pamoja na umuhimu wa hayo maTBS, bado anayeyasimamia ni mwanasiasa na kuna uwezekano akayateua, yakatumika vibaya, watu wakaathirika kutokana na matumizi mabaya ya madaraka.
Hivyo kinacho zungumziwa ni zaidi ya maTBS, ni pamoja na ubora wa katiba... au hilo pia ni gumu?! Na kama TFDA inasimamia ubora wa chakula, basi kubali pia mchakato wa wanasiasa unahitajika kupitia chombo fulani...(au?)
Mapambio yanapozidi yanaleta athari hasi kwa walengwa, wanapoteza umakini...nk, ya kisiasa yanapozidi sana, yanatafsiriwa kuwa ni kujikomba-kwa lugha yoyote ile, laini au kali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…