Jenerali Ulimwengu ni Nyerere wa kizazi kipya

Jenerali Ulimwengu ni Nyerere wa kizazi kipya

Bowie

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
4,373
Reaction score
6,084
Katika viongozi wachache tuliyobaki nao katika kujenga hoja na kuwa mkweli ni Jenerali Ulimwengu.

Hotuba nyingi za mwanasiasa huyo inanikumbusha jinsi Mwalimu Nyerere alivyokuwa akitoa hoja.

Hongera sana Mheshimiwa Jenerali Ulimwengu na watanzania tutaendelea kusikia na kupokea ushauri wako.

Ushauri wangu kwa Rais Samia Suluhu Hassan ushauri wa Jenerali Ulimwengu ni muhimu kwa kipindi cha utawala wako katika kurudisha utawala bora katika serikali ya awamu ya sita.

Nasikitika sana kuona Spika Ndugai akiota kama kuwa yupo katika awamu ya serikali ya mwendazake kwa kuendelea kutoa vitisho na ubabe kwa viongozi makini kama Jenerali Ulimwengu.

 
Yaani mtu anaetetea tumbo lake, anakomaa kumtishiaa anaetetea mstakabali wa waliowengi?Nchi imefika pabaya, genge fulani huona lenyewe ndiyo lenye nchi!!
 
Katika viongozi wachache tuliyobaki nao katika kujenga hoja na kuwa mkweli ni Jenerali Ulimwengu.

Hotuba nyingi za mwanasiasa huyo inanikumbusha jinsi Mwalimu Nyerere alivyokuwa akitoa hoja.

Hongera sana Mheshimiwa Jenerali Ulimwengu na watanzania tutaendelea kusikia na kupokea ushauri wako.

Ushauri wangu kwa Rais Samia Suluhu Hassan ushauri wa Jenerali Ulimwengu ni muhimu kwa kipindi cha utawala wako katika kurudisha utawala bora katika serikali ya awamu ya sita.

Nasikitika sana kuona Spika Ndugai akiota kama kuwa yupo katika awamu ya serikali ya mwendazake kwa kuendelea kutoa vitisho na ubabe kwa viongozi makini kama Jenerali Ulimwengu.



Wasiolipa kodi, na kuturundikia makodi na matozo kibao wana ushawishi upi katika jamii kiasi cha kujaribu kumnanga nani?

Ndugai versus Ulimwengu, ninasimama na Ulimwengu.

Go Ulimwengu go, tuko wengi pamoja nawe. Hofu yetu ni kwa anayetulisha tu wala si mwingine.
 
Wasiolipa kodi, na kuturundikia makodi na matozo kibao wana ushawishi upi katika jamii kiasi cha kujaribu kumnanga nani?

Ndugai versus Ulimwengu, ninasimama na Ulimwengu.

Go Ulimwengu go tuko wengi pamoja nawe. Hofu yetu ni kwa anayetulisha tu wala si mwingine.
Tuanzishe mikakati Job Ndugai must go
 
Sasa huyu anaongelea habar za mfu zinatusaidia nini , currently tuna mambo mengi ya kuyasawazisha ambao tuko hai tunakabiliana nayo , kutwa kuisema maiti tuuu, moja ya magenerali bogus kabisa
 
Katika viongozi wachache tuliyobaki nao katika kujenga hoja na kuwa mkweli ni Jenerali Ulimwengu.

Hotuba nyingi za mwanasiasa huyo inanikumbusha jinsi Mwalimu Nyerere alivyokuwa akitoa hoja.

Hongera sana Mheshimiwa Jenerali Ulimwengu na watanzania tutaendelea kusikia na kupokea ushauri wako.

Ushauri wangu kwa Rais Samia Suluhu Hassan ushauri wa Jenerali Ulimwengu ni muhimu kwa kipindi cha utawala wako katika kurudisha utawala bora katika serikali ya awamu ya sita.

Nasikitika sana kuona Spika Ndugai akiota kama kuwa yupo katika awamu ya serikali ya mwendazake kwa kuendelea kutoa vitisho na ubabe kwa viongozi makini kama Jenerali Ulimwengu.


Jenerali kama Jenerali. He is a Bold Well learned Man
 
Kwa mikwara aliyopiga ndugai, ana act kana kwamba na yeye ni sehemu ya serikali............mwakilishi wa wananchi unapopiga mkwara wananchi waliokuchagua ukawe mwakilishi wao inaleta mkanganyiko.
 
Sasa huyu anaongelea habar za mfu zinatusaidia nini , currently tuna mambo mengi ya kuyasawazisha ambao tuko hai tunakabiliana nayo , kutwa kuisema maiti tuuu, moja ya magenerali bogus kabisa
Maiti hasemwi. Yanayosema ni ili waliobaki wajifunze. Kuna wahuni wengi walikuwa na Marehemu tusipowambia watataka kuyaendeleza maovu ya marehemu.
 
Huyo ndugai ana umuhimu gani nchini? Ndiye speaker wa hovyo aliyesimamia sheria kandamizi zikipitishwa chini yake. Nini hasa amekifanya mpaka sasa hata nikisimama sehemu naweza nikawa proud kwa uwepo wake.?
 
Huyo ndugai ana umuhimu gani nchini? Ndiye speaker wa hovyo aliyesimamia sheria kandamizi zikipitishwa chini yake. Nini hasa amekifanya mpaka sasa hata nikisimama sehemu naweza nikawa proud kwa uwepo wake.?
Anajiaibisha tu. Hamna kitu pale.
 
Back
Top Bottom