Jenerali Ulimwengu: Sioni ajabu mapinduzi ya kijeshi Guinea. Yatafika haraka nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara

Jenerali Ulimwengu: Sioni ajabu mapinduzi ya kijeshi Guinea. Yatafika haraka nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara

Mapinduzi ni mambo ya kizamani!
Kwa mzee wa miaka 83+ kung'ang'ania madaraka na kutaka atawale mpaka afe si mambo ya kizamani tu, bali ni ya kishamba na kishenzi sana.

Mapinduzi ya kijeshi ndio njia pekee iliyobaki maana sanduku la kura halishemiwi hata kidogo na wananchi ni mbumbumbu/cowards wasioweza kujitokeza na kushinikiza ving'ang'anizi kuachia madaraka kwa mujibu wa Katiba.

AU ni akina nani? 95% ni wazee 78+ ambao wapo madarakani kwa wizi, unyang'anyi na udanganyifu. Dictator Konte ni mwenzao na lazima wamtetee.

Konte.jpeg
 
Akihojiwa na kipindi cha BBC kinachorushwa na television ya star TV tarehe 7 mwezi huu kuhusu mapinduzi ya Guinea.
Generali ulimwengu amesema yeye haoni ajabu Kwa Yale yaliyotokea Guinea.
Na akatabiri pia kuwa hali hiyo ya kimapinduzi ya kijeshi itafika Kwa Kwa haraka sana ktk nchi zote zilizo kusini mwa jangwa la sahara.
Alipoulizwa kwann anawaza hivyo alisema kuwa kilichokuwa kinafanywa Na Alpha Konde ya ukandamizaji, dhurumati, kutokujali demokrasia, na ufunjifu wa haki za binadamu ,vitendo hivyo viovu vinafanywa pia Na baadhi ya serikali zilizo kusini mwa jangwa la sahara na nchi zetu za afrika mashariki.
Generali aliendelea kushangaa kuona AU na ECOWAS wakilaani mapinduzi hayo huku wakiwa walishindwa kukemea matendo mabaya ya raisi konde
Alisema hali hiyo ya kimapinduzi ya kijeshi hayana muda mrefu itafika ktk nchi zetu wakati wowote kuanzia sasa
Generali ulimwengu ambae kwasasa ni mtu mzima na mwenye busara ni mtu asiyependa unafiki na hupenda kusema ukweli na maneno yake Mara Nyingi hutimia kama anavyotabiri
Wale mashahidi wanne wa ambowe Ni wajeda
Tuanzie hapo
 
Akihojiwa na kipindi cha BBC kinachorushwa na television ya star TV tarehe 7 mwezi huu kuhusu mapinduzi ya Guinea.
Generali ulimwengu amesema yeye haoni ajabu Kwa Yale yaliyotokea Guinea.
Na akatabiri pia kuwa hali hiyo ya kimapinduzi ya kijeshi itafika Kwa Kwa haraka sana ktk nchi zote zilizo kusini mwa jangwa la sahara.
Alipoulizwa kwann anawaza hivyo alisema kuwa kilichokuwa kinafanywa Na Alpha Konde ya ukandamizaji, dhurumati, kutokujali demokrasia, na ufunjifu wa haki za binadamu ,vitendo hivyo viovu vinafanywa pia Na baadhi ya serikali zilizo kusini mwa jangwa la sahara na nchi zetu za afrika mashariki.
Generali aliendelea kushangaa kuona AU na ECOWAS wakilaani mapinduzi hayo huku wakiwa walishindwa kukemea matendo mabaya ya raisi konde
Alisema hali hiyo ya kimapinduzi ya kijeshi hayana muda mrefu itafika ktk nchi zetu wakati wowote kuanzia sasa
Generali ulimwengu ambae kwasasa ni mtu mzima na mwenye busara ni mtu asiyependa unafiki na hupenda kusema ukweli na maneno yake Mara Nyingi hutimia kama anavyotabiri
Itakuwa rahisi mno kwani kuna mchi moja East Africa robo ya Wakuu wa Mikoa ni Wanajeshi.....😁🤣🤣🙄🙄🙏🙏

Ulimwengu ni AKILI KUWA...
 
Kosa alilofanya Alpha Conde ni kugusa maslahi ya wanajeshi hapo ndio shida ilipoanzia...

Alpha Conde na wenzie ujinga hawakuanza leo wala jana, ni miaka mingi sana wanafanya ukandamizaji huu... lakini hao wajeda tunaowasifia walikuwepo na walimlinda kwa nguvu zote..

Utaona hapo shida ni ile ile tu, ubinafsi na unafiki wa WaAfrica kujali matumbo..

Pale Cameroon kuna lijamaa linafanya ufala na wajeda wapo tu wanaliangalia...ila siku yakiguswa maslahi yao nao tutawaita mashujaa.
 
Ulimwengu yupo sahihi kabisa,jiulize wakati Conde anabadilisha katiba Ecowas na AU walikuwa wapi. Ivory Coast the same Quattara naye kapanua goli na wote waliingia wakiwa wapinzani. Look at what is happening in Cameroon,Rwanda,Uganda,Gabon and in most African countries is beyond incredible. Bad governance,corruption,overstaying in power,poor democracy na undugu kwenye madaraka. Kwa hali tunayoendanayo mapinduzi yataendelea na ni something inevitable kwa majeshi yanayojielewa.
 
Akihojiwa na kipindi cha BBC kinachorushwa na television ya star TV tarehe 7 mwezi huu kuhusu mapinduzi ya Guinea.
Generali ulimwengu amesema yeye haoni ajabu Kwa Yale yaliyotokea Guinea.
Na akatabiri pia kuwa hali hiyo ya kimapinduzi ya kijeshi itafika Kwa Kwa haraka sana ktk nchi zote zilizo kusini mwa jangwa la sahara.
Alipoulizwa kwann anawaza hivyo alisema kuwa kilichokuwa kinafanywa Na Alpha Konde ya ukandamizaji, dhurumati, kutokujali demokrasia, na ufunjifu wa haki za binadamu ,vitendo hivyo viovu vinafanywa pia Na baadhi ya serikali zilizo kusini mwa jangwa la sahara na nchi zetu za afrika mashariki.
Generali aliendelea kushangaa kuona AU na ECOWAS wakilaani mapinduzi hayo huku wakiwa walishindwa kukemea matendo mabaya ya raisi konde
Alisema hali hiyo ya kimapinduzi ya kijeshi hayana muda mrefu itafika ktk nchi zetu wakati wowote kuanzia sasa
Generali ulimwengu ambae kwasasa ni mtu mzima na mwenye busara ni mtu asiyependa unafiki na hupenda kusema ukweli na maneno yake Mara Nyingi hutimia kama anavyotabiri
Yaje tu tumechoka
 
Akihojiwa na kipindi cha BBC kinachorushwa na television ya star TV tarehe 7 mwezi huu kuhusu mapinduzi ya Guinea.
Generali ulimwengu amesema yeye haoni ajabu Kwa Yale yaliyotokea Guinea.
Na akatabiri pia kuwa hali hiyo ya kimapinduzi ya kijeshi itafika Kwa Kwa haraka sana ktk nchi zote zilizo kusini mwa jangwa la sahara.
Alipoulizwa kwann anawaza hivyo alisema kuwa kilichokuwa kinafanywa Na Alpha Konde ya ukandamizaji, dhurumati, kutokujali demokrasia, na ufunjifu wa haki za binadamu ,vitendo hivyo viovu vinafanywa pia Na baadhi ya serikali zilizo kusini mwa jangwa la sahara na nchi zetu za afrika mashariki.
Generali aliendelea kushangaa kuona AU na ECOWAS wakilaani mapinduzi hayo huku wakiwa walishindwa kukemea matendo mabaya ya raisi konde
Alisema hali hiyo ya kimapinduzi ya kijeshi hayana muda mrefu itafika ktk nchi zetu wakati wowote kuanzia sasa
Generali ulimwengu ambae kwasasa ni mtu mzima na mwenye busara ni mtu asiyependa unafiki na hupenda kusema ukweli na maneno yake Mara Nyingi hutimia kama anavyotabiri
The naked truth.

Wao wanatutawala kama ng'ombe ila wakipinduliwa na wao kama mbuzi wanalalamika.

Umeshindwa kutawala kwa haki jambo linalowezekana utatawaliwa kama ng'ombe sasa.
 
Ulimwengu yupo sahihi kabisa,jiulize wakati Conde anabadilisha katiba Ecowas na AU walikuwa wapi. Ivory Coast the same Quattara naye kapanua goli na wote waliingia wakiwa wapinzani. Look at what is happening in Cameroon,Rwanda,Uganda,Gabon and in most African countries is beyond incredible. Bad governance,corruption,overstaying in power,poor democracy na undugu kwenye madaraka. Kwa hali tunayoendanayo mapinduzi yataendelea na ni something inevitable kwa majeshi yanayojielewa.
Walimpindua Mugabe, wakampindua Idrisa, wakampindua Yahya Jammeh. Hayatashindikana kwingine
 
Anachoongea Jenerali ni sahihi kwa mujibu wa historical calculations wala sio utabiri.

Hauhitaji akili kubwa kuona yajayo East Africa ni km ya Guinea ndio maana Museveni alilaani sana hayo mapinduzi akijua yeye ni next.

A.U. nayo inatakiwa kuondolewa kimapinduzi tu haina maana tena,inalinda maslahi ya madikteta.
History is learning the past and predict the future. Historia ina tabia ya kujirudia.
 
Mzee aache kututisha, wao wamekula maisha kukiwa hamna vita kipindi chao sasa iweje leo atutabirie dhiki?
Rejea vita vya Uganda. Mawili uenda ulikuwa haujulikani ama una matatizo ya akili Twaha Ulimwengu sio Ndugai ama Majaliwa.
 
Back
Top Bottom