Jenerali Ulimwengu: Wakosoaji hawamtendei haki Paul Kagame

Jenerali Ulimwengu: Wakosoaji hawamtendei haki Paul Kagame

Kesi iko mahakamani na movement nyingine zinaendelea kisha unasema litapita!, au ndio unaomba lipite kwasababu hujawahi kusema chochote kuhusu unyama waliofanyiwa watanganyika?

Usiishi kwa kukariri, jana sio leo, na leo haitakuwa kesho. Wewe endelea kuvizia tu na siasa zako, nini na wapi useme, pengine unaacha, sisi wengine tunasema pote penye kero za watanganyika.
WEZI WA BANDARI = WATANGANYIKA? 😅
 
Mimi binafsi namuheshimu mno Kagame kama mtanzania..
Wakimbizi wa Rwanda toka na tawala mbovu kabla yake walikuwa kutwa wanafurika Tanzania

Toka ashike hajazalisha mkimbizi wa Rwanda kuja Tanzania hata mmoja na waliokuwepo wote kwa hiari wanarudi Rwanda hivyo mpaka wetu na Rwanda ni mmoja wa mipaka bora isiyoingiza wakimbizi ina maana utawala bora nchini kwake uko vizuri ndio maana hakuna wakimbizi wa Rwanda waja nchini kwetu ambao tumekuwa tukiwapokea miaka nenda rudi

Na wakimbizi wengi wa Rwanda walioko nchini husikia raha kurudi Rwanda kwenye utawala wa Kagame na wanajisikia raha kuwa wanyarwanda

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni Kagame kafanya kazi kubwa mno

Ukiniuliza viongozi walio vizuri Afrika nchi zote za Africa toka zipate Uhuru wa kwanza nitakwambia Nyerere wa pili Kagame
 
Hata hapa Tanzania yakitokea machafuko inaweza kutangazwa hali ya hatari.

Ni ikitokea hivyo ujue Kuna uhuru utaukosa.

Nafananisha kiasi yaliyotokea Rwanda na hatua zilizochukuliwa kama ni hali ya hatari ya lazima.

Fikiria majeshi ya Umoja wa Mataifa hayakufanya kitu, makanisa yalichangia matatizo. Ulitaka Kagame spite kubembeleza watu?

Anacho fanya Kagame ni sahihi kabisa. Usilinganishe na Hali ya Tanzania.
 
Mimi binafsi namuheshimu mno Kagame kama mtanzania..
Wakimbizi wa Rwanda toka na tawala mbovu kabla yake walikuwa kutwa wanafurika Tanzania

Toka ashike hajazalisha mkimbizi wa Rwanda kuja Tanzania hata mmoja na waliokuwepo wote kwa hiari wanarudi Rwanda hivyo mpaka wetu na Rwanda ni mmoja wa mipaka bora isiyoingiza wakimbizi ina maana utawala bora nchini kwake uko vizuri ndio maana hakuna wakimbizi wa Rwanda waja nchini kwetu ambao tumekuwa tukiwapokea miaka nenda rudi

Na wakimbizi wengi wa Rwanda walioko nchini husikia raha kurudi Rwanda kwenye utawala wa Kagame na wanajisikia raha kuwa wanyarwanda

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni Kagame kafanya kazi kubwa mno

Ukiniuliza viongozi wakio vizuri Afrika nchi zote za Africa toka zipate Uhuru wa kwanza nitakwambia Nyerere wa pili Kagame
SIMPENDI KWA NYODO ZAKE, LAKINI NAUNGANA NAWEWE! 😅

NB: KAGAME P/SE LEAVE THAT SLEEPING MONSTER, ZAIRE, ALONE!
 
Yeah. Now its was a 'high time' that Kagame would release all political prisoners to UNHCR which could host them along Burundian refugees in Tanzania's refugee camps so that Kagame could focus on developmental agendas as well as development programs.
 
Ulimwengu ni mnyarwanda kwa hiyo hatushangai. Amkosoe Kagame kwani hajitaki?
 
Uyu kweli sio mtanzania,kama walivyokuwa wanamuofu viongozi waliopita,ivyo ikitokea Tanzania povu linadondoka,Kwa kagame sawa
 
Kesi ya CAG ipo mahakamani? Si mlisema kitanuka unless waliotajwa kwenye ripoti watakamatwa ghafla imekuja issue ya DP world mmepoa, soon mtasikia Feisal kahamia Simba mnasahau Dp world. Hao ndio waTanzania hayupo serious ni mihemko tu.

Hahahaha acha utani mkuu, hivi issue ya loliondo mliishia wapi? Hivi Kuna anayekumbuka kweli? Mind you watu wamesahau mambo ya Tozo na kelele za bando!! Hao hao wamesahau ripoti ya CAG

Niamini mimi kufikia December Hawa waTanganyika wapenda ngono na simbaYanga watakua busy na kufuatilia Bongo movie sio issue ya DP world.

Tuwe serious tuache mihemko otherwise CCM itaendelea kutuburuza
- Nazungumzia issue ya bandari iko mahakamani, usijijibu swali ulilojiuliza mwenyewe kichwani.

- Issue ya Loliondo nimeshakwambia usiishi kwa kukariri, kama la Loliondo lilipita, la bandari sio lazima lipite pia.

Wewe nimeshakuona kwenye hili la bandari umeamua kufumbia macho na mdomo unyama tuliofanyiwa watanganyika, nimeshakujua rangi zako halisi, hunisumbui kichwa, una siasa za kinafiki.

Last time nimekuuliza maoni yako kuhusu suala la bandari, ukanijibu hufanyii kazi hisia, nikakuuliza tena, hata zile terms mbovu za mkataba kwako bado ni hisia? ukapotea kimya mpaka leo, pale ndipo nikajua aina ya siasa unayofanya, ni unafiki mtupu.

Now I wonder, inakuaje huyu zitto junior afanane mpaka tabia na yule Zitto halisi....

Usichezee kichwa usichokijua, unajidai kupuuza jambo la msingi kwa kivuli cha "tabia za watanzania", lakini ukweli ni kwamba, kwenye hili suala la bandari, unapuuza kwa sababu ya tabia yako ya unafiki, kunyamazia uovu.
 
Kukosoana kuna mlengo. Ukiwa huru na unakosoa bila kuangalia sura binadamu tulivyo wa ajabu utaonekana chizi kama Mtikila.
 
Nazungumzia issue ya bandari iko mahakamani, usijijibu swali ulilojiuliza mwenyewe kichwani.
Kwamba mahakama inaweza kupinga mhimili wa Serikali? Hivi si tulikubaliana mahakama sio huru Sasa ni muujiza gani tunautegemea kwamba wanaweza kubali hoja za Mwabukusi? Yale Yale ya kumbukumbu ndogo tunayosema hapa.
Issue ya Loliondo nimeshakwambia usiishi kwa kukariri, kama la Loliondo lilipita, la bandari sio lazima lipite pia.
Nipo JF zaidi ya miaka 10 sasa so nimeshaona mada nzito kuliko bandari mfano 2012 Bomba la Mtwara watu walitishia mpaka kupindua nchi, 2015 Kulikua na kelele za mikataba ya gesi na mafuta iliyowapa Mabeberu hisa zaidi ya 80 kwenye vitalu vya gesi za Mtwara!! Watu wakapiga kelele mwezi mzima ila wakasahau mpaka Leo.
Wewe nimeshakuona kwenye hili la bandari umeamua kufumbia macho na mdomo unyama tuliofanyiwa watanganyika, nimeshakujua rangi zako halisi, hunisumbui kichwa, una siasa za kinafiki.
Ukimtoa The Boss wengi humu JF ni wanafiki maana wanatoa maoni kwa kuangalia mrengo waliopo. Mimi ni CHADEMA damu ila mara ngapi nlikua namtetea Maharage chande au January Makamba kuendesha Tanesco ki-private sector hadi mkaniita mlamba asali ila juzi mmesikia imeingiza FAIDA wote mmejificha!! so sijawahi kuwa na hofu kukinzana na maoni ya wengi humu kama naona hoja Ina mashiko.

Kinachofanya niepuke mijadala ya kitaalamu na watu lay men sababu wanaongozwa na hisia sio facts. Mimi nipo sana jukwaa la international na intelligence ndio Kuna mada ya moto inaendelea huko embu fungua uone data and facts za wachangiaji alafu njoo ulinganishe na michango kwenye threads za issue ya bandari.

Usichezee kichwa usichokijua
Kichwa kipi?! Laymen mkipita google mnajiona experts? Ndio tuwaogope?

, lakini ukweli ni kwamba, kwenye hili suala la bandari, unapuuza kwa sababu ya tabia yako ya unafiki, kunyamazia uovu
Sijawahi kujadili hiyo mada na wewe sababu ni layman ila Kuna Uzi niliitwa na Proved kuhusu bandari, nilichangia mbona mazuri na madhaifu ya IGA ila kikubwa zaidi nikasema suluhisho la bandari ni ubia na mwekezaji hata kama sio Dp world maana TPA imeshindwa kwa miaka 60 sasa.

Ngoja nitafute Ile link maana ni mwezi uliopita. Otherwise JF ibadilike namna watu wanajadili mada, mfano kama mtu hakubaliani na hoja yako hakuna haja ya kusema kalamba asali sijui kahongwa as if lazima Kila mtu aangalie jambo kwa mtazamo sawa na wako!!
 
Kwamba mahakama inaweza kupinga mhimili wa Serikali? Hivi si tulikubaliana mahakama sio huru Sasa ni muujiza gani tunautegemea kwamba wanaweza kubali hoja za Mwabukusi? Yale Yale ya kumbukumbu ndogo tunayosema hapa.

Nipo JF zaidi ya miaka 10 sasa so nimeshaona mada nzito kuliko bandari mfano 2012 Bomba la Mtwara watu walitishia mpaka kupindua nchi, 2015 Kulikua na kelele za mikataba ya gesi na mafuta iliyowapa Mabeberu hisa zaidi ya 80 kwenye vitalu vya gesi za Mtwara!! Watu wakapiga kelele mwezi mzima ila wakasahau mpaka Leo.

Ukimtoa The Boss wengi humu JF ni wanafiki maana wanatoa maoni kwa kuangalia mrengo waliopo. Mimi ni CHADEMA damu ila mara ngapi nlikua namtetea Maharage chande au January Makamba kuendesha Tanesco ki-private sector hadi mkaniita mlamba asali ila juzi mmesikia imeingiza FAIDA wote mmejificha!! so sijawahi kuwa na hofu kukinzana na maoni ya wengi humu kama naona hoja Ina mashiko.

Kinachofanya niepuke mijadala ya kitaalamu na watu lay men sababu wanaongozwa na hisia sio facts. Mimi nipo sana jukwaa la international na intelligence ndio Kuna mada ya moto inaendelea huko embu fungua uone data and facts za wachangiaji alafu njoo ulinganishe na michango kwenye threads za issue ya bandari.


Kichwa kipi?! Laymen mkipita google mnajiona experts? Ndio tuwaogope?


Sijawahi kujadili hiyo mada na wewe sababu ni layman ila Kuna Uzi niliitwa na Proved kuhusu bandari, nilichangia mbona mazuri na madhaifu ya IGA ila kikubwa zaidi nikasema suluhisho la bandari ni ubia na mwekezaji hata kama sio Dp world maana TPA imeshindwa kwa miaka 60 sasa.

Ngoja nitafute Ile link maana ni mwezi uliopita. Otherwise JF ibadilike namna watu wanajadili mada, mfano kama mtu hakubaliani na hoja yako hakuna haja ya kusema kalamba asali sijui kahongwa as if lazima Kila mtu aangalie jambo kwa mtazamo sawa na wako!!
Nilitaka kujibu kila ulichoandika, lakini baada ya kuona unaniwekea historia ya uwepo wako JF tangu 2012, nikaona nisipoteze muda..

Nimeona nisipoteze muda hasa baada ya kumtumia The Boss kama ndie mchangiaji asiye na mrengo, mtu ambaye anajulikana wazi na kila mmoja huku kwa mrengo wake wa kidini, ajabu wewe huoni hilo!.

Sasa hapa tena, mbali ya kuthibitisha unafiki ulionao mwanzo, naona tena una kitabia cha udini, lakini unajificha, ndio maana la bandari umeamua kulinyamazia kimya, lakini pia, unafanana na huyo role model wako uliyemtaja, mbaya zaidi, tabia ya udini unafanana mpaka na Zitto halisi..

Hivyo basi naendelea kukuchambua tu...
 
Rwanda INAZIDI Tanzania Kila kitu.


Inashika nafasi ya kwanza kwa NCHI safi zaidi Africa.

Kagame ameibadilisha mno NCHI IMEKUWA TAIFA.

Rwanda wanatuzidi Hadi WAREMBO.
 
Rwanda INAZIDI Tanzania Kila kitu.


Inashika nafasi ya kwanza kwa NCHI safi zaidi Africa.

Kagame ameibadilisha mno NCHI IMEKUWA TAIFA.

Rwanda wanatuzidi Hadi WAREMBO.
Sio kweli
 
Kesi iko mahakamani na movement nyingine zinaendelea kisha unasema litapita!, au ndio unaomba lipite kwasababu hujawahi kusema chochote kuhusu unyama waliofanyiwa watanganyika?

Usiishi kwa kukariri, jana sio leo, na leo haitakuwa kesho. Wewe endelea kuvizia tu na siasa zako, nini na wapi useme, pengine unaacha, sisi wengine tunasema pote penye kero za watanganyika.
Hoja kama hizi zinapoandikwa unaweza kudhani kuwa huko mtaani moto unawaka na magari ya washawasha wapo kazini kumbe ni mbwembwe zinazoishia humu humu mitandaoni tu.
 
Back
Top Bottom