Jenerali wa Marekani asema Ukraine imebakiwa na siku 30 iinue mikono juu

Jenerali wa Marekani asema Ukraine imebakiwa na siku 30 iinue mikono juu

Hata kama huyo General kasema hivyo, nikukumbushe tu kuwa vita hii kimsingi ni Russia (King of the North) vs US./UK (King of the South) Biblia ktk Daniel 11:20
Hata kama huyo General kasema hivyo, nikukumbushe tu kuwa vita hii kimsingi ni Russia King of the North vs US/UK KING OF THE SOUTH
Na Bible ktk Daniel 11 hususan verse 20 panasema And there will stand up in his position one who causes an exactor to pass through the splendid kingdom, but in a few days he will be broken, though not in anger nor in warfare.
Russia atashindwa hiyo vita hata ingawa si kwa mtutu- ikimaanisha kitufulani kitatokea kufanya hiyo vita kuisha. Hatujui, labda Putin ataptwa na jambo Fulani litakalofanya Russia waseme basi kwa hiyo vita. Let's wait for that
20230509_210058.jpg
 
60,000 ammunition per day comparison with 20,000 ammunition.

Utakua chizi kutegemea matokeo. Na mbaya zaidi Russia wanapigana Kwa formula zao. Hivyo training za NATO si lolote mbele ya dubu huyo wa mashariki kaskazini ya ulaya na asia).
Vipi alishamalizana naye? 🤣Nilikuwa kwenye coma
 
Akizungumza na kipindi cha BBC cha jumapili generali Mark Milley amejisifu jinsi alivyotabiri mwendo wa vita hapo awali kuhusu kushindwa kwa Ukraine na kwamba imekwenda vile vile.

Amesema kwa sasa nchi hiyo imebakiwa na siku 30 ikizidi ni 45 kuweza kupenya ngome za Urusi jambo ambalo amesema si rahisi.

Generali mwengine naye akasema nchi za magharibi zijiandae kwa aibu hiyo.

===========

US President Joe Biden and Ukrainian President Volodymyr Zelensky during the NATO Summit

Time is running out for Ukraine. After 18 months of war, it is no longer a question of if the Western alliance will falter, but when. Since the start, despite making many of the right noises and supplying some military hardware, France and Germany, in particular, have been reluctant partners. Their leaders have often seemed more concerned with finding an “off-ramp” for Vladimir Putin than ejecting his forces from Ukraine. As well as dependency on Russian energy, a pacifist instinct among Western European political classes has led to neglect of their armed forces and a corresponding fear of escalation.

As the provider of the lion’s share of backing for Ukraine, it is the US calling the shots in this war. Yet, since the earliest days, President Biden, too, has been dragging his heels, giving just about enough military assistance to keep Ukraine fighting, but intentionally not enough to enable a victory.

Like his Western European allies, Biden has been successfully deterred by Putin’s empty threats of widening the war. Faint-hearted concerns over provoking Putin explains his failure to provide urgently-needed weapons, including combat planes and long-range missiles, and for his obstinate resistance against Nato membership for Ukraine.

Now, polls in both Europe and the US show public support for military aid to Kyiv dropping away, with one recent survey indicating that less than 50 per cent of Americans are in favour of additional funding. This at least partially reflects sluggish progress in Ukraine’s counter-offensive, which has seen only limited gains so far.

Western military analysts and the media built expectations that, this summer, Kyiv would repeat its striking victories of last autumn at Kharkiv and Kherson. Now, people are wondering how much bang they are getting for their buck, and whether the significant investment made by their countries will ever achieve anything concrete.

There is also growing disquiet about Ukrainian corruption, amplified by those voices who oppose American engagement in Europe for other reasons. Corruption concerns do need to be addressed, but they do not trump the West’s overriding strategic interest in preventing a Russian victory.

Zelensky obviously recognises the coming hinge point in Western support, and his recent actions may indicate a degree of alarm. He has, for example, jailed the allegedly corrupt tycoon and former provincial governor Igor Kolomoisky, a long-term ally and supporter. He sacked defence minister Oleksii Reznikov at the height of the war, again amid corruption allegations.

The latter may signal a coming change to Ukraine’s military strategy. None of this will make a significant difference. No strategic adjustment can turn the war around without dramatically increased military aid. And whether or not corruption is tackled, Olaf Scholz, Emmanuel Macron and, most importantly, Biden will be exerting pressure on Kyiv to come to terms, sooner or later. Biden foretold this last summer, when he wrote that the US was arming Ukraine not to defeat Russian aggression, but to “fight on the battlefield and be in the strongest possible position at the negotiating table”. Putin is only likely to play ball – though this is far from certain – provided he can keep the Ukrainian territory he has illegally annexed, and Ukraine’s Nato membership is kept permanently off the table.

That would obviously be a disaster for Ukraine, but it would also be a defeat for Nato. For Putin, it would be a victory that would encourage further aggression against Ukraine and the West in the coming years.
If anything like this scenario plays out, a humiliated West will need a robust damage-limitation strategy. This would involve building up Nato forces, which still has not yet been seriously approached on either side of the Atlantic. There is no indication, for example, that Germany is budgeting to reach the minimum Nato defence spend of 2 per cent of GDP, despite promises. The UK continues to make further cuts to its undersized army.

A second prong would be continued economic warfare against a weakened Russian economy, to emphasise the price for waging aggressive war and undermine Moscow’s ability to rearm. This is highly problematic. No doubt any peace deal would entail lifting sanctions, so more imaginative means of stifling Russia’s war economy are needed. Interdiction of weapons supply from Iran and North Korea – which both present a grave threat to the West – should be seriously explored.

Another important track is for Western states to sponsor civil legal action against frozen Russian assets, which currently amount to about £600 billion globally. An example of this is the current effort by the British not-for-profit initiative PayBack4Ukraine, which is seeking to seize assets through the courts to fund reparations for victims of Putin’s aggression. This form of “lawfare” could be a game-changer in clipping Russia’s wings and would also send a clear signal against future aggression to states such as China and Iran. But a strategic approach is needed, such as the establishment of an international tribunal dedicated specifically to such litigation.

To maximise effect in the face of sanctions removal, this needs to be set up before any peace talks.
If the West can’t find the backbone to help Ukraine put a stop to Russia’s seizure of its territory, then it needs to be planning decisive measures for the day after, rather than simply repeating the errors that followed Putin’s Crimean land grab in 2014 and led directly to the 2022 invasion.

Source: Telegraph
WEWE SI UNAWACHUKIA MAKAFIR?????
MBONA MAKAFIR WA KIZUNGU WA URUSI UNAWAUNGA MKONO 🤣🤣🤣???
VIIPI GAZA KUMESHAKUSHINDA AU KICHAPO KIMESIMAMA????
 
Russia kafanikiwa kuvisogeza vita hadi mwaka wa uchaguzi Marekani

Russia ikikomaa inaweza kushinda vita kipindi hiki na ikisubiri hadi Marekani wamalize uchaguzi imekula kwake

Rais wa Ukraine hivi karibuni kazuru Saudia kuomba iwapatanishe na Russia wakati mwanzo alikataa upatanishi hadi Russia iachie maeneo yote inayoshikilia

Ukraine inafanya hivi kama mbinu ya kuchelewesha vita hadi Uchaguzi uishe
 
60,000 ammunition per day comparison with 20,000 ammunition.

Utakua chizi kutegemea matokeo. Na mbaya zaidi Russia wanapigana Kwa formula zao. Hivyo training za NATO si lolote mbele ya dubu huyo wa mashariki kaskazini ya ulaya na asia).
Sasa kama training za NATO si lolote mbona kiev haijaanguka????
Au ndio wazungu wa urusi na wazungu wa ukrane......wanajuana kwa vilemba?????
 
Russia kafanikiwa kuvisogeza vita hadi mwaka wa uchaguzi Marekani

Russia ikikomaa inaweza kushinda vita kipindi hiki na ikisubiri hadi Marekani wamalize uchaguzi imekula kwake

Rais wa Ukraine hivi karibuni kazuru Saudia kuomba iwapatanishe na Russia wakati mwanzo alikataa upatanishi hadi Russia iachie maeneo yote inayoshikilia

Ukraine inafanya hivi kama mbinu ya kuchelewesha vita hadi Uchaguzi uishe
Urusi haiwezi kuachilia maeneno iliyoteka na yashakua ya jamuhuri ya russia........na pia haiwezi kusonga mbele kushinda vita hivyo....!!!
Matokeo ni kila mmoja atasimamia alipoishia...!!!
Labda baada ya PUTIN kufa au miaka 50 mbele ndio hayo maeneo yanaweza kurudi.
 
Hata kama huyo General kasema hivyo, nikukumbushe tu kuwa vita hii kimsingi ni Russia (King of the North) vs US./UK (King of the South) Biblia ktk Daniel 11:20
Hata kama huyo General kasema hivyo, nikukumbushe tu kuwa vita hii kimsingi ni Russia King of the North vs US/UK KING OF THE SOUTH
Na Bible ktk Daniel 11 hususan verse 20 panasema And there will stand up in his position one who causes an exactor to pass through the splendid kingdom, but in a few days he will be broken, though not in anger nor in warfare.
Russia atashindwa hiyo vita hata ingawa si kwa mtutu- ikimaanisha kitufulani kitatokea kufanya hiyo vita kuisha. Hatujui, labda Putin ataptwa na jambo Fulani litakalofanya Russia waseme basi kwa hiyo vita. Let's wait for that
Danihel.....amzungumziii dubu huyo kama urusi.......tabiri za Myahudi Danihel bado sana kutokea.........Hapo mtumishi umeongea kihisia tu
 
Danihel.....amzungumziii dubu huyo kama urusi.......tabiri za Myahudi Danihel bado sana kutokea.........Hapo mtumishi umeongea kihisia tu
Tunza maneno yangu Nelson; unabii wa Biblia utimizo wake unamuelekeo kama tunaouona sasa. Russia thinks they are winning, but they won’t. Alternatively kwa sababu hii vita ni ya Putin, keep an eye on him. He cannot defy bible prophecy
 
Tunza maneno yangu Nelson; unabii wa Biblia utimizo wake unamuelekeo kama tunaouona sasa. Russia thinks they are winning, but they won’t. Alternatively kwa sababu hii vita ni ya Putin, keep an eye on him. He cannot defy bible prophecy
Mkuu sidhani kama Danihel alitabiri kuhusu huyu Putin...,ambae hana miaka 40 mbele
 
Back
Top Bottom