Yani eti hivi sasa mitandaoni wanotrend kwenye kupiga ramli ni kina JOBO...Heri ya Mwaka Mpya Rafiki!
Nimecheka eti yule mgogo akidedi...
Haki tena kuna baadhi ya hawa wapiga ramli wakitwaliwa unashindwa useme nini
Desmond Tutu Was a Leader
Hawa wapiga ramli wa kwa mtogole ni watawala
Nchi inatawaliwa haiongozwi ndio maana tupo tulipoYani eti hivi sasa mitandaoni wanotrend kwenye kupiga ramli ni kina JOBO...
Kichekesho zaidi kuna dogo mmoja SLOWSLOW kaanzisha kachuo kake ka kutufundisha uongozi. Sijui kajamaa kenyewe kaliusomea wapi kakagradueti ndio kawe kakuu ka chuo hicho...
Wee... siku hizi kuna PhD za mchongo. Kama huamini muulize Msukuma. Na wakati wowote Bashite utamuadress kama Dr. PaulNchi inatawaliwa haiongozwi ndio maana tupo tulipo
Kila mtu amekuwa mtawala
Wameshupaza shingo wote
Hawa wote ni wale ' wenye kuketi mabarazani na wenye mizaha '
0+0=0 slowslow matokeo ya darasa la saba π
Hata kabla hajasema. Bongo mlikua mnasukumana nnya Tena bila kinga. Mnachubuana peupeHuyu mzee alikuwa mtu bora sana ila tangu aliposema hadharani kwamba ana-support wanaume kwa wanaume kusukumiana vipande vya nyama ngumu nilikuja kumuona kumbe nae ni punguani tu!
Kuna vitu sisi ngozi nyeusi havifai hata kutamkwa midomoni mwetu ila uanarakati ndiyo unaoponza.
Hamuangalii International TV nyinyi?? Mbona hivi wabongo?Bila picha ni umbea na ubuyu tu
#TeamPicha
As far as .....unanikumbusha Ngelee ya Magufuli ..Man there is nothing wrong kuiga mambo mazuri, hili nifundisho na linatakiwa kuigwa..tuachane na upuuzi wa kuweka marumaru na majeneza ya gharama.Wala usikariri, kua na free mind! Hizo ni subjectivity tu ishi maisha yako unayoweza na yanayokupa amani as far as hauvunji sheria! Ndio maana wengine wanavalishwa sanda tu na wengine box la kiooo! Hakuna global standards za unachopenda its more of βfree mindβ na kufanya unachopenda!
Nashukuru Mamndenyi kwa kuniwekea hizo picha, kwa wale "wambeya" nadhani hivi sasa watakuwa wameridhika.Rest Easy Arch Bishop Desmond Tutu View attachment 2065833View attachment 2065834View attachment 2065835
Huyu askofu shenzi zake kabisa, hata usingeleta habari zake humuNaangalia matangazo mubashara ya mazishi ya shujaa wa kupambana na utawala wa ubaguzi wa rangiu, mtu aliyetumia Maisha yake yote kupigania haki za wananchi wake, Askofu Desmond Tutu, unaoonyeshwa kwenye vituo mbalimbali vya kimataifa vya TV, kama vile SABC, CNN, BBC, Sky News na Al Jazeera.
Kitu kimoja nimekiona kwenye matangazo hayo ya moja kwa moja, ni hilo jeneza ambalo anazikwa nalo Askofu Tutu, ambalo ni la kawaida Sana na kwa maelezo ya watangazaji hao wa TV, ni kuwa huo ndiyo ulikuwa wosia wake yeye mwenyewe Desmond Tutu, kuwa atakapokufa azikwe kwenye jeneza lisilo na gharama kubwa.
Kwa hiyo waandaaji wa mazishi yake imebidi wafuate wosia wake, wa kuzikwa kwenye jeneza la "plywood" kwa kuwa kwa umaarufu wa Askofu Desmond Tutu, angeweza kuzikwa na jeneza la gharama kubwa Sana, kama walivyo "celebrities" walio wengi.
Mazishi haya ya Askofu Desmond Tutu, yachukuliwe kama somo kwa watu wengine kuwa ufahari kwenye mazishi haina maana hata kidogo kwa kuwa akishakufa mtu, hata ukizikwa na jeneza la mamilioni ya shilingi, bado uhai wako hauwezi kurudi
View attachment 2066005
Throughout his life, Tutu stuck "to the ideas of promoting absolute love, absolute acceptance and absolute kindness, no matter who you are, no matter your sexuality or race,"Huyu askofu shenzi zake kabisa, hata usingeleta habari zake humu
Alikua akitetea ushoga na Binti yake aliwahi kufunga ndoa na mwanamke mwingine
shenzi zake kabisa
Sanduku la gharama sana lile. Tatizo lako unaangalia rangi za MAJENEZA YA KEKO.Nalikumbuka Sanduku la papa Yahane Paulo II sidhani hata kama liligharimu 100,000.