Jeneza la Askofu Desmond Tutu lichukukiwe kama somo kwa wanaopenda ufahari kwenye mazishi

Heri ya Mwaka Mpya Rafiki!

Nimecheka eti yule mgogo akidedi...
Haki tena kuna baadhi ya hawa wapiga ramli wakitwaliwa unashindwa useme nini
Desmond Tutu Was a Leader
Hawa wapiga ramli wa kwa mtogole ni watawala
Yani eti hivi sasa mitandaoni wanotrend kwenye kupiga ramli ni kina JOBO...

Kichekesho zaidi kuna dogo mmoja SLOWSLOW kaanzisha kachuo kake ka kutufundisha uongozi. Sijui kajamaa kenyewe kaliusomea wapi kakagradueti ndio kawe kakuu ka chuo hicho...
 
Yani eti hivi sasa mitandaoni wanotrend kwenye kupiga ramli ni kina JOBO...

Kichekesho zaidi kuna dogo mmoja SLOWSLOW kaanzisha kachuo kake ka kutufundisha uongozi. Sijui kajamaa kenyewe kaliusomea wapi kakagradueti ndio kawe kakuu ka chuo hicho...
Nchi inatawaliwa haiongozwi ndio maana tupo tulipo
Kila mtu amekuwa mtawala
Wameshupaza shingo wote
Hawa wote ni wale ' wenye kuketi mabarazani na wenye mizaha '
0+0=0 slowslow matokeo ya darasa la saba 😜
 
Nchi inatawaliwa haiongozwi ndio maana tupo tulipo
Kila mtu amekuwa mtawala
Wameshupaza shingo wote
Hawa wote ni wale ' wenye kuketi mabarazani na wenye mizaha '
0+0=0 slowslow matokeo ya darasa la saba 😜
Wee... siku hizi kuna PhD za mchongo. Kama huamini muulize Msukuma. Na wakati wowote Bashite utamuadress kama Dr. Paul

Tumwombe Mungu atujalie maisha marefu tushuhudie mengi mengi ya ajabu na ya kufikirisha
 
Hata kabla hajasema. Bongo mlikua mnasukumana nnya Tena bila kinga. Mnachubuana peupe
 
Wala usikariri, kua na free mind! Hizo ni subjectivity tu ishi maisha yako unayoweza na yanayokupa amani as far as hauvunji sheria! Ndio maana wengine wanavalishwa sanda tu na wengine box la kiooo! Hakuna global standards za unachopenda its more of β€œfree mind” na kufanya unachopenda!
 
As far as .....unanikumbusha Ngelee ya Magufuli ..Man there is nothing wrong kuiga mambo mazuri, hili nifundisho na linatakiwa kuigwa..tuachane na upuuzi wa kuweka marumaru na majeneza ya gharama.
 
fala tu huyu,bola atangulie.utaungaje mkono wanaume kwa wanaume waoane!!?! au nayy alikuwa miongoni mwao,huwezi kushabikia kitu usichokipenda,au ambacho hakipo damuni!!
 
Huyu askofu shenzi zake kabisa, hata usingeleta habari zake humu

Alikua akitetea ushoga na Binti yake aliwahi kufunga ndoa na mwanamke mwingine

shenzi zake kabisa
 
Huyu askofu shenzi zake kabisa, hata usingeleta habari zake humu

Alikua akitetea ushoga na Binti yake aliwahi kufunga ndoa na mwanamke mwingine

shenzi zake kabisa
Throughout his life, Tutu stuck "to the ideas of promoting absolute love, absolute acceptance and absolute kindness, no matter who you are, no matter your sexuality or race,"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…