Jeneza la Askofu Desmond Tutu lichukukiwe kama somo kwa wanaopenda ufahari kwenye mazishi

Jeneza la Askofu Desmond Tutu lichukukiwe kama somo kwa wanaopenda ufahari kwenye mazishi

Huyu askofu shenzi zake kabisa, hata usingeleta habari zake humu

Alikua akitetea ushoga na Binti yake aliwahi kufunga ndoa na mwanamke mwingine

shenzi zake kabisa
Mbona siku hizi kumekuwa na "mfumuko" wa kutusi marehemu ama maiti, utamaduni huu wa hovyo ni wa wapi?
 
Mzee hataki makuu.
Ayo mambo ya mapenzi ya jinsia moja nadhani ni msimamo wa wazee wa cantebury so mzee imebidi aunge umo umo.
KUhusu jeneza unajua izi mbwe mbwe hazisaidii maana tuendako izo mbwe za majeneza mazuri na mbwembwe za mazishi ni money wastage bora ukawape maskini utapata thawabu kwa mola
 
Huyu askofu shenzi zake kabisa, hata usingeleta habari zake humu

Alikua akitetea ushoga na Binti yake aliwahi kufunga ndoa na mwanamke mwingine

shenzi zake kabisa
Du!kumbe kuna binti yake aliwahi kufunga ndoa na mwanamke mwingine?
 
Huyu mzee kuna wakati alikuwa mtu bora sana ila tangu aliposema hadharani kwamba ana-support wanaume kwa wanaume kusukumiana vipande vya nyama ngumu nilikuja kumuona kumbe nae ni punguani tu!

Kuna vitu sisi ngozi nyeusi havifai hata kutamkwa midomoni mwetu ila uanarakati ndiyo unaoponza.
Kweli kabisa hata mimi hiyo kauli yake ilimpotezea imani kubwa kwa waafrika
 

Attachments

  • 20221227_162913.jpg
    20221227_162913.jpg
    95.1 KB · Views: 3
Back
Top Bottom