Mkuu ilikuwa ni zaman hivyo watu hawakuwa na sm za kameraYaani unataka kutuambia huko Sengerema hakuna watu wenye simu zenye kamera??!! Acheni uzushi kama wa kule wapi sjuwi mtu kageuka joka! Tukio kubwa kama hilo picha na video zingeshasambaa mtandaoni!
Kama nakuelewa mkuu sema huo mfano wa pombe ndo unautata kidogoHapana sio kwamba alikuwa na dhambi nyingi huwa kuna kitu mtu anatoa kama hitimisho lake siku atakapokufa labda asizikwe bila jeneza lake kumwagiwa pombe na ikitokea hamjamwagia jeneza pombe basi halitabebeka
So huyo huenda aliwahi kusema asipelekwe katika jengo la ibada ndio kitu kilichotokea
Baki.Hapana alibaka hapo hapo had kesho siku ya mazish
Gud boiYes shamula mkuu
Nilimula jana
Poa poa shemela.Hahaaaa
Shem mambo
PoaPoa poa
HayaMwaka nitakwambia lakin marehem sitakwambia kuwa alikuwa anaitwa nan
We jamaa unaandika nyuzi kila baada ya dk 10