Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 284
Ahsante sana...Gharama za materials ni none negotiable kwasababu sizitengenezi mimi, Lakini kwenye installation cost gharama inazungumzika kwasababu ni makubaliano kati yangu na mafundi. Pia Kama una mbolea yako au unaweza kupata lorry la mbolea sehemu, ni moja kati ya savings, au kama unaweza kuwa na tank la lita 200-500 ni vema zaidi... Lakini hiyo 2.5m ni ya kununua materials muhimu (polythene films, insect netting, drip lines na nursery set kwa ajili ya kukuzia miche ndani ya greenhouse)