Jenga kwako, usiridhike na vyumba / apartment za kupanga! ukifariki msiba utaombolezwa kwenye apartment? watoto wataishi wapi kodi ya mwezi ikiisha?

Jenga kwako, usiridhike na vyumba / apartment za kupanga! ukifariki msiba utaombolezwa kwenye apartment? watoto wataishi wapi kodi ya mwezi ikiisha?

Kikubwa mjengee mke wako mazingita ya kuingiza pesa Pia waandalie watoto mazingira mazuri ya kusoma kama kuwawekea akiba ya ada kwenye account. .

ukifa huna kitu mke wako atatembea na mashemeji zake wotešŸ˜ž Nishawahi tembea na mke wa marehemu rafiki yangu hili swala linanitafuna sana.
Inua mkono wako wa kuume juu, wa kushoto weka kifuani, kisha tamka maneno haya...."mimi ni mpuuzi..!" How could you!?
 
Kikubwa mjengee mke wako mazingita ya kuingiza pesa Pia waandalie watoto mazingira mazuri ya kusoma kama kuwawekea akiba ya ada kwenye account. .

ukifa huna kitu mke wako atatembea na mashemeji zake wote[emoji20] Nishawahi tembea na mke wa marehemu rafiki yangu hili swala linanitafuna sana.
Nawewe ukifa mkeo ataumia sana sehemu za siri
 
Hii ndio point SasašŸ™
Tatizo unawaza kufa tu. Fikiria umeishi na upo kwenye hali ambayo huwezi tengeneza kipato cha kulipa kodi.

Ukiwa na nyumba hapo nje utalima mchicha, ikipatikana elfu mbili utanunua unga na mtalala. Kasheshe ni ukiwa huna pa kulala, mkeo utamlaza kwa marafiki?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Huu uzi ulimaanisha kujenga kwako au kujenga kwenu? Mjini ukifa unazikwa makaburini, au unasafirishwa kuzikwa kijijini (kama siyo born town).
Kujenga kwenu kwanza ni bora zaidi ili likitokea la kutokea kwenye familia yenu basi watakaokusindikiza warejee na ujumbe mzuri
 
Juzi kuna jamaa kaweka thread hapa kwamba kujenga kununua gari ni umaskini .
sasa tufwate lipi?šŸ¤·ā€ā™‚ļø
Miluzi mingi mbwa anapotea
 
Inua mkono wako wa kuume juu, wa kushoto weka kifuani, kisha tamka maneno haya...."mimi ni mpuuzi..!" How could you!?
aisee usinitusi sikuwa mkamilifu na Natambua makosa yangu. Ila hongera sana wewe Mtakatifu
 
Jenga kwako acha kuishi kwenye nyumba ya mwanaume mwenzako alafu unajitetea eti kujenga ni uoga wa maisha
kaishi chini ya mti Sasa.

mpuuzi mmoja wewe.
 
Ndio maana vijana wa siku hizi wamekuwa waoga wa kuoa na mpaka wanaogopa maisha kwa ujumla

Anajitahidi apate kazi ili aombe rushwa au aibe

Tuna safari ndefu sana kwa vijana wa sasa
Hawaambiliki yaani anaona bora awe boda au muuza al kasus miaka na miaka huku akila kimasihara na akiambiwa ana mtoto anamkana

Hii laana haitawaacha kama Taifa
Ni umasikini tu
Wanaojenga wengi wamepiga za umma au vingine ila kwa kazi wanazofanya sidhani
 
Kujenga ni muhimu ili hata ikitokea umetangulia mbele za haki basi Familia (Watoto na Mama yao) wasipate usumbufu.

Ila suala la maiti yako kuagwa sijui kwenye apartments hiyo haijalishi as long umelala usingizi wa milele, hata wakikusema hutasikia chochote
.........................

Kuna msiba nilihudhuria wa kigogo mmoja wa Kampuni ya Beer, zilipaki gari kama 15 kutoka ofisini kwao alafu mwili wa marehemu waliomba uhifadhiwe kwenye nyumba ya jirani kwani Marehemu hakuwa amejenga kwao šŸ™†

Wanasema za kuambiwa changanya na zako 🤪
 
Kikubwa mjengee mke wako mazingita ya kuingiza pesa Pia waandalie watoto mazingira mazuri ya kusoma kama kuwawekea akiba ya ada kwenye account. .

ukifa huna kitu mke wako atatembea na mashemeji zake wote[emoji20] Nishawahi tembea na mke wa marehemu rafiki yangu hili swala linanitafuna sana.
Ulitakiwa umuowe Sasa huyo Mke wa rafiki yako,na wanawe uwalee Kama wa kwako vile,Basi hata rafiki yako kaburini atafurahi sana kua familia yake iko mikono salama!!
 
Ulitakiwa umuowe Sasa huyo Mke wa rafiki yako,na wanawe uwalee Kama wa kwako vile,Basi hata rafiki yako kaburini atafurahi sana kua familia yake iko mikono salama!!
sikutaka kumuoa ila nilitaka awe nyumba ndogo. Siku moja nikala mzigi mchana kumbe kuna jamaa alikuwa anakula mzigo usiku mpaka demu Kazimia. Nilikuja kuambiwa na dada wa kazi na mpangaji mmoja hivi baadae.

Sasa nilikuwa namjali sana yeye na mtoto ma mfanyakazi. Dada wa kazi akaja niambia "dada usiku huwa anaamka na kuchoma mavitu na kutaja jina lako". Nikaachana nae, uzuri yule jamaa aliyekuwa anakula usiku kamuoa.

ila hapana yule single maza hakuwa ananifaa. Naomba roho ya rafiki yangu ipumzike salama. .
 
Basic human need are;
1.Food
2.Clothes
3.Shelter.
Ujinga kitu kibaya sana, watanzania na waafrika wameshindwa kuelewa hayo mambo matatu.
Malazi ni jambo la tatu baada ya kula na kuvaa ndio ulale.
Vitabu havijasema kujenga bali utafute malazi, hata pango ni malazi.
Kutokana maendeleo ya binadamu malazi yanapatikana kaw bei rahisi sana, hivyo kujenga nyumba yako sio lazima.
Mfano watu waendao Ulaya huishi maisha ya kupanga tu huko.
Tanzania miaka 50-100 ijayo watu wengi hawataipata viwanja vya kujenga karibu na mji hivyo watapanga wapenade wasipende vi vngiinevyo wakajenge mbali huko na waingie gharama za usafiri.
Waafrika wana ombwe juu ya mifumo ya dunia inavyofanya kazi, sis tipo kwenye neo primitive stage ndio maana tunaona kujenga ni jambo la lazima kumbe sio kweli.
Je unaweza kupata kiwanja Durban au London au New York au posta Dar ujenge?
Haya mawazo yatajiishia taratibu haina hoja kupambana wakati/ muda utaamua ukweli.
Unajengaje nyumba ya milion 30 wakati huna pa kikuingizia hela hata ukiumwa au kufa.
Naungana na wanaojenga wakiwa tayari wamejitosheleza sio makapuku, na vijumba vyao vya hovyo hovyo.
Sio ogopi kufa nikiwa sijajenga nyumba bali nikiwa sijawaachia passive income my offspring.
 
Huwa nashangaa unawezaje kupanga sehemu kubwa na nzuri afu ushindwe kujenga kwako?nyumba ni muhimu au wenye nyumba ni wachawi wanaloga wapangaji wasijenge?
Kuna watu wana plan kujenga nyumba wengine vibanda hao ni watu wawili tofauti.
Kuna watu wanamiliki nyumba aisee bora ya waliopanga, nyumba hazina hadhi, vumbi giza na hatari ya kubomokewa.
Nyumba kama nyumba zinazotambulika na shurika la nyumba ni schache sana. Nyingi ni kama mapango tu watu wamejiifadhi na kujisdi wananyumba.
Kuna mtu kuapanga ila kiwanja chake ni nyumba tatu za mtu fulani.
 
offcourse ni vizuri kijana unamkuta kapanga apartment yake ama self contained, ana usafiri wake, biashara ama kazi inamlipa fresh, ana mke na watoto wawili tayari, n. k lakini kipengere kinakuwa kwamba sehemu anayoishi ni ya malipo kwa kila mwezi bado hana pake.

Jenga kwako hata kama ni nyumba ya nyasi, ilimradi pawe pako tujue ni pako unapamiliki wewe.

Msiba ukitokea ni ngumu kuja kuomboleza ulikopanga maana si utamaduni wetu huu na hata mwenye nyumba hawezi kuruhusu maombolezo kwenye sehemu yake ya biashara, maiti itabidi isafirishwe iende kuombolezewa kwa wanafamilia au ndugu wenye nyumba zao hata kama ni za nyasi na hapa ndipo tunapojua thamani ya kwako.

Kujenga ni muhimu ili hata ikitokea umetangulia mbele za haki basi Familia (Watoto na Mama yao) wasipate usumbufu wa kodi za kila mwezi, Tena hapa mara nyingi wanahme wamewazidi wake zao vipato itakuwa ngumu sana mwanamke kubeba huu mzigo, matokeo yake atashindwa itabidi yeye na watoto wahamie nyumba za watu wengine, hapa manyanyaso huwa hayakwepeki na wataoathirika zaidi ni watoto.

Ushauri wangu tu hasa kwa vijana wenye afya mnaoweza kupata ridhki, panga sehemu ya kuishi uanzie maisha sio kukamilisha, jenga kwako kulingana na uwezo wako, hata kama ni nyumba ya matofali ya kuchoma... harufu za pilau za majirani zisikufanye ule mlo moja wa pilau kwa kujibana wakati unaweza kula kande mara 3 kwa siku.
Hivi mkuu kujua mtu fulani ana kwake au hana kwake inakusaidia nini? Kufuatilia mambo ya watu wakati wewe una mengi hujatimiza si vyema. Haitusaidii kitu!
Sasa ni muda mrefu niliacha kufuatilia habari za watu na kujali mambo yangu, na kuwa mtu huru kifikra na furaha.
Kuna mtu mmoja nafanyanae kazi ni mzee ila anamjua kila mtu maeneo haya na kudadisi kujua wengine wakati hana future nzuri na anakaribia kustaafu.
Kufuatilia mambo ta watu ni uraibu kama wa pombe jifunze kuacha huo uraibu.
Mimi ni mswshili wa Kigoma ila huwa nawashangaa waswahili wenzangu kukaa mda mwingi kwenye magenge ya kahawa wakati ni masikini, na matokeo yake ni lawama zisizo na tija. Wakati Kigoma ina fursa nyingi za kuwa keep watu busy na kazi ila wapo busy na habari za watu wengine.
Hii ina maana watarithisha umasikini na lawama kwa vizazi vyao.
 
Back
Top Bottom