DIRIMULAINA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 921
- 1,720
Inua mkono wako wa kuume juu, wa kushoto weka kifuani, kisha tamka maneno haya...."mimi ni mpuuzi..!" How could you!?Kikubwa mjengee mke wako mazingita ya kuingiza pesa Pia waandalie watoto mazingira mazuri ya kusoma kama kuwawekea akiba ya ada kwenye account. .
ukifa huna kitu mke wako atatembea na mashemeji zake wote😞 Nishawahi tembea na mke wa marehemu rafiki yangu hili swala linanitafuna sana.
Nawewe ukifa mkeo ataumia sana sehemu za siriKikubwa mjengee mke wako mazingita ya kuingiza pesa Pia waandalie watoto mazingira mazuri ya kusoma kama kuwawekea akiba ya ada kwenye account. .
ukifa huna kitu mke wako atatembea na mashemeji zake wote[emoji20] Nishawahi tembea na mke wa marehemu rafiki yangu hili swala linanitafuna sana.
Au karimjee🤣🤣Sasa marehemu anajali anaagiwa wapi. Unaweza kuwa na nyumba na ukaagiwa viwanja vya mpira😀
Tatizo unawaza kufa tu. Fikiria umeishi na upo kwenye hali ambayo huwezi tengeneza kipato cha kulipa kodi.
Ukiwa na nyumba hapo nje utalima mchicha, ikipatikana elfu mbili utanunua unga na mtalala. Kasheshe ni ukiwa huna pa kulala, mkeo utamlaza kwa marafiki?
aisee nina nyumba tatu hapa nilipo na viwanja baadhi. Shida sio nyumba kwangu sijui kulipa kodi [emoji3]
pia nimejenga apartment sijamaliz ina Mita tano we falaView attachment 2636464View attachment 2636465View attachment 2636466
aisee usinitusi sikuwa mkamilifu na Natambua makosa yangu. Ila hongera sana wewe MtakatifuInua mkono wako wa kuume juu, wa kushoto weka kifuani, kisha tamka maneno haya...."mimi ni mpuuzi..!" How could you!?
huu ni ukweli usiopingika😀Au karimjee🤣🤣
Au lugalo 🤣🤣
Au muhimbil🤣🤣
Au Kcmc🤣🤣🤣
Au Bugando🤣🤣
Kifupi options ni nyingi
🤣🤣Wanaishi kama dumu 🤣ndo kuishi vp huko?Ndo maana wengi wanaishi stoo.
Unajiita umejenga ila unaishi kama dumu
Cha ajabu watu humu washafika home shauri yako we fanya masikhara🤣Dogo unapiga nyumba yangu picha kwanini?
Kumuoa dada ako ushaanza kujipangia urithi
Futa haraka sana picha hizi
Ulitakiwa umuowe Sasa huyo Mke wa rafiki yako,na wanawe uwalee Kama wa kwako vile,Basi hata rafiki yako kaburini atafurahi sana kua familia yake iko mikono salama!!Kikubwa mjengee mke wako mazingita ya kuingiza pesa Pia waandalie watoto mazingira mazuri ya kusoma kama kuwawekea akiba ya ada kwenye account. .
ukifa huna kitu mke wako atatembea na mashemeji zake wote[emoji20] Nishawahi tembea na mke wa marehemu rafiki yangu hili swala linanitafuna sana.
sikutaka kumuoa ila nilitaka awe nyumba ndogo. Siku moja nikala mzigi mchana kumbe kuna jamaa alikuwa anakula mzigo usiku mpaka demu Kazimia. Nilikuja kuambiwa na dada wa kazi na mpangaji mmoja hivi baadae.Ulitakiwa umuowe Sasa huyo Mke wa rafiki yako,na wanawe uwalee Kama wa kwako vile,Basi hata rafiki yako kaburini atafurahi sana kua familia yake iko mikono salama!!
Kuna watu wana plan kujenga nyumba wengine vibanda hao ni watu wawili tofauti.Huwa nashangaa unawezaje kupanga sehemu kubwa na nzuri afu ushindwe kujenga kwako?nyumba ni muhimu au wenye nyumba ni wachawi wanaloga wapangaji wasijenge?
Hivi mkuu kujua mtu fulani ana kwake au hana kwake inakusaidia nini? Kufuatilia mambo ya watu wakati wewe una mengi hujatimiza si vyema. Haitusaidii kitu!offcourse ni vizuri kijana unamkuta kapanga apartment yake ama self contained, ana usafiri wake, biashara ama kazi inamlipa fresh, ana mke na watoto wawili tayari, n. k lakini kipengere kinakuwa kwamba sehemu anayoishi ni ya malipo kwa kila mwezi bado hana pake.
Jenga kwako hata kama ni nyumba ya nyasi, ilimradi pawe pako tujue ni pako unapamiliki wewe.
Msiba ukitokea ni ngumu kuja kuomboleza ulikopanga maana si utamaduni wetu huu na hata mwenye nyumba hawezi kuruhusu maombolezo kwenye sehemu yake ya biashara, maiti itabidi isafirishwe iende kuombolezewa kwa wanafamilia au ndugu wenye nyumba zao hata kama ni za nyasi na hapa ndipo tunapojua thamani ya kwako.
Kujenga ni muhimu ili hata ikitokea umetangulia mbele za haki basi Familia (Watoto na Mama yao) wasipate usumbufu wa kodi za kila mwezi, Tena hapa mara nyingi wanahme wamewazidi wake zao vipato itakuwa ngumu sana mwanamke kubeba huu mzigo, matokeo yake atashindwa itabidi yeye na watoto wahamie nyumba za watu wengine, hapa manyanyaso huwa hayakwepeki na wataoathirika zaidi ni watoto.
Ushauri wangu tu hasa kwa vijana wenye afya mnaoweza kupata ridhki, panga sehemu ya kuishi uanzie maisha sio kukamilisha, jenga kwako kulingana na uwezo wako, hata kama ni nyumba ya matofali ya kuchoma... harufu za pilau za majirani zisikufanye ule mlo moja wa pilau kwa kujibana wakati unaweza kula kande mara 3 kwa siku.