Samson Ernest
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 557
- 858
- Thread starter
- #21
Wanapaswa kuwa nayo, wengi wanapata shinda kwenye ndoa kwa sababu hawana maarifa sahihi.Wengi hawana elimu ya ndoa zaidi ya ile ya kitchen part na ya kwenye seminar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapaswa kuwa nayo, wengi wanapata shinda kwenye ndoa kwa sababu hawana maarifa sahihi.Wengi hawana elimu ya ndoa zaidi ya ile ya kitchen part na ya kwenye seminar
Umeongea mambo ya msingi sana, ubarikiwe sana.Wapo wanawake wapumbavu wamemuomba Mungu awape ndoa wamelia Sana wamengojea Sana, Mungu kawapa mume walipopata ndoa , cheti na watoto wakaanza kuzivuruga ndoa zao na kuona mume kitu gani, dharau, matusi, kashfa, ibada wameacha, then Mume kaona usiwe tabu mateso ya nini kakimbia, baada ya mume kukimbia wanaanza kuhangaika kwa waganga na mitume na manabii kupewa mafuta ya urejesho na au kupeleka kucha na nywele kwa mitume na manabii wa uongo, kwa makosa yao wenyewe.
Unaongea kweli tupu, ubarikiwe sana mtu wa Mungu.Kizazi hiki cha ngono kilichouza nafsi yake kwa shetani wanaume hawana uvumilivu na uhimilivu wanawake hawana heshima na utii, KILA mmoja anataka kugombea umiliki wa usukani. Aliyeanzisha taasisi ya ndoa aliweka misingi Ili ndoa idumu ambayo ukiukwa na kizazi hiki cha zinaa.
Still watu wema wangalipo duniani usikate tamaa.