Jenga Mtazamo Sahihi Juu Ya Wanaume/Wanawake Kabla Hujaoa/Hujaolewa

Jenga Mtazamo Sahihi Juu Ya Wanaume/Wanawake Kabla Hujaoa/Hujaolewa

Wapo wanawake wapumbavu wamemuomba Mungu awape ndoa wamelia Sana wamengojea Sana, Mungu kawapa mume walipopata ndoa , cheti na watoto wakaanza kuzivuruga ndoa zao na kuona mume kitu gani, dharau, matusi, kashfa, ibada wameacha, then Mume kaona usiwe tabu mateso ya nini kakimbia, baada ya mume kukimbia wanaanza kuhangaika kwa waganga na mitume na manabii kupewa mafuta ya urejesho na au kupeleka kucha na nywele kwa mitume na manabii wa uongo, kwa makosa yao wenyewe.
Umeongea mambo ya msingi sana, ubarikiwe sana.
 
Kizazi hiki cha ngono kilichouza nafsi yake kwa shetani wanaume hawana uvumilivu na uhimilivu wanawake hawana heshima na utii, KILA mmoja anataka kugombea umiliki wa usukani. Aliyeanzisha taasisi ya ndoa aliweka misingi Ili ndoa idumu ambayo ukiukwa na kizazi hiki cha zinaa.
Still watu wema wangalipo duniani usikate tamaa.
Unaongea kweli tupu, ubarikiwe sana mtu wa Mungu.
 
Back
Top Bottom