Wapo wanawake wapumbavu wamemuomba Mungu awape ndoa wamelia Sana wamengojea Sana, Mungu kawapa mume walipopata ndoa , cheti na watoto wakaanza kuzivuruga ndoa zao na kuona mume kitu gani, dharau, matusi, kashfa, ibada wameacha, then Mume kaona usiwe tabu mateso ya nini kakimbia, baada ya mume kukimbia wanaanza kuhangaika kwa waganga na mitume na manabii kupewa mafuta ya urejesho na au kupeleka kucha na nywele kwa mitume na manabii wa uongo, kwa makosa yao wenyewe.