mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
[emoji23][emoji23]Nimeshafika [emoji137]
Nimeanza kujenga ngome yangu ya kupiga matukio tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Nimeshafika [emoji137]
Nimeanza kujenga ngome yangu ya kupiga matukio tu
I mean no malice to nobodyNimeshafika 🙋
Nimeanza kujenga ngome yangu ya kupiga matukio tu
Nimefika mkuu 🙏🏿🧢Restless Hustler ufike huku
Haya pata chakula ya ubongo hiyoNimefika mkuu 🙏🏿🧢
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Undava undava tu ukinikazia nami nakukazia tu sio kesi wala nini kila mtu na life lake, kula chuma hicho[emoji3166]
Ume kukumbusha nini ??, I mean no malice to nobodyIla huu uzi umenikumbusha mbalii sanaaaa.
Daaah!!
I mean no malice to nobody[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni nyoka, back biters.Huku kitaa kuna wengine hawafai kuwa hata washikaji.
Yaani ni sumuNi nyoka, back biters.
Nakubali kakaHuku kitaa kuna wengine hawafai kuwa hata washikaji.
ndugu jitahidi usome tu ni maneno kama 700 tuWeka summary
I mean no malice to nobody, endelea kuishi kimazoea. Kwani hao unao waona wana ipo siku watakuoteaNa siku ukifariki hao wanaoendesha , baiskeli na mikokoteni ndio watakao kuja kukuzika kwa wingi , kuliko hao walio na ranger rovers wenzio maana muda huo watakuwa ulaya wakifanta yao
Moral of the story , ,: YOU GOT TO KNOW THINGS TO KEEP , AND THINGS TO THROW AWAY ,
REGARDS. KENNY ROGERS ,,THE GAMBLER