Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #81
Keep ballin bro, hakika mtafutaji hachoki, hata kikosa- IPO siku ata okotaππͺmitihani, na mishemishe zingine pia
ulizaNikuulize kitu mshamba_hachekwi
The enemy of your enemy is ...... mshamba_hachekwiuliza
We mbona kimya Sanaπ, au una umwa ??Ujumbe mzuri
very likely your enemy tooThe enemy of your enemy is ...... mshamba_hachekwi
Kwanini???very likely your enemy too
Pamoja mkuu, Asante kwa maoni πUmenena sawa kabsa
labda anataka kukudhuru na weweKwanini???
Sasa huyo SI adui wa adui yakoπ, ana husiana vipi na wewe??labda anataka kukudhuru na wewe
huwezi jua, akigundua kuna kitu anaweza kukurubuni jeSasa huyo SI adui wa adui yakoπ, ana husiana vipi na wewe??
Haya chukua hiyooπ The enemy of my enemy is another person who might knife me in my sleep.ππhuwezi jua, akigundua kuna kitu anaweza kukurubuni je
quote tayari ya kuweka igπThe enemy of my enemy is another person who might knife in my sleep.
uka jikute janjaππππ, iangalie nime rekebisha vizuriquote tayari ya kuweka igπ
Barikiwa madam, hope uta fanyia kaziπUkweli mtupu
nilikua namaanisha inafaa kuweka kwenye hypereels na yale mapost ya motivationOy mshamba_hachekwi USI sahau kumipa credit πππ
Sasa mi ig ndo kabisaa, naona ya kikuda tu, Bora jf, tweeter kina musk, Reuters, na ile ya wachinanilikua namaanisha inafaa kuweka kwenye hypereels na yale mapost ya motivation
mimi ig stumii