Jengo jipya la ubalozi DC - Dola milioni 10?

Jengo jipya la ubalozi DC - Dola milioni 10?

ROI zilipie expenses za balozi zetu zote zilizoko Americas na Europe!
 
Wakati mwingine inasikitisha kuona the "great thinkers" wakiongea mautumbotumbo na kuendeleza lawama za kisiasa hata pale serikali inapofanya jambo zuri.

Ubalozi wa Tz marekani haupo pale kwa muda mfupi. Gharama za kupangisha ofisi na nyumba zinaongezeka kila mwaka sambamba na matumizi ya balozi zetu. Kama sisi ni great thinkers basi ni bora tukapiga mahesabu tuone uwiano wa hasara na faida za ununuzi wa jengo kabla hatujaendeleza propaganda.

Once again, angalia vizuri objection yangu haiko katika serikali kununua jengo, objection iko katika serikali kujiingiza katika biashara.

Nimeeleza jinsi gani serikali yetu isivyo na msimamo, je inabaki kwenye biashara au inajiondoa katika biashara?

Kama inabaki kwenye biashara what was the point of privatization na kuuza zile nyumba za Oysterbay?

Kama inajiondoa katika biashara what is the point ya kununua ghala kubwa hili na kujihusisha katika ventures za kupangisha watu?

Kama serikali ingekuwa imenunua jengo litakalotosha ubalozi, ningeelewa serikali haitaki kukodi inataka kumiliki jengo la ubalozi, fine.

Lakini tulicholetewa hapa si jengo la ubalozi tu, ni jengo la ubalozi linalotumika kama investment.With the current state of affairs katika real estate Marekani, who is to say value ya jengo haitashuka kufikia dola milioni 6 in two years? Unaelewa ninachosema? Serikali ilitumia vigezo kujitoa katika biashara nyumbani, vigezo hivi bado vina apply hapa.

Tatizo letu hatuna dira, tunajiendea tu.
 
location location location.

With the location in mind, you dont build/ buy an extravagantly overpriced boxed monstrosity in subterfurges and expect the good people of JF to cheer.

I mean this is not exactly lower Manhattan, and I could find you better looking boxes not only in lower Manhattan, but near the exchange, for a better tag.

This is the perfect masquerade for some dubious shenanigans, watch this space.
 
Mkuu Bluray,
Privatization haina mana total withdraw from business. Husitudanyanye na kujaribu kupotosha hapa. Serikali ina hisa nyingi tu katika makampuni kadhaa; inafanya bihashara.
 
Privatization haina mana total withdraw from business. Husitudanyanye na kujaribu kupotosha hapa. Serikali ina hisa nyingi tu katika makampuni kadhaa; inafanya bihashara.

First of all mind your h's before jumping to more sophisticated topics.
 
kwa nini tuspend $10m kununua ubalozi wakati wa recession. wakati huu dunia nzima price ziko chini.

kwa nini unununue ghorofa sita na wakati mahitaji yako ni tatu??
je hilo jengo limenunuliwa cash au ni mortage??? kama mortage tutalipa bei gani mpaka tutakapomaliza.

eti kuli maintain jengo ni $370,000 kwa mwaka

serikali haitakiwi kujihusisha na biashara za kupangisha majengo, ni wazo zuri kununua jengo la ubalozi ili kupunguza gharama za undeshaji, na sio kununua jengo kubwa na kuanza kupangisha.

ninaimani kabisa ubalozi ungeweza kuspend $3m na kupata enough office space kwa shughuli za kibalozi kulikoni kutumia $10m kununua jengo kubwa kuliko matumizi, na kutaka kuanza kufanya biashara.
kama wanataka kufanya biashara wazichukue zile nyumba zote za o'bay na wazipangishe watapata hela nzuri tu.
kwangu mimi kitendo cha kupangisha ni kupanua ukubwa serikali kitu ambacho serikali ya TZ haitakiwi kufanya kwa sasa hivi. mtaji wa balozi
 
With the location in mind, you dont build/ buy an extravagantly overpriced boxed monstrosity in subterfurges and expect the good people of JF to cheer.

I mean this is not exactly lower Manhattan, and I could find you better looking boxes not only in lower Manhattan, but near the exchange, for a better tag.

This is the perfect masquerade for some dubious shenanigans, watch this space.
kama tunataka ukweli wa bei la jengo hilo tunaweza kupata.
 
The topic is a bread and butter to me; way far from being sophisticated.


Here you go exposing your intellectual nakedness.

The hogwash hubris, the sheer empty headed temerity!

I did not say that the topic was sophisticated. I said the topic was more sophisticated than knowing the difference between a and ha

The hard headed never learns.Right about now your best bet on this infraction is to bow down gracefully and thank me for the lesson.
 
kwa nini tuspend $10m kununua ubalozi wakati wa recession. wakati huu dunia nzima price ziko chini.

kwa nini unununue ghorofa sita na wakati mahitaji yako ni tatu??
je hilo jengo limenunuliwa cash au ni mortage??? kama mortage tutalipa bei gani mpaka tutakapomaliza.

eti kuli maintain jengo ni $370,000 kwa mwaka

Very valid questions Semilong. Maswali haya yanajibika kwa mahesabu na sio jazba. Tukijibu maswali haya ndipo tunaweza kusema serikali imekosea ama haijakosea.

Gorofa 6 versus tatu? Kuna factor nyingi katika maamuzi ya ununuzi, tunaweza tukeshe kutaja factors hapa, nisingependa nianze topic mpya.

Cash vs Mortgage? Hilo hatujui ila ningependa niamini kwamba ni cash mana itakuwa kichekesho kwa serikali kushindwa kuwa na $10 million au kuingia mortgage kwa makusudi ili kuokoa opportunity cost.
 
Hili ni wazo zuri sana.

Nakumbuka ni Uganda, ilianza mpango huu toka enzi za Amin, aah na mambo yao shwari.

Ukilinganisha na kodi za DC hasa prime area. Inalipa tena sana sana.

Ahsante JMK, naona vitu vyako, mwenye usongo ajinyonge!
 
kuna mtu ana address ya ubalozi mpya atuwekee tuweze kuangalia bei za maeneo ya karibu
 
Folks,
It is not like the embassy just requested $10.5 million from the Treasury for the building.
The embassy had some money from the previous sale of its first residency and the embassy still owns its former office building which is run down but is also in a prime area. Recently George Stefanopoulous of ABC bought a 5.8 million 32 storey-house not too far away from the new Tanzania house, so for a 6 floor house to cost 10.4 million in DC is a pretty darn good deal. I hear the former owners of the building were in danger of being foreclosed so Tanzania was able to get a good deal on the building.
 
Naondoa mzizi wa fitna: Anwani ni 1232 22nd Street. N.W Washington D.C. 20337. Real Estate agents watawaambieni estimate za majengo katika mitaa hiyo.
 
Jasusi,

Of all people you should know better kwamba, economics aside, sababu za kiusalama tu haziruhusu kufanya jengo la ubalozi wetu liwe na ofisi za kibiashara juu yake.

I don't understand how these people work!
 
Folks,
It is not like the embassy just requested $10.5 million from the Treasury for the building.
The embassy had some money from the previous sale of its first residency and the embassy still owns its former office building which is run down but is also in a prime area. Recently George Stefanopoulous of ABC bought a 5.8 million 32 storey-house not too far away from the new Tanzania house, so for a 6 floor house to cost 10.4 million in DC is a pretty darn good deal. I hear the former owners of the building were in danger of being foreclosed so Tanzania was able to get a good deal on the building.

Jasus, In red, you meant to say $5.8 billion?
 
Jasusi,

Of all people you should know better kwamba, economics aside, sababu za kiusalama tu haziruhusu kufanya jengo la ubalozi wetu liwe na ofisi za kibiashara juu yake.

I don't understand how these people work!

Ahsante sana Mkuu Bluray kwa kuliweka bayana hilo la usalama ambalo wengi hatukulitilia maanani kabisa katika mjadala huu.
 
Back
Top Bottom