.....sasa kuna hii issue ya BAE(rada)sijui atatwmbia nini tena maana kesi ishawiva huenda ikapelekwa mahakamani soon!!si rais alisema wezi wa epa walirudisha over $60 million, sasa si walitumia kidogo from that kununua jengo...the rest will go to pay the $30,000 a month maintenance cost for a couple of years 🙂
Mkuu MgonjwaUkimwi kanijibu kitu gani?.. alivyosema kuuza nyumba ni kati ya mwenye nyumba na mnunuzi ati benk haina nafasi?..Mkuu naona mgonjwa kakujibu kila kitu na sina cha kuongeza na pls usichanganye topic hapo na sisi kutoweza kununua mitambo kama ya Barrick....kuna kitu kinaitwa transfer of technology,ni kweli kuna vitu huwezi kununua hata kama una pesa,lakini sana sana hii ni kwenye mambo ya silaha,anyway hiyo ni topic nyingine lakini sina uhakika kama mitambo ya kuchimba madini ina fall humo
Mkuu MgonjwaUkimwi kanijibu kitu gani?.. alivyosema kuuza nyumba ni kati ya mwenye nyumba na mnunuzi ati benk haina nafasi?..
Sii kweli kabisa kwa sababu majengo yote unayofikiria kununua hapo DC mjini yana mortgage, hakuna mtu anajenga au kununua nyumba kwa cash...na waliomaliza malipo utahesabu kama wapo.
Hii imemtokea mshikaji wangu mmoja alotoka huko bondeni kaingia na vijisenti vyake akauvaa mkenge kununua gari (Range sports) ambalo lipo bado ktk lease... Siku alipotaka kulisafirisha Bongo alipigwa chini kwa sababu Mnigeria aliingia mitini bila kulipa fedha za gari hilo kwa sababu kisheria halikuwa lake..
Hivyo, sikuwa na maana nasi tumefanya hivyo ktk kununua jengo hilo lakini ni ktk kukuonyesha kwamba mfumo wa huku bank na Financial institution zimeingia ktk kila biashara na zina control kwa kiasi kikubwa sana. Wewe unapokuwa na cash haina maana kwamba kila kitu kitakuwa rahisi kwako inatregemea pande zote mbili zimejengekja vipi na kuna utaratibu gani kisheria.
Somehow, hawa jamaa hutafuta njia za kuvuta service na interest zao, ndio maana ni vizuri sana kuwa na wakili wa Real estate na hata kama inawezekana tumenunua kwa cash basi nimesema its beneficial from a seller's point of view.
Kila jengo unaloliona limesimama mjini mkuu wangu kuna Financial Institution nyuma yake hivyo huyo mwenye nyumba ana mdhamini..Watu wanakufa hawajamaliza malipo hivyo ukinunua kwa cash bado Financial Institution itahusika kwani wao ndio wenye title deed..
Hii kauli yako ya kima we inaonyesha jinsi gani ulivyo mwerevuAcha kudandia train kwa mbele, naona unatapika pumba hapa, hakuna mtu aliyekwambia hajui shughuri za dfdi, mimi nimejibu kuwa unaweza kuwa na ubalozi na hapo hapo kukawa na ofisi zenye shughuri nyingine na wala sikutaja uasilia wa shughuri zenyewe, kima we.
Mkuu that someone is me,.
UMOJA HOUSE Dar es salaam ni embassy ya Ujerumani, uingereza, Umoja wa Ulaya, DFID na office nyingine in one building.
Ni vizuri ukaelewa yaliyoandikwa kabla ya kukurupuka na kuandika utumbo!! Katika embassy ya ujerumani,uingereza,umoja wa ulaya na DFDI,nani kati ya hizo ni commercial entity? Kutokuonyesha ujinga mara nyingine ni busara; nadhani umesoma shule za vidatu sio standard!!
Ni vizuri ukaelewa yaliyoandikwa kabla ya kukurupuka na kuandika utumbo!! Katika embassy ya ujerumani,uingereza,umoja wa ulaya na DFDI,nani kati ya hizo ni commercial entity? Kutokuonyesha ujinga mara nyingine ni busara; nadhani umesoma shule za vidatu sio standard!!
Sikuongelea uasilia wa biashara kama utakuwa wa kibiashara au la nilichoandika ni kuwa unaweza kuwa na wapangaji wengine kwenye jengo moja lenye ubalozi.
Miafrika bana, ukitaka kuficha kitu kwa miafrika kiweke kwenye maandiko, haisomi inakurupuka tuu.
MODS,
Nashangaa hiyo picha hapo inaonekana imewekwa nami wakati mimi sijaiweka picha hiyo. Mimi niliweka picha ya darasa toka gazeti la This day. Je, kulikoni na hiyo picha?
Jengo la ubalozi wa zambia lililoko sokoine drive dar es salaam lina wapangaji wa kawaida; hivyo si ajabu kwa ubalozi kupangisha kama mmoja wetu alivyohoji hapo nyuma
Babu something is not right, jana ilikuwa ukim-quote mtu, jina linatoka la mtu mwingine kabisa.
MJ
Inawezekana MJ, lakini kuhusu hiyo picha nimegundua kwamba niliweka link toka gazeti la This Day, leo ile picha ya darasa wameiondoa na kuweka picha nyingine kwa kutumia link ile ile ndiyo maana ile picha niliyoiweka ikapotea na kuwepo na picha ambayo mimi sikuikusudia kuiweka hapa. Nimeshaifuta ile picha na bandiko langu kwa MODS.
Kudos Edo
Achana na yule Mbwiga.
Unajua Zambia walinunua hilo Jengo mwaka Gani? je Threat ya terrorism ilikuwaje wakati huo? Unajua hali ya Uchumi wao wakati huo ilikuwaje? na Sasa ikoje, mimi sitatumia maneno ya kijinga maana watu watashindwa kuelewa Mjinga ni Nani.Kudos Edo
Achana na yule Mbwiga.
Unajua Zambia walinunua hilo Jengo mwaka Gani? je Threat ya terrorism ilikuwaje wakati huo? Unajua hali ya Uchumi wao wakati huo ilikuwaje? na Sasa ikoje, mimi sitatumia maneno ya kijinga maana watu watashindwa kuelewa Mjinga ni Nani.