Jengo la 88 Nairobi ambalo litakuwa na ghorofa 44, zege limeanza kumwagwa kwenye foundation

Ubaya ni kwamba inakuwa tu Ni shida ikifanyika upande wa Kenya. No mara ngapi mlifurahia klna kupiga kifua when Dar built what was once the tallest building in East Africa? Did you think about all these things you are saying now?

The other thing you need to know is that Nairobi is very small in size. The only way it can cope with the increasing population is to go up and that's what developers like 88 nairobitis doing. Stop looking for negativity in any Kenyan project
 
my friend go back to where you came from with your self loathing nonsense....kwani manhattan ndio kuna nni sana??umeme ukipotea kuna diesel back up generators.
 

Haka kapicha bana...
 
H Hongereni majirani...huku siku izi ukimwaga foundation tu utautambua uwepo wa watoza ushuru☹☹
 
By the way kwa taarifa yenu wapendwa, zege linamwagwa 24/7 usiku na mchana hadi litakapofikia mita tatu kwa urefu bila kukoma. Foundation yake itakuwa ni mita tatu ya zege tupu na reinforced steel. Hii ni American standard of construction which is the best standard of construction. Kimo cha foundation kwa hivyo sio lazima ichimbwe deep sana ila jengo lenyewe litakuwa stable kabisa maana American standard ndio the best kwa kujenga majengo stable na strong. Tazameni video kwa maelezo zaidi. Anzia 4:20 maana mwanzoni kuna maongezi ambayo hayana maana.
 
my friend go back to where you came from with your self loathing nonsense....kwani manhattan ndio kuna nni sana??umeme ukipotea kuna diesel back up generators.
Wewe ndiye una inferiority complex.Mimi kutaja Manhattan tu, kwa muktadha wa hoja ya kisiwa, wewe ushaona inda.

Na hapa nipo kwenye tovuti ya Watanzania.

Wewe kwenu ulipotokea wapi?

Wewe hata kunitusi kwamba nina self loathing nonsense imekubidi utumie lugha ya kigeni.

Hata lugha yako hujaithamini katika kunitukana kwamba mimi ni self loathing,

Who is self loathing now?

You are a walking contradiction.
 
Mimi ni mtu practical, naangalia prcticalities, hilo moja. La pili, naangalia aesthetics.

I don't get swept in triumphant euphoria over symbolic phalluses of fallacious utility.

Jengo kama hilo likijengwa mji wowote East Africa, nitalichanbua hivyo hivyo bila kuangalia nchi.

Mbona Tanzania naisema kila siku na nasema "Magufuli is a country bumpkin"?

Sasa hapo unaweza vipi kunisema kwamba nasema mambo ya Kenya vibaya kwa sababu yapo Kenya tu?

Mbona nimesema serikali ya Tanzania inanunua ndege kubwa bila ya kuwa na business plan nzuri wala kufuata tender process, wakati Watanzania wengi wanashangilia ununuzi huu?

Wapi umeniona nashabikia ujenzi wa mighorofa hii mirefu kwa makazi ya watu?

Usinilundike na wafulambute wengine wowote unaobishana nao hapa.

Mimi ni Kiranga Cha Ngeda Sakala Kandumbwa. Braggadocio ombudsman.

limited edition non fiction
Strong diction, long erudition.
In fact, autodidact savant, with savoir faire
Politburo apparatchik, with cover to spare
Shall I continue in this venue?
Or hit the exit, slim pickings on the menu...
 
Wakenya hongereni..lakini hii haitamaliza umasikini wenu Pale Nairobi.
 
lugha yangu sio kiswahili wewe...wa wapi wewe?yani unaona huko manhattan ndio unaeza jenga gorofa hizo but nairobi huezi? tutajenga na ikikuuma njoo uibomoe
 

Nairobi ni hatari
 
Wewe mtu mwenye unaishi US mbona hutaki kuona Afrika Mashariki ambapo ni nyumbani ulikozaliwa kukiendelea? Kwani unataka tu kuona majengo mafupi ndio uhisi vizuri?Mbona huko US kuna majengo mengi kama haya na hupigi domo? Kenya inajenga jengo moja tu na umeshaanza kupiga makelele ilhali US wanazo nyingi na hupigi kelele. Kwani wao ndio watu kutushinda? Halafu watu watakaonunua hizi apartments tayari ni matycoon sasa pesa ya kununua diesel ya generator umeme ukipotea sio tatizo kwao. Hayo matatizo uliyotaja hapo juu ni ya watu masikini pekee. Umekaa US sana hadi umesahau kuwa East Africa pia kuna matajiri na wao pia wanataka kuishi maisha kama ya ulaya bila kutoka bara la Africa. Wanataka wabaki hapa hapa ila waishi maisha ya ulaya.
 
Hujawahi kunikuta niko kwenye forum ya Wamarekani nawapigia kelele.

Na huwei kutegemea niwapigie kelele Wamarekani kwenye forum ya Watanzania.

Check your logic.
 
lugha yangu sio kiswahili wewe...wa wapi wewe?yani unaona huko manhattan ndio unaeza jenga gorofa hizo but nairobi huezi? tutajenga na ikikuuma njoo uibomoe
Lugha yako ni nn mbwiga ww, English au kikuyu, bloody...
 
Hujawahi kunikuta niko kwenye forum ya Wamarekani nawapigia kelele.

Na huwei kutegemea niwapigie kelele Wamarekani kwenye forum ya Watanzania.

Check your logic.
Nilichoandika ni very logical. Wewe uko comfortable na Marekani kujenga majumba kama haya lakini unadhani kwamba Africa is too poor to build such towers. That is such a toxic mindset na Africa haitawahi kuendelea ikiwa tutawaza kwamba sisi ni masikini hatufai kuwa na vitu vizuri. Kwamba nchi zilizoendelea pekee ndizo zinazostahili kuwa na majengo kama haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…