relis
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 3,336
- 5,217
Sie yetu macho kwa ubabaishaji wenu halina muda hilo kuporomoka kabla halijaisha.Majirani msiende kushangaa Ulaya, njooni huku mtayaona ya kule.
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sie yetu macho kwa ubabaishaji wenu halina muda hilo kuporomoka kabla halijaisha.Majirani msiende kushangaa Ulaya, njooni huku mtayaona ya kule.
Nipe mfano mmoja wa nilipoonesha nipo comfortable na Marekani kujenga majumba haya.Nilichoandika ni very logical. Wewe uko comfortable na Marekani kujenga majumba kama haya lakini unadhani kwamba Africa is too poor to build such towers. That is such a toxic mindset na Africa haitawahi kuendelea ikiwa tutawaza kwamba sisi ni masikini hatufai kuwa na vitu vizuri. Kwamba nchi zilizoendelea pekee ndizo zinazostahili kuwa na majengo kama haya.
Dua la kuku halimpati mwewe.Sie yetu macho kwa ubabaishaji wenu halina muda hilo kuporomoka kabla halijaisha.
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
mimi siyo mkikuyu wala muingereza...nitolee pumba zako apaLugha yako ni nn mbwiga ww, English au kikuyu, bloody...
MNA mengi ya kushangazaMajirani msiende kushangaa Ulaya, njooni huku mtayaona ya kule.
Huu ndio msingi wa jengo la ghorofa 44! Liwekeni jengo hili kwenye orodha ya maghorofa yatakayo ndondoka siku za usoni.Majirani msiende kushangaa Ulaya, njooni huku mtayaona ya kule.
Huu ndio msingi wa jengo la ghorofa 44! Liwekeni jengo hili kwenye orodha ya maghorofa yatakayo ndondoka siku za usoni.
Are you an engineer?Huu ndio msingi wa jengo la ghorofa 44! Liwekeni jengo hili kwenye orodha ya maghorofa yatakayo ndondoka siku za usoni.
Next ni devolution towerZege la 3 metres limeshamwagwa. Sasa linakauka.
View attachment 1677597
Sifa kwake Uhuru Kenyatta
Jengo hili ndilo litakuwa tallest residential tower in Africa. Yaani jengo refu zaidi ya makaazi Africa. Kuna watu watakuwa wakiishi kuanzia floor ya chini hadi ya juu kabisa ya 44.
Jengo lenyewe litafanana hivi litakapokamilika
Video ya zege kumwagwa kwenye foundation ndio hii
Eldoret iko na 24 na hatupigi kelele. Kisumu pia iko na 18 na over 10 mingi sana. Mombasa nayo iko na over 20 Sita.Sisi tuna lakwetu zege ndio inamwagwa ambalo ni ghorofa 18[emoji4]
Lipo Arusha maeneo ya philps
he was being sarcastic.....hawana lolote kabisaEldoret iko na 24 na hatupigi kelele. Kisumu pia iko na 18 na over 10 mingi sana. Mombasa nayo iko na over 20 Sita.
Kenya iko ligi yake. View attachment 1684645View attachment 1684647View attachment 1684649
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eldoret iko na 24 na hatupigi kelele. Kisumu pia iko na 18 na over 10 mingi sana. Mombasa nayo iko na over 20 Sita.
Kenya iko ligi yake. View attachment 1684645View attachment 1684647View attachment 1684649
Tuazimeni moja tupige nalo pichaEldoret iko na 24 na hatupigi kelele. Kisumu pia iko na 18 na over 10 mingi sana. Mombasa nayo iko na over 20 Sita.
Kenya iko ligi yake. View attachment 1684645View attachment 1684647View attachment 1684649