Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,771
- 14,129
Great thinkers,
Naona huyu Mkurugenzi wa SGR anachezea serikali ya Dkt Samia, inakuwaje AC za Jengo la Abiria Magufuli hapo Dar AC hazifanyi kazi?
Nashauri Dkt Samia tumbua huyu Mkurugenzi maana abiria wanateseka na joto la Dar wakiwa wanasubiria kupanda treni
Pia soma:Mrejesho: Asante JF! Mkurugenzi Kadogosa aliwasha viyoyozi na kwenye train leo njia nzima kuna viyoyozi
Naona huyu Mkurugenzi wa SGR anachezea serikali ya Dkt Samia, inakuwaje AC za Jengo la Abiria Magufuli hapo Dar AC hazifanyi kazi?
Nashauri Dkt Samia tumbua huyu Mkurugenzi maana abiria wanateseka na joto la Dar wakiwa wanasubiria kupanda treni
Pia soma:Mrejesho: Asante JF! Mkurugenzi Kadogosa aliwasha viyoyozi na kwenye train leo njia nzima kuna viyoyozi