KERO Jengo la abiria SGR Stesheni ya Magufuli viyoyozi havifanyi kazi

KERO Jengo la abiria SGR Stesheni ya Magufuli viyoyozi havifanyi kazi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
afatilie yeye kwani wanamlipa? uyo unaesema ni kiogizi hawezi jua kazi yake ni nini? kukaa ofisini tu?

Basi unaemwambia Rais moja kwa moja because yeye ndio top boss
 
Great thinkers,

Naona huyu Mkurugenzi wa SGR anachezea serikali ya Dkt Samia, inakuwaje AC za Jengo la Abiria Magufuli hapo Dar AC hazifanyi kazi?

Nashauri Dkt Samia tumbua huyu Mkurugenzi maana abiria wanateseka na joto la Dar wakiwa wanasubiria kupanda treni
😂 Ipe mwaka mmoja itakuwa kama mabasi ya Mwendokasi full mikangafu.
 
Great thinkers,

Naona huyu Mkurugenzi wa SGR anachezea serikali ya Dkt Samia, inakuwaje AC za Jengo la Abiria Magufuli hapo Dar AC hazifanyi kazi?

Nashauri Dkt Samia tumbua huyu Mkurugenzi maana abiria wanateseka na joto la Dar wakiwa wanasubiria kupanda treni

Pia soma:Mrejesho: Asante JF! Mkurugenzi Kadogosa aliwasha viyoyozi na kwenye train leo njia nzima kuna viyoyozi

Toka lini umeona jengo jina vioo vitupu halafu halina joto huku kwetu kwenye jua fulu fulu? Ile design waliyofanya haikuwa halisia. Ndio maana lile jengo kipindi hiki litakuwa halikaliki.
 
Hata raia hawajali, kitu kishakuwa cha public TZ basi ni shamba la chokoraa...AC tu inaleta tabu, kama ingekuwa ni project kubwa za nyuklia au utengenezaji wa vifaa vya kwenda space ingekuaje?...hakuna anayejali.
 
Kaka bank ni Sawa na kituo cha Abiria?
Mbona huo uchafu wa vyoo tunaona hata kwenye ofisi za umma na taasisi nyingi za serekali ambako sio stand? Tuache huko bank labda kwa mtazamo wako nimetoa ulinganifu tofauti. Tuje kwenye vyoo vya mabar ambavyo vinatumiwa na walevi, mbona hivyo vina hali nzuri tu kutokana na kufanyiwa usafi mara kwa mara? Inashindikana vipi kwenye huo mradi mpya na unaoingiza fedha nyingi? Usitetee uzembe, huenda ww ni sehemu ya viongozi wazembe hasa eneo la usafi, hivyo unatetea udhaifu wako.
 
Watanzania tuliotokea kwenye umasikini hatuwezi kuendesha chochote.

Awe kadogosa au kakubwasa, ni wale wale tu.

Responsibilities zipo kwenye "genes". Siyo darasani.

Apewe Abood au Shabiby muone mambo yatavyonyooka hapo.
 
Sisi ngozi nyeusi laana tupu,
Hizo zote ni hujuma za kijinga kabisa, ukifuatilia kwa kina utaambiwa fuse imeungua mpaka iagizwe uturuki
 
Watanzania tuliotokea kwenye umasikini hatuwezi kuendesha chochote.

Awe kadogosa au kakubwasa, ni wale wale tu.

Responsibilities zipo kwenye "genes". Siyo darasani.

Apewe Abood au Shabiby muone mambo yatavyonyooka hapo.
Bibie mbona wewe unakunyaga porini Canada?
 
Watanzania tunajua kujenga tu, kuendesha ni zero kabisa.

Treni ya mwendokasi itaelekea kule kule kwenye mabasi ya mwendokasi
 
Mbona huo uchafu wa vyoo tunaona hata kwenye ofisi za umma na taasisi nyingi za serekali ambako sio stand? Tuache huko bank labda kwa mtazamo wako nimetoa ulinganifu tofauti. Tuje kwenye vyoo vya mabar ambavyo vinatumiwa na walevi, mbona hivyo vina hali nzuri tu kutokana na kufanyiwa usafi mara kwa mara? Inashindikana vipi kwenye huo mradi mpya na unaoingiza fedha nyingi? Usitetee uzembe, huenda ww ni sehemu ya viongozi wazembe hasa eneo la usafi, hivyo unatetea udhaifu wako.

Usafi wa sehemu unaanza na mtumiaji na sio msimamizi

Kama wewe mtumiaji sio msafi then hata msimamizi hawezi kuleta usafi

Mfano vyoo vya uwanja wa taifa, watu wanakojolea kwenye sinki la kunawia mikono je hapo utamlaumu waziri wa michezo?

Mtu anatumia Choo na anashindwa kuflash unataka msimamizi afanye nini?

Awe anashinda mlangoni kila mtu akiingia anaangalia anachofanya?

Before ya kumlaumu kiongozi kwanza tujilaumu Sisi wenyewe watumiaji wa vyoo
 
Kuna siku nilipita hapo zile lift hazidanyi kazi wanasema umeme mdogo
Hujuma huanza kidogokidogo, leo AC, kesho nati za reli, keshokutwa daraja limeyumba mwisho ajali mbaya no actio
 
Back
Top Bottom