Hujuma huanza kidogokidogo, leo AC, kesho nati za reli, keshokutwa daraja limeyumba mwisho ajali mbaya no actionGreat thinkers,
Naona huyu mkurugenzi wa SGR anachezea serikali ya Dkt Samia, inakuwaje AC za jengo la abiria Magufuli hapo Dar AC hazifanyi kazi????
Nashauri Dkt Samia tumbua huyu mkurugenzi maana abiria wanateseka na joto la Dar wakiwa wanasubiria kupnda treni
DuuuhGreat thinkers,
Naona huyu mkurugenzi wa SGR anachezea serikali ya Dkt Samia, inakuwaje AC za jengo la abiria Magufuli hapo Dar AC hazifanyi kazi????
Nashauri Dkt Samia tumbua huyu mkurugenzi maana abiria wanateseka na joto la Dar wakiwa wanasubiria kupnda treni
Great thinkers,
Naona huyu mkurugenzi wa SGR anachezea serikali ya Dkt Samia, inakuwaje AC za jengo la abiria Magufuli hapo Dar AC hazifanyi kazi????
Nashauri Dkt Samia tumbua huyu mkurugenzi maana abiria wanateseka na joto la Dar wakiwa wanasubiria kupnda treni
Si lazima wajazane Dar,wahamie TukuyuGreat thinkers,
Naona huyu mkurugenzi wa SGR anachezea serikali ya Dkt Samia, inakuwaje AC za jengo la abiria Magufuli hapo Dar AC hazifanyi kazi????
Nashauri Dkt Samia tumbua huyu mkurugenzi maana abiria wanateseka na joto la Dar wakiwa wanasubiria kupnda treni
Hao watz wenyewe wanawekewa vyoo vya kisasa wanakunya pembeni au juu ya masink πMtanzania hajawah kusimamia kitu kikaendelea
The nyang'aus don't care at all.Hujuma huanza kidogokidogo, leo AC, kesho nati za reli, keshokutwa daraja limeyumba mwisho ajali mbaya no action
afatilie yeye kwani wanamlipa? uyo unaesema ni kiogizi hawezi jua kazi yake ni nini? kukaa ofisini tu?Dah kuna siku mtamlaumu mpaka vyooni msipokuta tishu
Yeye kama kiongozi mkuu hawez kujua kila kitu
Ila pia na ww Una ela yako ya Kodi kwenye ule mradi so unaweza kwenda physically kufatilia shida ni kitu gani
Utetezi gani huu? Mbona mabenk mara zote yanakuwa masafi? Au huko ni nini kinafanya wawe hivyo?Dah kuna siku mtamlaumu mpaka vyooni msipokuta tishu
Yeye kama kiongozi mkuu hawez kujua kila kitu
Ila pia na ww Una ela yako ya Kodi kwenye ule mradi so unaweza kwenda physically kufatilia shida ni kitu gani
Kamfukue uje umkalishe hapo Ikulu.Nimekuja kugundua baadae mwenye maono makubwa sana na nchi hii alikuwa ni Magufuli tu
Alipoingia madarakani alikuta mwendokasi ndio inaanza kazi, zilianza kuharibika akiwa madarakani, hadi leo ziko hoi. Acha kulazimisha sifa asizokuwa nazo.Nimekuja kugundua baadae mwenye maono makubwa sana na nchi hii alikuwa ni Magufuli tu
Wanatakiwa wawe na mfanya usafi wa chooni muda wote. Mbona kwenye mabar wanaweza,au huko bar wanaondoka na vinyesi vyao?Hao watz wenyewe wanawekewa vyoo vya kisasa wanakunya pembeni au juu ya masink π
Mkuu hili jambo limezungumzwa humu kwambaVyoo tu vichafu sembuse hiyo waiting area
Huu mradi tunaupa Xmas 2 mbili chaliii
Ova
πππKamfukue uje umkalishe hapo Ikulu.