KERO Jengo la abiria SGR Stesheni ya Magufuli viyoyozi havifanyi kazi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Niliposema "NI SUALA LA MUDA" mlinishambulia!

Once again

ITS A MATTER OF TIME!
 
Hayo matatizo yote usemayo yanafanyika kwenye mabar, maana huko kumejaa walevi, lakini wameweka watu standby kufanya usafi wa hali hiyo. Unakwama wapi?
 
Watanzania tuliotokea kwenye umasikini hatuwezi kuendesha chochote.

Awe kadogosa au kakubwasa, ni wale wale tu.

Responsibilities zipo kwenye "genes". Siyo darasani.

Apewe Abood au Shabiby muone mambo yatavyonyooka hapo.
Da FaizaFoxy shida iliyopo nitashindwa kuleta siasa kwenye kila kitu. Ukweli ni kuwa miradi mingi haijiendeshi kibiashara.
 
Mradi kuendeshwa na watumishi wa umma lazima ufe. Hawa wazee wa madokezo hawajui biashara zaidi ya kuwaza posho za semina na warsha. Apewe mzungu na kutoa gawio kwa serikali.
 
Da FaizaFoxy shida iliyopo nitashindwa kuleta siasa kwenye kila kitu. Ukweli ni kuwa miradi mingi haijiendeshi kibiashara.
mtu hn asili a biashara ataendeshaje mradi kibiashara? Saa ngapi akacheze ngoma na kukata viuno?
 
Watanzania tuliotokea kwenye umasikini hatuwezi kuendesha chochote.

Awe kadogosa au kakubwasa, ni wale wale tu.

Responsibilities zipo kwenye "genes". Siyo darasani.

Apewe Abood au Shabiby muone mambo yatavyonyooka hapo.
1. Abood na Shabiby sio Watanzania?
2. Abood na Shabibiy ni Watanzania ila wametokea kwenye utajiri?
 
Vyoo tu vichafu sembuse hiyo waiting area
Huu mradi tunaupa Xmas 2 mbili chaliii

Ova

Kabisa ,serikali haiwezi kabisa kurun miradi kama hiyo ambayo imegharimu taifa trilions of shilings....Kuout source kazi ya kusafisha maliwato na usafi nayo hawawezi? Kurekebisha A/C hawawezi? Wao wanaweza kuiba tu.
 
1. Abood na Shabiby sio Watanzania?
2. Abood na Shabibiy ni Watanzania ila wametokea kwenye utajiri?
Watanzania wenye asili ya Kiarabu, biashara ipo ndani ya damu yao. Biashara ya usafirishaji abiria nadhani sina haja ya kukupa darsa kuhusu hao watu.

JHo wapo barabara zenye ushindani na wametiusua, sasa uwape reli au BRT ambayo haina ushindani si utawaoa wachawi.

Unakwenda kumpa mtu anaitwa kadogosa, hana asili ya biashara wala usafirishaji. Unategemea nini kuytoka kwake? Hata ingekuwa kakubwasa, hatoweza, nana kwenye damu yake biashara. Hawezi kuwa na machale ya kibiashara.
 
Matatizo ya Tanzania yaliasisiwa na Nyerere, hayataisha
 
Niko SGR kituo cha Morogoro pia AC hazifanyi kazi nimewnda Customer Services namuuliza hajibu kitu ananiangalia tu nimemuomba anielekeze ofisi ya meneja wa kituo anasema hafanyi kazi jumapili
Huyu customer services staff aliyeko leo jumapili tatehe 01 Disemba 2024 awajibishwe kwa kudharau wateja. Nimekasirika sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…