Jengo la Freemason Posta linafanyiwa marekebisho

Jengo la Freemason Posta linafanyiwa marekebisho

Imani yao iko wazi na ndio maana sehemu yao wa kuabudu iko wazi katikati ya mji na hawajazuiliwa.

Kama unataka kujiunga nao utafute ratiba zao utapata.

Kama hawana taratibu za kuweka sauti kubwa usiwalazimishe. We fanya yako wao wafanye yao!!!!
Nimefika hapo Posta mala nyingi tu na kuingia hapo eneo lao.
Ukiwauliza walinzi hawasemi chochote zaidi ya kukuomba uondoke hilo eneo.

Kama wana nia njema na jamii yetu ni kwanini hawataki kuhojiwa au kuuliziwa shughuri zao?

Ukiuliza wahusika wanasema hawapo "sisi ni walinzi tu haturuhusu asiyehusika kuingia hapa"

Kama sio kufanya biashara haramu, ninini kinachofichwa hapo ?
Au Uchawi.

Kama unahusika sema nije lini unipe hizo ratiba.
La hutakiwi kunijibu.
Freemasonry ni taasisi dhaifu sana kupaswa kuwepo hapa Nchini.
Inawaogopa hadi watoto wadogo.
 
Nimefika hapo Posta mala nyingi tu na kuingia hapo eneo lao.
Ukiwauliza walinzi hawasemi chochote zaidi ya kukuomba uondoke hilo eneo.

Kama wana nia njema na jamii yetu ni kwanini hawataki kuhojiwa au kuuliziwa shughuri zao?

Ukiuliza wahusika wanasema hawapo "sisi ni walinzi tu haturuhusu asiyehusika kuingia hapa"

Kama sio kufanya biashara haramu, ninini kinachofichwa hapo ?
Au Uchawi.

Kama unahusika sema nije lini unipe hizo ratiba.
La hutakiwi kunijibu.
Freemasonry ni taasisi dhaifu sana kupaswa kuwepo hapa Nchini.
Inawaogopa hadi watoto wadogo.
Sio Dar tu, inaonekana hawana taratibu za kukusanyika mara kwa mara kwa ibada zao ndio maana mahekalu yao mara nyingi huwa yamegungwa!!

Kwenye mtandao kuna mfumo wa tovuti unaitwa "GOOGLE". Andika hili neno halafu ubofye. Baada ta hapo andika "Freemasons in Tanzania" utaona vituo vyao na namna za kuwasiliana nao, kuna namba za simu. Tumia njia hiyo kuwasiliana nao wakupe ratiba za shughuli zao ushiriki kama unapenda.
 
Unatamani kujua nani anagharamia ujenzi kwani hilo hall linaendeshwa na nani??

Mkirekebisha misikiti na makanisa yenu nani anawachunguza na kutaka kujua gharama?

Na hizo taratibu wataka kuzijua ni za nini?
Huyu hapa member atawapa majibu yote mkienda vizuri
 
Hawa Freemasonry Nina uhakika hawana nia njema kwa jamii yetu.

Ukiingia pale mjengoni kwao hawatoi ushirikiano kabisa.
Wanataka uondoke haraka kwenye eneo lao.

Sasa ni taasisi gani hiyo inayoificha jamii shughuri zake?
Tukisema wanafanya biashara haramu Kuna mtu atabisha?

Kama ni taasisi halari ni kwanini wanaficha shughuri zao wanazozifanya?

Dini gani halari haitaki waumini?
Hao ni Washenzi tu, ningekuwa kiongozi ningewaambia watangaze shughuri zao kwa jamii wazi wazi au kuwanyima kibali cha kufanya kazi zao Nchini.
are you serious kusema haya? Naona huijui vizuri freemason in and out. Unadhani ni kakikundi fulani hivi cha kihalifu. Lile ni dude kubwa lenye nguvu kubwa duniani, hakuna kiongozi wa kuhoji shughuli zao. Utawahoji kama nani wakati tayari utakuwa ni mwanachama wao mwaminifu?
 
Kuna kitabu kinaitwa Moral and Dogma kilichoandikwa na Kiongozi mkubwa wa freemason duniani aitwaye Albert Pike. kwa wasioujua ufreemason wakakisome ili wajue dhana nzima ya umasonia. Wengi humu hawaujui umasoni wanafikiri ni dini kama zilivyo dini zingine wazijuavyo. Unaambiwa wanachama wao wana dini zao tunazozijua japo wako huko kwenye umasoni.
 
Lile ni jengo la walinzi./watchers wa jengo fulani... Milango ya kuingia ndani ya jengo hilo Kwa wahusika wa hapo haiwezi kuonekana Kwa nje.. Inayo onekana Kwa nje ni milango wanayotumia Hao wafanya usafi na ulinzi Kwa nje.

Ndani huko wanaingia na kutoka muda wowote na wakati wowote Kwa njia zao kupitia majengo 3 yaliyopo maeneo hayo hapo.

Wameweka Jina Hilo kupunguza shobo za Watu kufatilia mambo yao. Ila Sasa mambo yamehamia Kanda ya Kati.. Wacha wakarabati.. Hata akipatikana land developer Waka weka ghorofa ni Sawa tu.

Kuta za jengo hilo Zina ONA na KUSIKIA.
 
are you serious kusema haya? Naona huijui vizuri freemason in and out. Unadhani ni kakikundi fulani hivi cha kihalifu. Lile ni dude kubwa lenye nguvu kubwa duniani, hakuna kiongozi wa kuhoji shughuli zao. Utawahoji kama nani wakati tayari utakuwa ni mwanachama wao mwaminifu?
Hamna lolote ni danganya toto tu.
Kuna mdau kanieleza vizuri hapo juu nitawafuatilila.
Mimi nina mamlaka ya kuihoji taasisi yoyote iliyopo hapa Nchini.
Kama nina uwezo wa kuingia Taasisi Nyeti kabisa Benki Kuu na kuulizia huduma zao kwanini nisiweze kuwauliza hao Waoga.
Labda nikuambie kwa lugha nyepesi.
"Kuuliza wanachokifanya"
 
Hamna lolote ni danganya toto tu.
Kuna mdau kanieleza vizuri hapo juu nitawafuatilila.
Mimi nina mamlaka ya kuihoji taasisi yoyote iliyopo hapa Nchini.
Kama nina uwezo wa kuingia Taasisi Nyeti kabisa Benki Kuu na kuulizia huduma zao kwanini nisiweze kuwauliza hao Waoga.
Labda nikuambie kwa lugha nyepesi.
"Kuuliza wanachokifanya"
benki? Benki ni kitu kidogo sana kwaa hiyo jumuiya. Kwanza ufahamu kuwa benki ni zao!
 
Sio Dar tu, inaonekana hawana taratibu za kukusanyika mara kwa mara kwa ibada zao ndio maana mahekalu yao mara nyingi huwa yamegungwa!!

Kwenye mtandao kuna mfumo wa tovuti unaitwa "GOOGLE". Andika hili neno halafu ubofye. Baada ta hapo andika "Freemasons in Tanzania" utaona vituo vyao na namna za kuwasiliana nao, kuna namba za simu. Tumia njia hiyo kuwasiliana nao wakupe ratiba za shughuli zao ushiriki kama unapenda.
Asante sana Mkuu nimepata ujumbe wako Inbox.
Inbox yangu imefungiwa kufanya maongezi na mtu ningekujibu huko huko.
 
Atakuwa Mbowe anafanya marekebisho.
Jengo la Freemason hall lililopo posta mpya linafanyiwa marekebisho, kumekuwa na uvumi mwingi kuhusu hao jamaa (masons), natamani kujua nani analipia gharama za ujenzi?

Je nani aliyewakabidhi kulirekebisha ni wanachama wenyewe au? Je kwa Tanzania taratibu zao zimekaaje?
Aione Mshana Jr na GENTAMYCIME kalemera.

Hata Maxence Melo anaweza kutoa ufafanuzi.

View attachment 2777860
 
Nilikwenda kwa msajili wa vyama(societies) siku moja.

Tulikuwa tunasajili chama chetu.
Alikuwa hana ushirikiano hata kidogo,anasema,"Lazima tujue vyama gani vinaanzishwa,tujue imani zao. Na kwa nini watu wanataka kuanzisha hizi club mpya kila siku. Yupo Yesu Kristu,anatosha. Wanataka kutuletea Imani zao za ajabu hapa?"
Nikamuuliza,:"Wale Freemasons mmewasajili vipi? Wale si wanamwabudu Shetani? Unaweza kukaa hapa ukaniambia hutaki kuregister chama chama changu,kwa sababu hutaki imani za ajabu hapa,wakati umewasajili Freemasons ambao wanamwabudu Shetani?"
Akanijibu( note carefully alivyonijibu):
"Wale Freemasons hatujawasajili sisi. Sisi hatuhusiki na Freemasons. Wapo nje ya utaratibu wetu wa registration."
Hakusema they are an illegal organization. Kasema tu hajui wametoka wapi.
 
Nilikwenda kwa msajili wa vyama(societies) siku moja.

Tulikuwa tunasajili chama chetu.
Alikuwa hana ushirikiano hata kidogo,anasema,"Lazima tujue vyama gani vinaanzishwa,tujue imani zao. Na kwa nini watu wanataka kuanzisha hizi club mpya kila siku. Yupo Yesu Kristu,anatosha. Wanataka kutuletea Imani zao za ajabu hapa?"
Nikamuuliza,:"Wale Freemasons mmewasajili vipi? Wale si wanamwabudu Shetani? Unaweza kukaa hapa ukaniambia hutaki kuregister chama chama changu,kwa sababu hutaki imani za ajabu hapa,wakati umewasajili Freemasons ambao wanamwabudu Shetani?"
Akanijibu( note carefully alivyonijibu):
"Wale Freemasons hatujawasajili sisi. Sisi hatuhusiki na Freemasons. Wapo nje ya utaratibu wetu wa registration."
Hakusema they are an illegal organization. Kasema tu hajui wametoka wapi.
Kaka mkubwa Poppy Hatonn,

Hizo kauli za huyo msajili ni za kijinga na kibaguzi. Zaidi, zinaminya uhuru wa kikatiba.

Tanzania is a secular state, not a theocracy. Huyu msajili hajui hili au anajua anadharau katiba tu?

Kutoka kwenye katiba kuna:-

The Right to Freedom of Conscience

18. The freedom of expression.
19. Right to freedom of religion.
20. Person’s freedom of association.
21. Freedom to participate in public affairs.
 
Back
Top Bottom