ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Faiza Foxy anaweza kuwa na ufafanuzi mzuri manake kwenye dini yule ama hajambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikubwa tunaangalia maokoto tu ndugu yangSasa wewe ni mkereketwa wa Nazi , freemason unakuja kufanya nn
Freemason na Nazi people ni Chui na pakaKikubwa tunaangalia maokoto tu ndugu yang
Mpiga picture kaja kuleta umbea hukuHiyo pic umepiga kama unaogopa vile...
Sasa mchezaji atasajiliwaje kwa pesa kutoka Real Madrid castilla Kuja Real MadridTupe nondo, mbona nasikia wanakaribisha dini zote, kwanini RC hawaruhusiwi?
Kigezo namba 8 ndo kinafanya Members wengi humu jukwaani hawapo🤣Ni jumuiya ya siri yenye wanachama wa kuchaguliwa kwa uangalifu mkubwa sana na baadhi ya vigezo ni
1. Uwezo was kifedha
2. Nidhamu ya hali ya juu kwenye kila kitu
3. Cycle ya watu wako
4. Usiri
5. Ukimya
6. Imani kwa Mungu
7. Rekodi zero ya kashfa na mambo ya kesi
8. Uwezo wa akili ( hawachukui watu wajingajinga
9. Heshima na adabu kwa watu wa kaliba zote
10. Kujituma kwenye kila kitu nknk
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona umeelewaUnamaanisha ni Pete na kidole??
Eti 🤷Mkuu kosa langu lipi?
kama uko vizuri kichwani unaweza kuwa mwanachama wao usihofu, kikubwa wakuone una ushawishi gani kwa watuMara ya kwanza napita hapo niko mdogo niliogopa sana, Lakini sahivi nahitaji kuwajua zaidi nione kama wanacho cha kuninufaisha.
uingie huko ukafanye nini wakati si mwanachama wao?Ni kawaida kukarabati, lakini swali ni je unawajua wanachama wa taasisi hiyo? Mikutano yao ikoje?