Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Niliwahi tembelea hilo jengo hadi ndaniTatizo kuna mambo wabongo wameyakuza sana
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliwahi tembelea hilo jengo hadi ndaniTatizo kuna mambo wabongo wameyakuza sana
Ova
Ndani kuna viti vya mbao ,upande wa kushoto na kulia mnakaa kwa kutazamana na kiongozi anakaa mbele ,na mwisho anakaa mgeni au muongeajiLinafananaje ndani?
Ndio vigezo msingiOK, ni vigezo ulivyovitaja ndiyo hutumiwa Sana yaani ukwasi, uwezo wa kupambanua mambo na nidhamu?
Mtoe mwanao awe sadaka unufaikeMara ya kwanz napita hapo niko mdogo niliogopa sana, Lakini sahivi nahitaji kuwajua zaidi nione kama wanacho cha kuninufaisha.
Mbingu na ardhi MpwaCCM na freemasons wapi wapi mkuu
Nenda bbc swahili kuna mahojiano mengi tu na viongozi wa freemason kenya na hata ukOK, hapa nimekuelewa, nibadilishe maswali? Maana natamani kujua Hawa watu bila kujiunga
Kwa namna hii ya ukaaji, basi kweli hao ni Wajenzi Huru.Ndani kuna viti vya mbao ,upande wa kushoto na kulia mnakaa kwa kutazamana na kiongozi anakaa mbele ,na mwisho anakaa mgeni au muongeaji
Nani anakuunganisha mkuuNilikuwa najamaa yangu pale Sayona kama vibarua maisha yalitutandika hadi tukaenda kwenye hilo jengo Lao. Ukifika Nia na madhumuni yako unawaeleza walinzi getini wako poa na majibu yote ya namna ya kuunganishwa wanakueleza huwezi kujiunga wewe mwenyewe kisa unataka.
Aisee [emoji1787] [emoji1787]Walikuja jana kukopa mkopo 6.5m watakuwa ndo wamedunduliza na tusadaka twao labda tumefika 7.66m wakaona waanze.
Unamaanisha Wakatoliki ni wanachama tayari kwa Itikadi yao?Freemason au wajenzi huru kwa kimatumbi, ni chama cha siri kinachofata maadili na kustawisha udugu miongoni mwa Wanachama,
Wanachofanya ni kumfanya Mwanachama aachane na maisha ya zamani na kuzaliwa upya kwenye itikadi zao,
Wakatoliki hawaruhusiwi kujiunga na chama hicho.
Pale hamna ofisi yenye mtu na huoni mtu hata siku mojaLiko posta sehemu gani? nikitaka kwenda kujiunga nitafanikiwa?
Aisee [emoji1787] [emoji1787]
Hakuna mtu pale kuna wanaosajili unaweza kuwa unaishi nao.mitaani,unafanya nao kazi au biashara nkIko wapi, ndiyo hapo opposite na BOT?
Maswali yako kama tahira! Linafananaje ndani si uendeLinafananaje ndani?
Limeandikwa kabisa freemason hall na nembo wameweka.Sio siri ni waziMna swali kidogo
Mmelijuaje kama ni jengo la hao mabwana, au limeandikwa,