Bado hujasemaNaheshimu mawazo yako Ila umeandika ujinga mtupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hujasemaNaheshimu mawazo yako Ila umeandika ujinga mtupu
Bado hujasema
Tu
Tuandikie ukweli, badala ya kumsema
Hayo ma masons huko CCM yamejazana mpaka yanamwagikia nje.CCM na freemasons wapi wapi mkuu
Uliwaona Nini 👆 Mzee 😂Hayo ma masons huko CCM yamejazana mpaka yanamwagikia nje.
Kwa nini? Wakati nilitaka kwendaFreemason au wajenzi huru kwa kimatumbi, ni chama cha siri kinachofata maadili na kustawisha udugu miongoni mwa Wanachama,
Wanachofanya ni kumfanya Mwanachama aachane na maisha ya zamani na kuzaliwa upya kwenye itikadi zao,
Wakatoliki hawaruhusiwi kujiunga na chama hicho.
Freemason wapo wengi Vatican. ( Si ndio maana Vatican hawaishi kubishana)Kwa nini? Wakati nilitaka kwenda
Kwanini, wanaona haki haita tendeka?Freemason wapo wengi Vatican. ( Si ndio maana Vatican hawaishi kubishana)
Ila Mkuu wa London Metropolitan Police alisema polisi haruhusiwi kuwa Freemason.