Jengo la Kituo cha Polisi Oysterbay lawa gumzo Nigeria

Jengo la Kituo cha Polisi Oysterbay lawa gumzo Nigeria

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Kwenye pages mbalimbali za social media nchini Nigeria ziliporushwa video clips za msanii Kiss Daniel akikamatwa na kuingizwa kituo cha Polisi Oysterbay mjadala umekuwa si msanii huyo kukamatwa bali uzuri wa Kituo cha Polisi Oysterbay ambapo Wa Nigeria wengi walionekana kuusifia uzuri wa kituo hicho wakifananisha na vituo vyao vya Nigeria.

Ikumbukwe kituo hiki kilijengwa na kampuni ya mwekezaji mahiri Rostam Aziz. Napenda kumpongeza sana Rostam na naomba azidi kujenga vituo vingi zaidi vya namna hii.

Kwa Jeshi la Polisi naoma na nyie huo uwe mfano bora wa vituo vyenu mnavyopaswa kuvijenga kuanzia sasa.

Screenshot_20220810-025045_Facebook.jpg
Screenshot_20220810-024931_Facebook.jpg
Screenshot_20220810-024931_Facebook.jpg
 
Yaani kusifia kwenyewe ni kwamba kizuri kama vya KWAO?!!!! Wapuuzi nini, mi nilijua wanasifia kuwa hawajaona mfano wake. Na kwa maelezo haya inaonyesha kuwa wametudharau sana!
 
Kwenye pages mbalimbali za social media nchini Nigeria ziliporushwa video clips za msanii Kiss Daniel akikamatwa na kuingizwa kituo cha Polisi Oysterbay...
Kituo cha polisi hata kiwe kizuri namna gani, usiombee kwenda ukiwa kama mhalifu. Bora hata ingekuwa shule.
Au na huyo msanii angepewa chumba chake hapo hata wiki 1!
 
Sisi wakazi wa MBOOndole hujatutendea haki, weka picha ya kituo tuone mzee.
 
Labda jina Oysterbay Police limewatisha
 

Attachments

  • Singer Kizz Daniel seen arriving the police station in Tanzania following his arrest at his ho...mp4
    3.4 MB
Anapongezwa kwa ujenzi kwani alijenga bure...
Vyovyote vile kajenga kituo kizuri ambacho kinaonesha mfano kwa hadi waafrika wenzetu juu ya namna gani kituo cha polisi kinapaswa kujengwa vizuri
 
Back
Top Bottom