Jengo la Kituo cha Polisi Oysterbay lawa gumzo Nigeria

Jengo la Kituo cha Polisi Oysterbay lawa gumzo Nigeria

Sema ulipita na pochi ya mjamzito ukakandwa na wananchi wenye hasira muda wote na ukaokolewa na polisi wakakuweka mahabusu ya wahalifu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bahati mbaya nilinunua mali ya wizi tena isiyozidi laki tatu...hata hivyo nilikaa tokea saa tano asubuhi mpaka saa kumi na mbili jioni nikatoka.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bahati mbaya nilinunua mali ya wizi tena isiyozidi laki tatu...hata hivyo nilikaa tokea saa tano asubuhi mpaka saa kumi na mbili jioni nikatoka.
Hahahaha
Kwa vyovyote ulinunua kidhibiti cha msokoto tena ulioibiwa kituo cha polisi🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mimi sio mpenzi wa films za kinaijeria ila kwa vile vituo vyao vya polisi japo sina hakika kama ni kweli au si kweli aseee jamaa hawajali vituo vyao kwa upande wa usafi.
Kwani Bongo ukiacha hiyo Oysterbay vituo vingine vipoje?
 
Hahahaha
Kwa vyovyote ulinunua kidhibiti cha msokoto tena ulioibiwa kituo cha polisi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umekosea mkuu
 
Hapo ushuani usitegemee kituo cha polisi kuwa cha hovyo niliwahi kifika hapo kuonana na kingai nilipigwa na Ac hadi nikamwambia yule sijui ndio msaidizi wake azime na hapo nipo mapokezi kwenda kuonana na kingai
 
Rangi ya mtu na uraia wake vina uhusiano gani? Acha akili za kindezi....

Jaribu na wewe kwenda Irani kwa akina Rostamu ukanunue kituo cha polisi au hata kiwanja tu halafu uone watakachokufanya na huo msemo wako wa rangi ya mtu na Uraia.
 
Vyovyote vile kajenga kituo kizuri ambacho kinaonesha mfano kwa hadi waafrika wenzetu juu ya namna gani kituo cha polisi kinapaswa kujengwa vizuri
Alijenga kituo kizuri kutokana na pesa nzuri iliyotolewa na serikali ya Tanzania. Pongezi kwa serikali na kodi zetu
 
Lakini Rostamu bado ni Asian, hivyo hakuna cha kumtambia Mnigeria hapo, ingekuwa ni mali ya Mwafrika labda hapo ni sawa kujisifu, …
Wewe ni mbaguzi toka tumboni mwa mama yako. Akina Bryson na Jamal waliofanya kazi kwa ufanisi mfano Jamal akiwa waziri wa fedha, nchi yetu haikujua rushwa hata pembe angalia sasa tukoje?

Ina maana wewe ungezaliwa Botswana ungekimbia kama ungeona nchi imekombolewa na kutawaliwa na mzungu na ikaendelea kwa amani kuliko nchi nyingi za Afrika?

Wakati Obama anakuwa rais wa marekani basi kama ungkuwa mzliwa wa huko, ungehama. Rostam ni watu ambao wamesaidia uchumi wa nchi mpaka sasa ila ni wale watu wenye roho ya kwanini kama wewe wenye kinyongo na ni nyinyi mnaotilia kauzibe swala la uria pacha ila watoto wa kitanzania wakifanikiwa huko nje basi wanasifiwa.
 
Wanaija wenzake wanalalamika huko kumbe ndio tabia yake nasikia,,,,jamaa anajiharibia sana huyu!
 
Kwenye pages mbalimbali za social media nchini Nigeria ziliporushwa video clips za msanii Kiss Daniel akikamatwa na kuingizwa kituo...
wakunya walivyo na wivu na roho ndogo wataenda kupaka mapagale yao ychokaa hahahahahahahaha, kuwa na jirani mwenye wifu ni hasara sana
 
Jaribu na wewe kwenda Irani kwa akina Rostamu ukanunue kituo cha polisi au hata kiwanja tu halafu uone watakachokufanya na huo msemo wako wa rangi ya mtu na Uraia.
signature yako inajieleza kabisa.
 
Wewe ni mbaguzi toka tumboni mwa mama yako. Akina Bryson na Jamal waliofanya kazi kwa ufanisi mfano Jamal akiwa waziri wa fedha, nchi yetu haikujua rushwa hata pembe angalia sasa tukoje...

Angalia sasa, unafananisha Botswana na Irani? Rostamu siyo Black man, take it or leave it, hata yeye analijua hilo na wala hajioni Mwafrika kama unavyofikiria, Uafrika kwake ni kupiga dili na wajinga Waafrika kutengeneza Fedha na kusepa lkn nje ya hapo kwenye madili Rostam hana business na Mwafrika!

Na wewe kama unaona mimi ni Mbaguzi jaribu kwenda Irani halafu ukafanye kama Rostamu anavyofanya hapa Afrika, gombea Ubunge, nunua viwanja na vituo vya Polisi, halafu urudi hapa na usemi wako wa Ubaguzi, labda utajua nani ni Mbaguzi!
 
Angalia ulivyokuwa hauna akili, sasa unafananisha Botswana na Irani? Rostamu siyo Black man, take it or leave it, hata yeye analijua hilo na wala hajioni Mwafrika kama unavyofikiria, Uafrika kwake ni kupiga dili na wajinga Waafrika kama ninyi kutengeneza Fedha na kusepa lkn nje ya hapo kwenye madili Rostam hana business na Mwafrika!

Na wewe kama unaona mimi ni Mbaguzi jaribu kwenda Irani halafu ukafanye kama Rostamu anavyofanya hapa Afrika, gombea Ubunge, nunua viwanja na vituo vya Polisi, halafu urudi hapa na usemi wako wa Ubaguzi, labda utajua nani ni Mbaguzi!
Rais wa kwanza wa Botswana alikuwa rangi gani? Soma Geografia na historia yako ya darasa la tano vizuri unless ni kizazi kipya kilichopotea. Mbona unawachukia wairan hivi? Watu na mila na desturi zao na katiba zao zinavyosema. Katiba siyo biblia au Quran ni kitabu dinamic ingawa nchi kama Marekani wenyewe wamejitahidi kuilinda ile ya zamani.

Kuhusu ubaguzi, nani alikuwa mbaguzi kama mwingereza maana yeye ndiye alitawala karibu ulimwengu lakini aligawa watu kwa matabaka. Leo hii angalia bunge la Uingereza rangi zilizomo ni aina ngapi? Je, kuna mhindi anayeweza kugombea urais nchi hii hatakama babu wa babu zake walizaliwa hapa? Je , nani anawania kuwa waziri mkuu wa UK? Asili yake wapi? nimekuuliza Obama ana asili ya wapi na ilikuwaje akawa Rais ?

Katiba za nchi zetu za kuiga wenzetu zina asili ya chuki ndo maana Iran na Tanzania hata India hatuwezi kuwa na kiongozi wa aisili nyingine sababu uroho na visasi vinatawala sana.
 
Back
Top Bottom