Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #21
Unapoambiwa mwekezaji unaelewaje? Akili za kimaskini shida sana! Wewe unataka kila kitu upewe bure?Ukisoma kichwa cha habari unaweza kudhania huyo Rostam Aziz alijenga kwa fedha za kutoka mfukoni mwake! Kumbe ni mihemko tu ya mtoa mada na hao Wanaijeria wake.